N'golo Kante sifa zimemzidi hadi kiburi kinamnyemelea

N'golo Kante sifa zimemzidi hadi kiburi kinamnyemelea

Mzuka wanajamvi!

Nyodo, dharau, majigambo, majivuno vinaweza kumpata asipojiangalia.

Ngolo Kante mchezaji wa mpira mstaarabu na muungwana kuliko wote inaonekana sifa zimemjaa hadi utanashati wake uliotukuka kwa mbali unaanza kuingia na doa. Hii ni kutokana na mtazamo wangu.

Siku hizi anacheza rafu sana. Anatembeza ngwala bila huruma hii siyo sawa kwa mchezaji wa kaliba yake. View attachment 1806615.

Pia matanuz na kujionesha sana mali zake mitandaoni. Asiende kasi sana. Tulimzoea na magari ya kawaida sasa hivi anapiga picha na magari ya ghali na ya ajabu ajabu. View attachment 1806625

Ajiangalie sana asipoteze focus kwa sifa kedekede anazopata sasa hivi na huenda akawa mchezaji bora wa mwaka duniani na hadhi yake iliyotukuka kushuka.

Licha ya yote namtakia mafanikio mema na tunasuport sana na tunamkubali.

Senior JF Local and International sports analyst and correspondent

Masters

The Icebreaker
Nakuuliza, unamchawia au maana wabongo mmezoea kuwavunjia watu nazi njia panda wakiwapa hasira. Ukiona anakuudhi sana nakushauri ujiue tu.
 
Hizo sio rafu mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo uliyopost hapo juu ni tackling aliyo mchezea KDB na haikua foul Wala nini na hiyo picha sijui ni video uliyoiweka hapo chini ni editing au unatafita views youtube?

Au unatafuta attention ya watu humu? Haya kwahiyo ukijipost na magari yako unapoteza focus? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ngolo Kante hajawahi kujipost Mali zake hata sku moja Kama aliwahi weka picha humu
 
Mzuka wanajamvi!

Nyodo, dharau, majigambo, majivuno vinaweza kumpata asipojiangalia.

Ngolo Kante mchezaji wa mpira mstaarabu na muungwana kuliko wote inaonekana sifa zimemjaa hadi utanashati wake uliotukuka kwa mbali unaanza kuingia na doa. Hii ni kutokana na mtazamo wangu.

Siku hizi anacheza rafu sana. Anatembeza ngwala bila huruma hii siyo sawa kwa mchezaji wa kaliba yake.

View attachment 1806615.

Pia matanuzi na kujionesha sana mali zake mitandaoni. Asiende kasi sana. Tulimzoea na magari ya kawaida sasa hivi anapiga picha na magari ya ghali na ya ajabu ajabu.

View attachment 1806625

Ajiangalie sana asipoteze focus kwa sifa kedekede anazopata sasa hivi na huenda akawa mchezaji bora wa mwaka duniani na hadhi yake iliyotukuka kushuka.

Licha ya yote namtakia mafanikio mema na tunasuport sana na tunamkubali.

Senior JF Local and International sports analyst and correspondent

Masters

The Icebreaker
Mzuka wanajamvi!

Nyodo, dharau, majigambo, majivuno vinaweza kumpata asipojiangalia.

Ngolo Kante mchezaji wa mpira mstaarabu na muungwana kuliko wote inaonekana sifa zimemjaa hadi utanashati wake uliotukuka kwa mbali unaanza kuingia na doa. Hii ni kutokana na mtazamo wangu.

Siku hizi anacheza rafu sana. Anatembeza ngwala bila huruma hii siyo sawa kwa mchezaji wa kaliba yake.

View attachment 1806615.

Pia matanuzi na kujionesha sana mali zake mitandaoni. Asiende kasi sana. Tulimzoea na magari ya kawaida sasa hivi anapiga picha na magari ya ghali na ya ajabu ajabu.

View attachment 1806625

Ajiangalie sana asipoteze focus kwa sifa kedekede anazopata sasa hivi na huenda akawa mchezaji bora wa mwaka duniani na hadhi yake iliyotukuka kushuka.

Licha ya yote namtakia mafanikio mema na tunasuport sana na tunamkubali.

Senior JF Local and International sports analyst and correspondent

Masters

The Icebreaker
Mashabiki wa yanga mnashida sana
 
Hizo sio rafu mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo uliyopost hapo juu ni tackling aliyo mchezea KDB na haikua foul Wala nini na hiyo picha sijui ni video uliyoiweka hapo chini ni editing au unatafita views youtube?

