Ng'ombe mwenye thamani ya IST

Ng'ombe mwenye thamani ya IST

Yap mpaka 2 tonnes! Wapo Kongwa kwa anaetaka Mbegu
 

Attachments

  • 7AA08661-1B3E-4DFB-B2F1-248C4C8E769A.png
    7AA08661-1B3E-4DFB-B2F1-248C4C8E769A.png
    24.2 KB · Views: 17
  • 71B1A41C-FF7D-4949-A8DC-DA80F27F068E.png
    71B1A41C-FF7D-4949-A8DC-DA80F27F068E.png
    33 KB · Views: 19
  • 33FCAB72-D327-4036-8A3F-4D250600F96C.jpeg
    33FCAB72-D327-4036-8A3F-4D250600F96C.jpeg
    10.5 KB · Views: 18
  • 05F89F44-33A3-4B53-B190-1101BD0B6A0A.jpeg
    05F89F44-33A3-4B53-B190-1101BD0B6A0A.jpeg
    11.7 KB · Views: 18
  • 1E9ECCB5-877B-4F36-B2B5-70F2850C352B.jpeg
    1E9ECCB5-877B-4F36-B2B5-70F2850C352B.jpeg
    9.8 KB · Views: 13
  • D39ED2FD-9EDC-4974-B9BD-0670D883AB21.jpeg
    D39ED2FD-9EDC-4974-B9BD-0670D883AB21.jpeg
    14.4 KB · Views: 14
Boran bull anapatikana SA mnadani anauzwa kuanzia rand 2m kuendelea mpaka 3m pana mfugaji mmoja wa Arusha miaka ya nyuma alimnunua nadhani haikupungua 60m kwa kipindi hicho ila gharama ya kupandisha ng'ombe kwake ipo juu sana inaendana na gharama za kumtunza huyo Boran bull..
Mkuu, 60m ya wapi?
 
Uzitowake si chini ya kilo 1,000 yaani tani moja.
Umenikumbusha Kikwete alikwenda Zimbabwe akashangaa kuona ng'ombe anauzito unaozidi tani moja, mpaka anaondoka madarakani hakuiwezesha nchi iwe na ng😱mbe wa aina hiyo, hapo ndipo utaona ziara zao huwa kwa manufaa yao tu.
Mbona nasikia ng'ombe wa aina hiyo tayari wapo nchini?
 
Back
Top Bottom