Hakuna cha ubora wowote ule.
Tena huko ndiko kuna utumwa kuliko hata ufikiriavyo, mbegu zinawezachukuliwa na majini na kufungiwa roho za kishetani ambazo hutahitaji kamwe kusex na Me wala Ke halisi zaidi ya pepo mchafu aliyekujaa kichwani kukutumikisha kiakili na kimwili hatimaye ukaishia kuwa mtumwa maisha yako yote hadi kifo.
Niliwahi kuishi ktk utumwa huo zaidi ya miaka 8, nikiwa napoga punyeto zaidi ya mara 6(goli) kwa siku 1.
Nilijitahidi sana kuacha kwa akili zangu lakini nilichemka.
Wakati mwingine nilikuwa naweza kukaa hata zaidi ya miezi mitatu bila kujichua lakini siku nikikumbuka tu ndipo najikuta nimerudia uhalisia ule ule kama awali.
Yani unapiga goli 6 kwa siku 1, una demu wa kunyaduana naye wakati wowote na bado tena unaingia chimbo kununua Malaya, unadhani ni akili za Binadamu wa kawaida hizi?
Nilifunga kwa siku 7 kumwomba Mungu anisaidie kutoka katika hicho kifungo ndipo Mungu alinisikia na kunijibu, hadi sasa nina zaidi ya miaka 10 bila kupiga punyeto tena.
NB:
Niliacha punyeto miaka minne kabla ya kufunga ndoa, nimekumbushia hili maana kuna Watu wataja kujitetea kuwa dawa ya punyeto ni kuwa na Mke wa kudumu kumbe kwa Mungu yote yanawezekana.
Sent from my CPH2387 using
JamiiForums mobile app