Simba mundu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 767
- 1,058
Yeah ruksa ,sasa sjui Kwa mashekh kama ni ruksa kulaMnaruhusiwa kumla ngiri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ruksa ,sasa sjui Kwa mashekh kama ni ruksa kulaMnaruhusiwa kumla ngiri?
Jamaa ana confidence sana haogopi kituUkisikia boda anakwambia, hapa ni mwendo wa ngirii, mkia juu achana naye. Huyo jamaa anapita katikati ya kundi la simba hadi simba wanatawanyika wanabaki wanashangaa nini kimepita hapa.
Sema akishikwa anapiga kelele unaweza muonea huruma
Mimi si kuwahi Mla nilikuwa nawakuta mara kadhaa wanacheza na matope hata nikijua anapoishi nilikuwa nawaambia wafugaji tu Wana wawindaKaka ake mdudu huyo, Mtamu balaa!
Pwani mwaka 2013-2014 alikuwa ananunuliwa 40-60k poriniUmesahau ulizia manya yake .... nisikiavyo nyama yake ni ya aghali sana
🤣 🤣 🤣Khee! We sema eti kichwa hakipo sawa. Lakini huku mashambani, shamba la mahindi, Wakiingia shambani kwako ujue hutavuna hata mabua - wanafyagia mwanzo mwisho halafu wakishiba wanalala hapo hapo kana kwamba wanalinda walichokifanya.
Ngiri ndiye mwanzilishi wa klabu za joging'i Tanzania wakati huo akiishi Gongolamboto, Pugu na Kisarawe alkokua analima mihogo. Wale wanachama wa Mzimuni Joging'i Klabu mnatakiwa mumpe heshima zake.Kwa siku za Hivi karibuni ukipita kwenye mitandao ya kijamii utakuta huyu Mnyama anasema Kwa utani hasa speed yake.
Sasa Kuna wimbo wake sijui ni kabila Gani na una maana gani Kwa anayejua anaweza kutuambia maana ya =>Kasongo yeyeeeee mombali nangai, kasongoooo mbona weooo songa limala
oooohhh yeyeyeee. Kasongo mbona weooo, mbona weeeeooooooo.😀😀.
Pia Kuna baadhi ya page wanasema Hivi👇👇😹😹😹
When scientists were ranking animals, the warthog was in his holes so they ended up crowning the wrong guys. King of the jungle title went to the lion and fastest went to the cheetah but both titles belong to the hog.
Third title for the warthog is for reverse parking. Dude can reverse into a hole in the middle of a high speed chase 😂🤣 acceleration from zero is like a race car and brakes are instant.. i think its time we crown the right champions with all fairness.. if a cheetah can chase a hog and fail to catch it then we have a new champion, the V16 bi-turbo 6.5L AMG engine 🤣
Sasa ukweli ni upi? Nahitaji kujua zaidi kuhusu huyu Mnyama.
Nimewaona sana Kisarawe Pwani
View attachment 3124447wanasema Kwa Sasa ndoThe king of the jungle 😂😂View attachment 3124449Binafisi nafurahi sana pindi niliona clip zake jinsi anavyokimbia!!
Nimewawekea na clips
Kwamba ukiinama tu Ili uchuchumae unauponza😆😆Wachimba dawa porini Kipengele hicho 😅
Kweli kabisa huyu nae mtiti wake sio wa kitoto. Wanasema hata panga ukimkata haiingii. Pia nasikia akifika kwenye mzinga akiachia ushuzi tu nyuki wote wanalewa anajilia asali atakavyo. Anaitwa nyegere kiswahili kama sijakoseaWanyam wawili ninaopenda kuangalia clips zao ni huyo worthog na Honey burger a.k.a Mr die harder...View attachment 3124487
Huyu naye shoo yake sio ya kitoto..
Sio tuu hafi kinyonge, huko kumuwinda tuu ujipange, asilimia kubwa atakuacha na ngeu, yeye akitokomea kusikojulikana..
