Ngiri (Warthog ): Naomba wataalamu watueleze Kwa kina kuhusu huyu Mnyama

Ngiri (Warthog ): Naomba wataalamu watueleze Kwa kina kuhusu huyu Mnyama

Huyu jamaa kitu anawashinda wanyama wengine ni Intelligence pamoja na takeoff speed. Ila max speed ya warthog ni ndogo kulikp max speed ya simba na chita.

Ana imteëligence ya hali ya juu sana.. anaweza fake kwamba kaumia na akatembea kwa kuchechemea kumbe zuga tuu,

Ana sense ganger haraka sana..
 
Anaishia kwa mashaka kisenge.
Yani anapotoka maghetoni (Shimoni ) Ni spidi Kali Hadi kituo Cha nne ndio bus stop ya Kwanza.
Hiyo yote Ni kutokana na kukoswa na noma nyingi katika life yake.

So, yeye kachagua kusprinti tu Muda wote shati inapepea.
 
Anaishia kwa mashaka kisenge.
Yani anapotoka maghetoni (Shimoni ) Ni spidi Kali Hadi kituo Cha nne ndio bus stop ya Kwanza.
Hiyo yote Ni kutokana na kukoswa na noma nyingi katika life yake.

So, yeye kachagua kusprinti tu Muda wote shati inapepea.
Sio Watoto Wala mama Yao ni vagi tu akitembea dk1 kajitahidi mno
 
Huyu mwamba kabisa mwite
- v16 turbo engine (naye ataitika)
-The new king of savanna (atageuka)
-The most handsome king in the jungle (atakuangalia na kutabasamu)
-The king of reverse parking
- The king of showoff

Oyaaa wee! Huyu mwamba achana naye anauwezo wa kutimua vumbi mpaka kwenye tope.

Anaweza akawa anakimbizwa na adui gafla akaona chakula anachokipenda akapiga break Kwa dharau akaaza kukila then akiona umemkaribia anatoka na speed 120•5 mpka upepo wa eneo Hilo unachange direction.

Kuna mda kichwa chake kikichachuka Huwa haogopi mnyama wa aina yoyote Ile yaani hata Simba na chui siku iyo wanakimbizwa.

Pia hyu mwamba kila sehem anayokula Huwa anahakikisha Pana shimo la imejezi karbu na eneo Hilo ili lolote likitokea na siku hiyo hataki fujo za kukimbizana bas anaenda anachil kwenye shimo huku akikuangalia Kwa dharau.
Oya huyo mwamba anasifa nyingi sna

Huyo ndio mr warthog
 
Haka kadude ndio kana speed kubwa, ila kanazidi kuonekana na speed kutokana na ufupi wake,

Sifa nyingine ni kachokozii..
Clip nyingi tuu utakaona kanavizia simba, chui n.k kanawashtua mda mwingine kuwapiga pembe halafu kanatoka nduki, ndio watu wanasema eti kanafanya vile kutest turbo yake kama iko sawaa..

Pia kanatabia ya kusahau sanaa,
Pia hakakubari unyonge, clip utakaona kanakimbizwa kakiochoka kanakugeuzia kibao, kenyewe nyuma wewe mbele.

Hapa chui walikua wanakunywa maji kakapita nao
View: https://youtu.be/9LYOZFQIk_Y?si=ZCWtk4hLIA5PndA5

Hapa Simba wamelala, kakaenda kuwatest
View: https://youtu.be/PYdn_EoXgn4?si=vOUBdYa5GwVJD1fG

Hapa chui anawinda mzigo wake kenyewe kanamfuatq nyuma kumchokoza, windo likapotea chui akabahi haelewi
View: https://youtu.be/lBPLLgJumU4?si=HlHug30azITGLi2n

Hapa kamekimbizwa na Chui kufika mbele kakamgeuzia kibao

View: https://youtube.com/shorts/flYz2O6iSXk?si=hiBnCEJpgKH_iyaI


View: https://youtube.com/shorts/DjUs0irk1_A?si=r49i9Xa1l9xLmcCK
Hapa chui Wakigeuziwa kibao


View: https://youtu.be/Oyhk6kRAJW0?si=BAf42w-PZSG4Ezh5
Hapa katoto kamewakaziq simba wawili, wakashindwa kakasepa.

Kuna nyingine ngoja niitafute, Chui aliwavizia, yupo katikati ya speed yake kuwafikia, nao wakatoka nduki kumfuata, Chui aligeuka windo mwenyewe.

Nimecheka sana,kwamba kanatest mitambo
 
Back
Top Bottom