Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasije wakakupitishia jino ukiwa umeinamaaWale wanaopenda kuinama inama porini wawe makini jamaa ni Noma huyo speed ya Boeing
Hahahaa. Wewe hujaona kale ka-ugonjwa kanaitwa ngiri kanavyopelekesha wanaume! Hako hakahitaji kupewa promoNikionaga clips Zake hasa zikiwa zimetiwa sauti na Yule jamaa sijui jina lake Nani Basi Burudani.
Jamaa kajua kukapa Promo.
Kinaitwa King of Social media
Ushasema nyavu!Sio kweli bhn kuna video clip kibao nimeona kule india wanawatega kwa nyavu wanawakama kwa mikono wakishanasa kwenye zile nyavu
Kama ni mtego si kawaida kama nguruwe, hata ukiwachimbia mtaro ni ngumu kutoka ...Waulize wawdandaji kama itatokea utamjeruhi kwa mshali au risasi , anakuwa na hasira.Sio kweli bhn kuna video clip kibao nimeona kule india wanawatega kwa nyavu wanawakama kwa mikono wakishanasa kwenye zile nyavu
Angekuwa binadamu,ungesema ana tatizo la afya ya Akili?!!Huyu ni wenge, kichwa hakipo sawa.
Haijawahi kuwinda huyu anaowaona kwenye video,huyo mdudu ni NOMA!Kama ni mtego si kawaida kama nguruwe, hata ukiwachimbia mtaro ni ngumu kutoka ...Waulize wawdandaji kama itatokea utamjeruhi kwa mshali au risasi , anakuwa na hasira.
Waulize wanaowinda nguruwe pori.
Kama angekua na hatari kiasi icho unazani wangesubutu kufanya ivo ?Ushasema nyavu!
Sasa ukikutana na binadamu ana akili za ngiri utamuona yupo sawa kweli? Mtu anaingia kwake kinyume nyume.Angekuwa binadamu,ungesema ana tatizo la afya ya Akili?!!
Khee! We sema eti kichwa hakipo sawa. Lakini huku mashambani, shamba la mahindi, Wakiingia shambani kwako ujue hutavuna hata mabua - wanafyagia mwanzo mwisho halafu wakishiba wanalala hapo hapo kana kwamba wanalinda walichokifanya.Huyu ni wenge, kichwa hakipo sawa.
Wewe acha ubishi usiokuwa na logic!Kama angekua na hatari kiasi icho unazani wangesubutu kufanya ivo ?
Ndo wenge hilo. Ngiri kichwa kipo speed, hakipo sawa.Khee! We sema eti kichwa hakipo sawa. Lakini huku mashambani, shamba la mahindi, Wakiingia shambani kwako ujue hutavuna hata mabua - wanafyagia mwanzo mwisho halafu wakishiba wanalala hapo hapo kana kwamba wanalinda walichokifanya.