Wewe kiumbe ambaye chakula chake kikubwa ni Nyoka hasa Black mamba na Cobra unamchukuliaje.. View attachment 3124491
Kisarawe walikuwepo wengi sana sijui Kwa sasa. Siku ya kwanza nilikuta meno yake na baadhi ya mabaki ya mifupa nikayachukua nikauliza wenzangu wakasema huyo ngiri kafa miaka mingi sana. Wakasema huko kwetu bara ni diri ila huwezi peleka ukikamatwa maisha!!Ngiri ndiye mwanzilishi wa klabu za joging'i Tanzania wakati huo akiishi Gongolamboto, Pugu na Kisarawe alkokua analima mihogo. Wale wanachama wa Mzimuni Joging'i Klabu mnatakiwa mumpe heshima zake.
Watu wachokozi sana asee😹😹Yeah ruksa ,sasa sjui Kwa mashekh kama ni ruksa kula
Acha ubishi huyo ni nguruwe pori tuliomla tunajua ngozi sio pana sana ,nyama mpk harufu ya nguruwe na mafuta anayoHii ni misconception iliyotokana na kujua ķuwepo kwa nguruwe pori. Watu wanafikiri nguruwe pori ndiyo ngiri.
Ukweli ni kuwa ngiri (Warthog) sio nguruwe pori. Na Boar (nguruwe pori) sio ngiri. Boar ukigoogle picha zake, utaona ni nguruwe kabisa.
Mpaka miaka ya 80 walikuwa wanaonekana Gongolamboto maeneo ya kiwanda cha KILITEX na kule kwenye machimbo ya Pugu, sasa hivi wapo Saadani Bagamoyo mitaani, usiwaogope ukipishana nao wao wako bize wanajogi.Kisarawe walikuwepo wengi sana sijui Kwa sasa. Siku ya kwanza nilikuta meno yake na baadhi ya mabaki ya mifupa nikayachukua nikauliza wenzangu wakasema huyo ngiri kafa miaka mingi sana. Wakasema huko kwetu bara ni diri ila huwezi peleka ukikamatwa maisha!!
Sawa jomba. Nimeacha ubishi.Acha ubishi huyo ni nguruwe pori tuliomla tunajua ngozi sio pana sana ,nyama mpk harufu ya nguruwe na mafuta anayo
Honey badger nasikia hata haja kubwa huwa hajisaidii hovyo,kama ni Temeke ni huko huko,hata akibanwa akiwa Kimara anaweka furushi la majani kuziba isitoke anarudi Temeke kujisaidia,ukitaka kuprove hili nenda sehemu anapojisaidia lazima ukutane na mafurushi ya majani yaliosokotwa...Kweli kabisa huyu nae mtiti wake sio wa kitoto. Wanasema hata panga ukimkata haiingii. Pia nasikia akifika kwenye mzinga akiachia ushuzi tu nyuki wote wanalewa anajilia asali atakavyo. Anaitwa nyegere kiswahili kama sijakosea
Kuhusu Hilo sijui ila najua anaye fanya hivo Mnyama fln anaitwa fungo.Honey badger nasikia hata haja kubwa huwa hajisaidii hovyo,kama ni Temeke ni huko huko,hata akibanwa akiwa Kimara anaweka furushi la majani kuziba isitoke anarudi Temeke kujisaidia,ukitaka kuprove hili nenda sehemu anapojisaidia lazima ukutane na mafurushi ya majani yaliosokotwa...
Ili mbwa aweze kum'mudu huyo Mwamba ni lazima mbwa wawe wengi halafu na huyo mwamba awe ameshachoka sana. Vinginevyo hilo timbwili ni la kiwango cha lami.Mang'ati na wasukuma kule pwani walikuwa Wana waua Kwa mbwa lakini walikuwa wanatumia hasa mikuki mara kadhaa nimewasadia kumbeba Hadi kambini wateja wanakuja kuchukulia pale.
Sawa mkuuMpaka miaka ya 80 walikuwa wanaonekana Gongolamboto maeneo ya kiwsnda cha KILITEX na kule kwenye machimbo ya Pugu, sasa hivi wapo Saadani Bagamoyo mitaani, usiwaogope ukipishana nao wao wako bize wanajogi.
Nahisi hivyo mara zote walikuwa na kundi la mbwa na mikuki.Ili mbwa aweze kum'mudu huyo Mwamba ni lazima mbwa wawe wengi halafu na huyo mwamba awe ameshachoka sana. Vinginevyo hilo timbwili ni la kiwango cha lami.