Ngoja mtoto wako afike adolescent age (foolish age) ndio utaukumbuka umuhimu wa shule za Kayumba

Je, Mwanao Hali yake hiyo imesababishwa na kusome English Medium?
Kuna any connection?
Kwamba watoto wakisoma Kayumba hiyo age ya Balehe haiwasumbui ?
 

There has to be another option kwa ajili ya watoto wa kileo kama unavyosema kupeleka kayumba is not the only option
Bado hujaelezea kayumba inafanyaje ili kumshape mtoto
The only benefit naona hapo ni kusave pesa tu sioni maajabu mengine
Issue ya discipline nikuulize watoto wote wa kayumba wana discipline na wa english medium hawana?
What is your reasoning bado sijakusoma
Tunaongelea mabadiliko ya watoto katika teenage stage hio ni stage ambayo malezi yenyewe huanza bad enough wazazi tunasukumia shule zitulelee watoto hatutaki kuwalea wenyewe ndio hii hoja yako inakuja
Hamna sababu ya kayumba au english medium ina justify kuharibika kwa watoto
Malezi ya wazazi ndio sababu
 

There has to be another option kwa ajili ya watoto wa kileo kama unavyosema kupeleka kayumba is not the only option
Bado hujaelezea kayumba inafanyaje ili kumshape mtoto
The only benefit naona hapo ni kusave pesa tu sioni maajabu mengine
Issue ya discipline nikuulize watoto wote wa kayumba wana discipline na wa english medium hawana?
What is your reasoning bado sijakusoma
Tunaongelea mabadiliko ya watoto katika teenage stage hio ni stage ambayo malezi yenyewe huanza bad enough wazazi tunasukumia shule zitulelee watoto hatutaki kuwalea wenyewe ndio hii hoja yako inakuja
Hamna sababu ya kayumba au english medium ina justify kuharibika kwa watoto
Malezi ya wazazi ndio sababu
 
Je, Mwanao Hali yake hiyo imesababishwa na kusome English Medium?
Kuna any connection?
Kwamba watoto wakisoma Kayumba hiyo age ya Balehe haiwasumbui ?
Kasoma english medium mda wote,
Mamaake alikataa asiende kayumba anajutia mpk leo.
Mtoto alifaulu vizuri tu akapangiwa seminari nzuri tu mama kakataa.
Tukapeleka private ni hela baada ya hela.
Kamaliza nikambeba mazima
Aje tupambane.
Connection kapata mahali pazuri tu.
Katosa.
Nikamuacha apambane na hali yake na Malengo yake
 

Hio ni kazi ya mzazi kumfundisha mtoto sio walimu
Wazazi kumpeleka mtoto shule,kumlisha,kumvesha kumpa mahitaji muhimu haitoshi,waleeni watoto wenu msiwaachie walimu wafanye hio kazi mtavuna mabua
Wazazi acheni uvivu kwa kujificha kwenye kivuli cha ubusy
Watoto wanaharibikiwa sio private schools au kayumba sababu ni wazazi wenyewe
 
Bado unasomesha watoto wako huku unawaza white collar jobs,bado una safari sana...
English medium zitaendelea kuwa suluhisho ya kizazi hiki Cha competition,sio mtoto analetewa mnyarwanda tu wa hapo Kigali anashindwa kujielezea😥
 
Wanafaulisha kisiasa ila wako empty kichwani asikudanganyi mtu, shule za kayumba zinazo jitahidi ni zile kwenye majiji makubwa kama Dar arusha mwanza moro dodoma tena sio zote.
Sio zote lakini nyingi kwasasa ziko vizuri tofauti na zamani.

Jamaa kashauri vizuri kama uwezo wako ni mdogo usihangaike na private schools. Tafuta kayumba yenye unafuu iliyo karibu nawe mpeleke mwanao.

Labda eneo lako shule shule ziwe hazieleweki kabisa.

Lakini kama uwezo upo, mpeleke private ni bora zaidi.
 
