Ngoma bado mbichi kabisa, Harmonize na feminist Gyumi wameandaa maandamano makubwa Wasafi HQ

Anasema aliuza nyumba yake
 
As if Rêyvany ndio kamtoboa huyo 'mtoto'. Mtoto anafuata nyayo za mama kwani inaonekana naye alianza kugongwa akiwa mdogo
Ngono wote wote tunafanya, ila suala la kuanza kujirekodi unaweka mtandaoni ni utaahira.

Hata akipigwa mvua mimi wala sitashangaa. Hata akipona sasa huko mbele ya safari kwa tabia hii watakuja kuingia kwenye domo la mamba.

Kila mtu akianza kurekodi mambo ya mapenzi na kuweka mitandaoni, duniani hapa hakutatosha.
 
Asante kiongozi kwa kuniongezea maarifa kidogo, ila nilitaman ungekuja na ushahid wa yeye kuwa na hela maana hela haijifichi lakin pia nimesema nadhan kwa sasa hata vitz hana anababia gari za watu kutembelea mwishoni nilitumia wazaz wake huko kusin kama sample pia kwamba hali tete....ungegusa hizo engo tungepata ukweli..yes najua muzik na other activitoes vinalipa zaidi ya vyeti
 
Ebu tuoneshe hiyo video ya ngono ya Rayvanny na Paula Kama ukinitumia nakupa 100k
 
Kumbe chuki za kibiashara hii kesi serikali isipeleke mahakamani kabisa why waandamane kwenda wasafi!! Wasafi ndiyo wamelala na the brat Paula!!! Waandamane kwenda nyumbani kwa Rayvanny tutaelewa.M
 
Sasa ndugu yangu unataka nikuoneshe bank statement, au?! Hivi unaamini kabisa Harmonize anaweza kushindwa kuwa na usafiri?! Mkuu narudia, huna haja ya kutafuta nyumba za watu au bank statement zao lakini amini usiamini, muziki unalipa especially kama una fan base kubwa!! Usisahau, hadi kesho watu watakuambia Diamond hana hela yoyote ndo maana anaishi nyumba ya kupanga huku wakisahau pale Madale kuna nyumba ya maana tu lakini kamwachia mama yake!!!! Wanasahau hata South Africa kanunua nyumba! Ukawatajia yote hayo, watabadilisha santuri na kukuambia anauza dawa za kulevya au freemason!! Wabongo tunakuwa wazito sana kukubali kwamba hawa jamaa baadhi yao sio wenzetu!!!
 
Paula kwenye video anaonekana yuko so happy halafu mnasema kadhalilishwa?! Nyie watu acheni viroja!!
 
Kinachomuumiza Kondeboy ni kuwa Paula hayupo tayar kusema uongo , yaan hakuna ushirikiano Kwa Paula ....
 
Paula kwenye video anaonekana yuko so happy halafu mnasema kadhalilishwa?! Nyie watu acheni viroja!!

Una uhakika gani alikua happy? Na pia hiyo haifuti ukweli kadhalilishwa!

Wanawake wangapi mnawabaka, Mnawanyanyasa, mnawatumia kwa vile mnaona wapo 'happy'? Mnahalilidha ufuska na udhalilishaji kwa kufurahisha hisia zetu!

Wadhalilishaji tunawaona mnavyotetea udhalilishaji!.

Go Harmonize, anzisha NGO na movement ya kupinga udhalilishaji wasichana. Tafuta partnership na serikali na mashirika ya kiserikali na kimataifa kwenye hili. Paza sauti kwa niaba ya wasichana. Dont slow down!
 
Naile video inaonekana wazi kabisa aliyekuwa ana record ni Paula na wala si Rayvan, ila aliye post ni Rayvan
 
Kama nilivyowahi kumbaka mamaako, au?! We jamaa utakuwa mgonjwa wa akili si bure! Paula mwenyewe anaonekana yupo happy kabisa, halafu unakuja kuumia wewe!!! Au ni Kajala wewe?! Sasa sikiliza Kajala, mtoto umemlea vibaya mwenyewe na ndo maana hata bwana wako wa zamani P-Funk alikuambia wazi kwamba amenyooshea mikono!!!
 
Bwana Mkaruka unapoteza muda kushindana na jamii ya vijana wenye uwezo finyu wa kuelewa na kupembua mambo,
Mtu yoyote ambaye ameelimika na muungwana hawezi shabikia Public Nudity ambazo hufanywa na wasanii wetu,
Ifike mahali tutambue kwamba wasanii ni kioo cha jamii hivyo ni lazima wawe na adamu ili kulinda jamii nzima.

Wajinga wajinga wote ambao wanashangilia hivi vitendo vya ngono kwanza nikuhakikishie kwamba wanatokea kwenye jamii za hovyo hovyo kabisa na hata mahakamani hawajawahi kufika. Ukishafika mahakamani na yakakukuta nadhani kuna kiwango fulani cha adabu utakuwa nacho.

Miaka ya nyuma kidogo nilikuwa nikiletewa kesi za namna hii au zile za ubakaji nilikuwa sioneshi hata chembe ya huruma kama waendesha mashitaka wengine. Utageuzwa mfano na utafungwa tu tena mvua nyingi labda uonewe huruma na hakimu au jaji. Ifike mahali ni lazima tutumie mitandao vizuri ili kulinda watoto wetu.

Ukifuatilia kesi ya Lulu utatambua kwamba alisema yeye yuko juu ya miaka 18, lakini baada ya Kanumba akasema yeye ni mtoto hivyo apelekwe Juvenile Court (Mahakama ya watoto). Lakini kwenye gazeti aliwahi kuweka cheti cha miaka 18 akisema "Nimetimiza miaka 18 sasa mabaunsa wa Club watanikoma". Waendesha mashitaka walitafuta yale magazeti na kuyapeleka mahakamani kuthibitisha kwamba Lulu siyo Minor.

Sasa nasema hivi "Ikithibitika huyo Paul ni mtoto wa chini ya miaka 18" basi imekula kwa huyo Rayvanny.
Lakini mpaka sasa kuvujisha video zao za namna hiyo ni sababu tosha kabisa ya kuwashikisha ababu wasanii kama yeye.
 
Tatizo lako kitu ķidogo unatumia akili nyingi
acha nibaki na upumbavu wangu
 

Phew, Sheikh Yahya you got it wrong. Try again later!

Kama sio mbakaji mbona umeruka kimanga? Kama sio mdhalilishaji kwa nini unawapinga wanaopinga udhalilishaji?

You are among them since you chose to join them.

Acheni udhalilishaji, wewe, na WCB.

Ungeni mkono juhudi za Harmonize iwapo hamfurahii udhalilishaji wasichana na nanyi sio wadhalilishaji na mafuska.
 
Huyo demu hata kama kaliwa, je kaliwa na kampuni ya wasafi au Rayvanny?

Aangalie asije akalipa mamilioni ya fidia kwa wasafi mpaka akafilisika!
Kwan wamakonde wana akili....si aende nyumban kwake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…