Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Mi napenda sana Ile kasongi yeiyeeee mb zangu Huwa zinaisha bila kujua😆😆Nikionaga clips Zake hasa zikiwa zimetiwa sauti na Yule jamaa sijui jina lake Nani Basi Burudani.
Jamaa kajua kukapa Promo.
Kinaitwa King of Social media
Ipo YouTube mkuu?Kinaitwa King of Social media
Huyu kwa hapa mtaani tungemwita chausiku wa hapa uswazi ,yeye kukaa bila kustana ni dhambiHakika anafurahisha sana.
Mi napenda sana Ile kasongi yeiyeeee mb zangu Huwa zinaisha bila kujua😆😆
Ipo YouTube mkuu?
Sio huyu, yule ni Kifaru jombaBushmen kwenye The gods must be crazy nadhani hio ngoma nilisikia
Ila😹😹Huyu kwa hapa mtaani tungemwita chausiku wa hapa uswazi ,yeye kukaa bila kustana ni dhambi
Sawa mi naona sana TikTok. Ahsantee sanaNamwona Tiktok na FB
Sio Watoto Wala mama Yao ni vagi tu akitembea dk1 kajitahidi mnoAnaishia kwa mashaka kisenge.
Yani anapotoka maghetoni (Shimoni ) Ni spidi Kali Hadi kituo Cha nne ndio bus stop ya Kwanza.
Hiyo yote Ni kutokana na kukoswa na noma nyingi katika life yake.
So, yeye kachagua kusprinti tu Muda wote shati inapepea.
Hasemwi na nani?!ndio uone clips hizo na wewe use me umeonaje!Mbona hasemwi kuwa ni hatari kiasi hiki ?
Nilishangaa kuambiwa kwa kiswahili fasaha Ngiri ni Afisa.Huyo ni Afisa kama Afisa
Nimecheka sana,kwamba kanatest mitamboHaka kadude ndio kana speed kubwa, ila kanazidi kuonekana na speed kutokana na ufupi wake,
Sifa nyingine ni kachokozii..
Clip nyingi tuu utakaona kanavizia simba, chui n.k kanawashtua mda mwingine kuwapiga pembe halafu kanatoka nduki, ndio watu wanasema eti kanafanya vile kutest turbo yake kama iko sawaa..
Pia kanatabia ya kusahau sanaa,
Pia hakakubari unyonge, clip utakaona kanakimbizwa kakiochoka kanakugeuzia kibao, kenyewe nyuma wewe mbele.
Hapa chui walikua wanakunywa maji kakapita nao
View: https://youtu.be/9LYOZFQIk_Y?si=ZCWtk4hLIA5PndA5
Hapa Simba wamelala, kakaenda kuwatest
View: https://youtu.be/PYdn_EoXgn4?si=vOUBdYa5GwVJD1fG
Hapa chui anawinda mzigo wake kenyewe kanamfuatq nyuma kumchokoza, windo likapotea chui akabahi haelewi
View: https://youtu.be/lBPLLgJumU4?si=HlHug30azITGLi2n
Hapa kamekimbizwa na Chui kufika mbele kakamgeuzia kibao
View: https://youtube.com/shorts/flYz2O6iSXk?si=hiBnCEJpgKH_iyaI
View: https://youtube.com/shorts/DjUs0irk1_A?si=r49i9Xa1l9xLmcCKHapa chui Wakigeuziwa kibao
View: https://youtu.be/Oyhk6kRAJW0?si=BAf42w-PZSG4Ezh5Hapa katoto kamewakaziq simba wawili, wakashindwa kakasepa.
Kuna nyingine ngoja niitafute, Chui aliwavizia, yupo katikati ya speed yake kuwafikia, nao wakatoka nduki kumfuata, Chui aligeuka windo mwenyewe.
Sio kweli bhn kuna video clip kibao nimeona kule india wanawatega kwa nyavu wanawakama kwa mikono wakishanasa kwenye zile nyavuNguruwe huyo , vurugu zake ni noma ..Anaweza kusafisha vichaa vyote akikasirika , kama utampiga kwa bastola basi panda juu ya mti na asikuone ...