4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Hawa wametumwa eneza propaganda chafu pitia KWa wamasai walio Ngorongoro,ila kilichonyuma ya pazia wajua waoMbona Loliondo kwa Mwarabu huzungumzii umekomaa na Ngorongoro?
Kwa hiyo Loliondo anaishi Mwarabu, huku Masai akiishi Ngorongoro?Mbona Loliondo kwa Mwarabu huzungumzii umekomaa na Ngorongoro?
Katumwa kivipi?Hawa wametumwa eneza propaganda chafu pitia KWa wamasai walio Ngorongoro,ila kilichonyuma ya pazia wajua wao
Kwamba kitenge,2022 ndo amekuwa na huruma Sana na wamasai na Ngorongoro,wizi mtupu
Lengo la swali lako nini? Kufika au kutofika Bado haiondoi ukweli kwamba binadam KWANZA wanyama badaeUmewahi kufika Hifadhini Ngorongoro
Wanajua waoKatumwa kivipi?
Very true,Kupanga ni kuchagua kwa kipato utaliii Ina bidi Wananchi na mifugo wapishe wapishe kwa resettlement plan ya haki, wapewe eneo la pembezoni lenye ecolojia similar lenye mipaka. Wakati wa vijiji 1974 Mwl. Nyerere aliwapeleka baadhi wakazi Kilimanjaro Tanga na Morogoro kuwagawia mashamba. Maamuzi sahihi yafanyike haraka.
My footWanajua wao
Mwarabu kawapa mzigo wa kutoshaKwa hiyo Loliondo anaishi Mwarabu, huku Masai akiishi Ngorongoro?
Halafu kitenge inataka masai ihame ila arabu ikae?
Wamepewa rushwa hawa wachumia tumboHawa wametumwa eneza propaganda chafu pitia KWa wamasai walio Ngorongoro,ila kilichonyuma ya pazia wajua wao
Kwamba kitenge,2022 ndo amekuwa na huruma Sana na wamasai na Ngorongoro,wizi mtupu
Hapana kwanini msianzie Loliondo? kwamba sahivi mnahuruma sn na wamasai kuliko miaka yote?Tukimaliza Ngorongoro tutahamia Loliondo....
YapHivi Kitenge ni Mzaramo
Hawa wapuuzi wamepewa rushwa huko wakaanzisha kampeni yao fekiHivi lini mmesikia wamasi wanasema Wana Hali mbaya, Kama kweli Wana Hali mbaya why hawataki kuondoka,
Ni mafisadi yanayotaka jimilikisha mbuga Ili kufanya ujangili , ndo wanakuja na propaganda mfu pitia KWa wamasai ,Ili wakatekeleze ushetan wao
Huyu Kitenge elimu yake ikoje kwanza?Hahahaha
Umesikia wanalalamika au ni hawa wachumia tumbo wamepewa rushwa na mwarabu wa Loliondo?Wakaaji wa Ngorongoro wana hoja za msingi, Kwanini wasiondolewe, kuliko haya yanayoongelewa na waandishi wa habari.
Watu wanalipa zaidi ya $20000 kufanya uwindaji Ngorongoro. Tunahitaji hiyo pesa. Wamasaai watafutiwe sehemu nyingine waishi!Wao wanasema wamefika, na wanapigana wasiondoke,hata sie watanzania wenzako tuko nao bega KWa bega ,Kitenge anawashwawashwa nini?masai tribe SIO watu wa anasa hata walioko mjini huwezi jua wanalalaga wapi,na ndo maana kabila hili limebaki kuwa la kipekee...