Au unatafuta attention ya watu humu? Haya kwahiyo ukijipost na magari yako unapoteza focus? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ngolo Kante hajawahi kujipost Mali zake hata sku moja Kama aliwahi weka picha humu
Na katika vitu vilivyompa credits nyingi kwenye game ya city, mojawapo ni hiyo tackle

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzuka wanajamvi!

Nyodo, ngebe, dharau, majigambo, majivuno vinaweza kumpata asipojiangalia.

Ngolo Kante mchezaji wa mpira mstaarabu na muungwana kuliko wote inaonekana sifa zimemjaa hadi utanashati wake uliotukuka kwa mbali unaanza kuingia na doa. Hii ni kutokana na mtazamo wangu.

Siku hizi anacheza rafu sana. Anatembeza ngwala bila huruma hii siyo sawa kwa mchezaji wa kaliba yake.


Pia matanuzi na kujionesha sana mali zake mitandaoni. Asiende kasi sana. Tulimzoea na magari ya kawaida sasa hivi anapiga picha na magari ya ghali na ya ajabu ajabu.


Ajiangalie sana asipoteze focus kwa sifa kedekede anazopata sasa hivi na huenda akawa mchezaji bora wa mwaka duniani na hadhi yake iliyotukuka kushuka.

Licha ya yote namtakia mafanikio mema na tunasuport sana na tunamkubali.

Senior JF Local and International sports analyst and correspondent

Masters

Cc The Icebreaker

Mwafrika akipata hela!!!!!!!!!!!!! Dunia nzima itajua, tofauti na white people


Mashkolo mageni bandugu
 
kikosi kazi cha majungu kazini,tafuta sana Mkuu acha kukaza fuvu kujadili mafinikio ya Kante
 
dah! Mkuu umenifurahisha sana hapo kwenye ' magari ya ajabu ajabu' [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] ..
 
Mzuka wanajamvi!

Nyodo, ngebe, dharau, majigambo, majivuno vinaweza kumpata asipojiangalia.

Ngolo Kante mchezaji wa mpira mstaarabu na muungwana kuliko wote inaonekana sifa zimemjaa hadi utanashati wake uliotukuka kwa mbali unaanza kuingia na doa. Hii ni kutokana na mtazamo wangu.

Siku hizi anacheza rafu sana. Anatembeza ngwala bila huruma hii siyo sawa kwa mchezaji wa kaliba yake.


Pia matanuzi na kujionesha sana mali zake mitandaoni. Asiende kasi sana. Tulimzoea na magari ya kawaida sasa hivi anapiga picha na magari ya ghali na ya ajabu ajabu.


Ajiangalie sana asipoteze focus kwa sifa kedekede anazopata sasa hivi na huenda akawa mchezaji bora wa mwaka duniani na hadhi yake iliyotukuka kushuka.

Licha ya yote namtakia mafanikio mema na tunasuport sana na tunamkubali.

Senior JF Local and International sports analyst and correspondent

Masters

Cc The Icebreaker
Mwache atambe....

Katoka "kubovu sana" huyo....

Kaokota sana machupa ili akauze apate faranga chache....

Hebu funga macho na UJIWEKE KATIKA VIATU VYAKE....🤣🤣
 
Mwache ale kuku zake kwa mrija maisha yenyewe haya si FOREVER. Na angekuwa anacheza rafu sana angepigwa red card, sijaliona hilo.
Mzuka wanajamvi!

Nyodo, ngebe, dharau, majigambo, majivuno vinaweza kumpata asipojiangalia.

Ngolo Kante mchezaji wa mpira mstaarabu na muungwana kuliko wote inaonekana sifa zimemjaa hadi utanashati wake uliotukuka kwa mbali unaanza kuingia na doa. Hii ni kutokana na mtazamo wangu.

Siku hizi anacheza rafu sana. Anatembeza ngwala bila huruma hii siyo sawa kwa mchezaji wa kaliba yake.


Pia matanuzi na kujionesha sana mali zake mitandaoni. Asiende kasi sana. Tulimzoea na magari ya kawaida sasa hivi anapiga picha na magari ya ghali na ya ajabu ajabu.


Ajiangalie sana asipoteze focus kwa sifa kedekede anazopata sasa hivi na huenda akawa mchezaji bora wa mwaka duniani na hadhi yake iliyotukuka kushuka.

Licha ya yote namtakia mafanikio mema na tunasuport sana na tunamkubali.

Senior JF Local and International sports analyst and correspondent

Masters

Cc The Icebreaker
 
Back
Top Bottom