Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Bei zenu kua juu ni kitu kimoja,Soma vizuri boss, kwa huu mfumo utaokoa fedha nyingi sana.
Na Mimi kuokoa hela ni kitu kingine.
Ukiacha kula nyama ya Mbuzi ukaanza kula ya Ng'ombe ni kweli utaokoa hela. Lakini bado uko juu kulinganisha na anaekula Dagaa.