SAHIHIMvuto inamaana huna mikosi ..ikiwa kila sehemu utakayopita kama maofisini na masokoni utapata msaada au chochote kile bila kutumia nguvu basi wewe nguvu chanya yako iko juu, dalili za kutambua nguvu chanya yako iko juu. ( 1) ukiwa kwenye kundi la watu ukaanzisha mada watu huvutiwa kukusikiliza. (2 ) kuna watu ukiwazingua wanaumia sana na kuhisi hawawezi kuishi bila wewe. ( 3) kufika sehemu ambayo hujawahi kuishi na sehemu hiyo watu kukuzoea kwa haraka na kukuamini
Ohoo nimeelewa sasa ibada za kujitenga na jimai na kula nyama lengo lake ndo hili hapa.[emoji122]Yaani iko hivi
NGUVU na usafi wa kiroho vina mahusiano makubwa sana na ngono.. Kadiri unavyofanya ngono na watu wachache ndivyo nguvu na usafi wako kiroho unavyokuwa mkubwa
LAKINI
Kadiri unavyongonoka na wengi unatapanya nguvu zako huku nawe ukibeba nguvu zao.. Hatufanani nguvu, hivyo mwisho wa siku unajikuta una mixer moja hatari sana ya NGUVU tofauti mwilini mwako
Hizo sasa ndio zitakuletea stress, mikwamo, nuksi hasira kupoteza vitu kushindwa nknk
Sasa kiongozi, kama umeshapitia harakati hizo za kuchanganya watoto wa kike. Unajisafisha kivipi maana naona kama hii mada inanikatisha tamaa. Mimewataguna sana Hawa viumbe.Yaani iko hivi
NGUVU na usafi wa kiroho vina mahusiano makubwa sana na ngono.. Kadiri unavyofanya ngono na watu wachache ndivyo nguvu na usafi wako kiroho unavyokuwa mkubwa
LAKINI
Kadiri unavyongonoka na wengi unatapanya nguvu zako huku nawe ukibeba nguvu zao.. Hatufanani nguvu, hivyo mwisho wa siku unajikuta una mixer moja hatari sana ya NGUVU tofauti mwilini mwako
Hizo sasa ndio zitakuletea stress, mikwamo, nuksi hasira kupoteza vitu kushindwa nknk
Time heals..kuna mambo hutibiwa na mudaSasa kiongozi, kama umeshapitia harakati hizo za kuchanganya watoto wa kike. Unajisafisha kivipi maana naona kama hii mada inanikatisha tamaa. Mimewataguna sana Hawa viumbe.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hata kwa wanaume hii ipo saana tu.Yote hayo yanategemea na nyota ya uyo unayepiga,
ndo maana usishangae Wengine wanatumia gharama Kubwa kufanya ngono na flani, Tena kwa ushindan mkubwa sn.
Jicho la tatu lishaona, Ukipiga pale unatoboa.
Ngono inaweza kua Njia ya mafanikio/mikosi[emoji4]
Time heals..kuna mambo hutibiwa na muda lakini lazima kwanza ufanye detachmentSasa kiongozi, kama umeshapitia harakati hizo za kuchanganya watoto wa kike. Unajisafisha kivipi maana naona kama hii mada inanikatisha tamaa. Mimewataguna sana Hawa viumbe.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
NGONOWakati unaandika hii comment ulikuwa katika state gani kifikra? Sijaelewa kitu..au mimi ni kiazi!!
Hakuna immediate attention for healing.Time heals..kuna mambo hutibiwa na muda
Eeh mara moja moja.Nawe sheria unaichukua mkononi?
Hakuna cha ubora wowote ule.Bora hata
unakuta mtu anapiga nyeto, anatomber malaya wa kila aina, anatazama porn za kila aina.. na anatoboa tu..Tena nyie ndio kabisa maana mnalisha maroho machafu bila kujijua ndio maana baadhi wanashindwa kutoka huko kutokana na manii zao kuwa tamu hivyo hutekwa kabida na kugeuzwa watumwa wa kuzalisha hicho chakula! Kuna manii chungu pia
unakuta mtu anapiga nyeto, anatomber malaya wa kila aina, anatazama porn za kila aina.. na anatoboa tu..Tena nyie ndio kabisa maana mnalisha maroho machafu bila kujijua ndio maana baadhi wanashindwa kutoka huko kutokana na manii zao kuwa tamu hivyo hutekwa kabida na kugeuzwa watumwa wa kuzalisha hicho chakula! Kuna manii chungu pia
Niliwahi kuishi ktk utumwa huo zaidi ya miaka 8, nikiwa napoga punyeto zaidi ya mara 6(goli) kwa siku 1.[emoji3064][emoji3064][emoji2827]Hakuna cha ubora wowote ule.
Tena huko ndiko kuna utumwa kuliko hata ufikiriavyo, mbegu zinawezachukuliwa na majini na kufungiwa roho za kishetani ambazo hutahitaji kamwe kusex na Me wala Ke halisi zaidi ya pepo mchafu aliyekujaa kichwani kukutumikisha kiakili na kimwili hatimaye ukaishia kuwa mtumwa maisha yako yote hadi kifo.
Niliwahi kuishi ktk utumwa huo zaidi ya miaka 8, nikiwa napoga punyeto zaidi ya mara 6(goli) kwa siku 1.
Nilijitahidi sana kuacha kwa akili zangu lakini nilichemka.
Wakati mwingine nilikuwa naweza kukaa hata zaidi ya miezi mitatu bila kujichua lakini siku nikikumbuka tu ndipo najikuta nimerudia uhalisia ule ule kama awali.
Yani unapiga goli 6 kwa siku 1, una demu wa kunyaduana naye wakati wowote na bado tena unaingia chimbo kununua Malaya, unadhani ni akili za Binadamu wa kawaida hizi?
Nilifunga kwa siku 7 kumwomba Mungu anisaidie kutoka katika hicho kifungo ndipo Mungu alinisikia na kunijibu, hadi sasa nina zaidi ya miaka 10 bila kupiga punyeto tena.
NB:
Niliacha punyeto miaka minne kabla ya kufunga ndoa, nimekumbushia hili maana kuna Watu wataja kujitetea kuwa dawa ya punyeto ni kuwa na Mke wa kudumu kumbe kwa Mungu yote yanawezekana.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
So unawanywesha maroho wachafu..Eeh mara moja moja.
Yani hili kweli kabisa,,kuna papuchi ukitunukiwa mambo yananyooka ila kuna nyingine sasa loh, utaandamwa na nuksi hadi hio nguvu ikiisha ndani kwakoBaraka au mikosi ya ngono inategemea unakutana na Nani Kwny ngono?
Kuna wanawake naturally Wana upepo mzuri, ukipiga michongo yako inanyooka.
mfano mzuri:wema sepetu,mamaJ n.k[emoji4]