Sahihi kabisa mkuu
 
Yeye kasema anataka kuwa dereva hataki tena kusoma

Kuna kitu kipo nyuma ya yeye kutaka kuwa dereva
Nikiwa mdogo nilipenda sana kuwa miss,hii ilichangiwa na mama alipenda niwe miss,kila siku jioni nilikuwa nafanya catwalk na viatu virefuuu[emoji3][emoji3][emoji3].Nakumbuka mzee alikuwa anamind sana haya mambo ya mama nikimaliza zoezi la catwalk alikuwa ananiita ananiambia mimi sikupangii unataka kuwa nani baadae lakini jua tu kuna uzee,kuna baadhi ya kazi zina limit ya age jitahidi upate kazi ambayo haitoathiriwa na age yako
Alikuwa ananipa mfano ukitaka kuwa dancer ujue ukifika 40’s viungo vinauma itakuwa mwisho wako
Nakumbuka mimi na kaka zangu alikuwa anatuambia haya mambo mara kwa mara na toka tukiwa wadogo tuliweza kujua tunataka kuwa nani na hivyo ndivyo tumekuja kuwa.Kidogo walichokosea kwenye skills and talents hawakutufatilia sana tumezipush wenyewe kiubishi
My point is sauti ya mzazi inatakiwa kuwa kubwa kuliko sauti nyingine yoyote kwa mtoto.Ninaposema sauti iwe kubwa sio kumfokea,ila sauti ya wazazi iishi ndani ya watoto,how?that’s the puzzle ya mzazi kutegua huo mtego
Tena kwa watoto wa sasa hivi kuna sauti nyingi sana sababu ya technology etc
Mzazi ukipoteza sauti yako kwa mwanao jiandae kustaajabishwa na maamuzi yake.
Huyu mtoto badae atajiuliza kwanini alichagua udereva tu while angeweza kuongeza na ujuzi mwingine pia.Mimi nawalaumu wazazi wake wala wasishangazwe sana na maamuzi yake
 
Mkuu umeongea ukweli. Na Kuna Ile hadhi zao wanapokuwa wanauzia maua unasikia mwanangu anasoma shule fulani Yani Ile shule ada zao za kirafiki sana, wanajazana upepo
Halafu dogo alivyoanza la kwanza ndani ya mwezi wakasema ana akili sana tunamrusha la pili. Mama mtu anafurahi anakuambia angeenda ulipotaka angekua wapi

So dogo yupo la 2 private mdogo wake ndiyo hao middle class.

Baba yao chekechea nilisoma kwa Mwalimu Mjaluo, msingi kayumba na tution za kubaki ukifika muda wa kuondoka. O na a level kayumba
 
Kuna mtoto, kwao pesa zipo, anapelekwa shule za gharama. Mtoto yupo darasa la nne anafungwa viatu kamba, anafungwa vifungo vya shati. Mtoto wa kike anafuliwa Pichu mpaka darasa la sita. Kwa ujumla wanakuwaga wapumbavu kichwani.
 
Mzazi atafundisha mtoto wapi wakati muda mwingi Yupo Kazin na mtoto Yuko Shulen ,na hata likizo mtoto anakuwa nyumbani mzazi kazin ,Ni muda mchache mnoo ambao mzazi anakuwa na mtoto kuliko shuleni kuwa na mtoto ....piga hesabu mwaka unasiku 365 lakin katika hizo siku unakuta siku nyingi mtoto katumia kuwa na walimu Shulen ...mzazi siku chache ....

Sasa hizo siku alizotumia kuwa na mwalimu kama walimu hawamfunzi na kumkanya vzuri anakuwa mayai mayai hizo st Mary's sijui medium zinafanya mtoto anapooza kimaisha ya Duniani ...huko anafuliwa ,anapikiwa ,ananyoshewa nguo ,anafungiwa tai ,usafi hadi kiti anachokaa anapangusiwa ,bustani ya Shule hajui hata maua yanapandwa vipi ,yaani mtoto anakuwa boss....


Kayumba mtoto anakuwa strong kuanzia hatua ya Kwanza anayoingia Shule ,asubuhi tu anaingia Shulen anajua usafi unahitajika ,kufagia shuleni uwanja ,chooni ,darasani ,usafi wake yeye mwenyewe shati ,viati soksi mwalimu tu anapita kukagua ukiwa hovyo ni fimbo ,,tai utajua kufunga tu automatic ,,,maua utaleta wewe na utapanda shuleni ,utamwagilia maji ....utajua kuelekezwa kidogo na kujiongeza kutafuta ...maana usipofanya hivo Ni fimbo tu .....shuleni atafundishwa adabu ,kusalimia ,....aiseee hiki kitu hauwezi kukiona english medium maana huko mwanafunzu ndio boss[emoji23],,,wakati kayumba mwalimu ndio boss so anahakikisha watoto wako msatari mnyoofu ....

Medium mtoto anaweza mvimbia mwalimu hata asimsalimie na walimu wenzake wakamsupport mwanafunzi maana mwanafunzi Ni boss ndio anapesa ,kayumba unaingia stafu ofsin Kwa adabu na dua zote na heshimu maana ukifanya utovu WA nidhamu utakula fimbo mpaka Akili itakukaa sawa ......mtoto anakomaa toka shuleni mpaka nyumbani .....

Kayumba inakufundisha the real meaning of current life tusifichane bana ,,,,hizo medium zinawafanya watoto kuwa goigoii...
 


Stupidity in a making.....
 
Kwa hiyo unahisi angeenda Kayumba asingekuwa kama alivyo Kwa sasa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…