Hujui unachkiongea,baadhi ya hoja zinataka Proffesionals.Wao wanasema wamefika, na wanapigana wasiondoke,hata sie watanzania wenzako tuko nao bega KWa bega ,Kitenge anawashwawashwa nini?masai tribe SIO watu wa anasa hata walioko mjini huwezi jua wanalalaga wapi...
Utalii na mapato yatokanayo mnayapeleka hazina bila kuwafaidisha watunza mazingira asilia na kuwaendeleza.Masai pia anapenda maisha bora kama Mtanzania au binadamu mwingine yeyote.Wao wanasema wamefika, na wanapigana wasiondoke,hata sie watanzania wenzako tuko nao bega KWa bega ,Kitenge anawashwawashwa nini?masai tribe SIO watu wa anasa hata walioko mjini huwezi jua wanalalaga wapi...
You have to weigh the concequences,there shall never be Ngorongoro without Maasais' there.Kupanga ni kuchagua kwa kipato utaliii Ina bidi Wananchi na mifugo wapishe wapishe kwa resettlement plan ya haki, wapewe eneo la pembezoni lenye ecolojia similar lenye mipaka. Wakati wa vijiji 1974 Mwl. Nyerere aliwapeleka baadhi wakazi Kilimanjaro Tanga na Morogoro kuwagawia mashamba. Maamuzi sahihi yafanyike haraka.
Huyu si tuliambiwa ni DC? aliitumiaje nafai yake serikalini kushauri hayo anayoyasema nje ya mfumo?Makamu mwenyekiti wa kituo hicho mwanahabari mkongwe Maulid Kitenge ameyasema hayo kwa niaba MECIRA muda mfupi baada ya kamati tendaji ya taasisi hiyo kutembelea hifadhi hiyo kujionea utalii na maisha ya wananchi husika kuzingatia ukweli kuwa hifadhi ya Ngorongoro ndio hifadhi pekee nchini inayohusisha maisha ya binaadamu, mifugo na wanyama
Naunga mkono hoja.Kwa mwendo huu ndani ya miaka 50 kutakuwa na mbuzi tu hapo mbuganiKupanga ni kuchagua kwa kipato utaliii Ina bidi Wananchi na mifugo wapishe wapishe kwa resettlement plan ya haki, wapewe eneo la pembezoni lenye ecolojia similar lenye mipaka. Wakati wa vijiji 1974 Mwl. Nyerere aliwapeleka baadhi wakazi Kilimanjaro Tanga na Morogoro kuwagawia mashamba. Maamuzi sahihi yafanyike haraka.
Acheni siasa za kipuuzi, za kufifisha UTU wa mwanadamu kwa tamaa zenu za pesa.Hasihamishiwe Serengeti...Wahamishiwe mahala salama penye msitu ambapo wataishi na kuboresha maisha yao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aanze na ndugu zake kwaza wazaramo
Una hoja nzuri, lakini badilisha 'angle' unayotumia.Binaadamu wana hali mbaya sana kuliko wanyama....wanaotakiwa Kuokolewa sasa ni wamasai si wanyama
Jenga Hoja
Watanzania wafugaji wana hali mbaya kutokana na kuharibika maeneo ya malisho.Hivi lini mmesikia wamasi wanasema Wana Hali mbaya, Kama kweli Wana Hali mbaya why hawataki kuondoka,
Ni mafisadi yanayotaka jimilikisha mbuga Ili kufanya ujangili, ndo wanakuja na propaganda mfu pitia KWa wamasai ,Ili wakatekeleze ushetan wao
Hizo professionals zenu zinakuja leo 2022, WAKATI mnawaamishia pale professional zilikua mfukon au , professional zenu uchwara ndo zinaalibu Sana taifaHujui unachkiongea,baadhi ya hoja zinataka Proffesionals.
Bora saa ingine usome na kupita tu.
Si mmekua mkilipwa na wao wakiwepo,Sasa shida inatoka wapiWatu wanalipa zaidi ya $20000 kufanya uwindaji Ngorongoro. Tunahitaji hiyo pesa. Wamasaai watafutiwe sehemu nyingine waishi!
Mkuu.....Ni mafisadi yanayotaka jimilikisha mbuga Ili kufanya ujangili, ndo wanakuja na propaganda mfu pitia KWa wamasai ,Ili wakatekeleze ushetan wao
Hela za mwarabu ni kama drugs,mtalewa na kitenge wako ila masai hawaondoki labda hangaya na waarabu ndio wataondokaTukimaliza Ngorongoro tutahamia Loliondo....
Wamasai wasiondolewe Ngorongoro. Wahamishwe NgorongoroWakaaji wa Ngorongoro wana hoja za msingi, Kwanini wasiondolewe, kuliko haya yanayoongelewa na waandishi wa habari.
Na wanawamaliza sana kupitia wafugajiMkuu.....
Hii hoja naielewa. Hapa watu tunaweza kuingizwa mkenge kumbe Wahuni wanataka kumalizia tembo waliobaki
Kaifelisha nani?Wanataka kuiuza na ngorongoro kama Loliondo? Mbona propaganda za kuwaondoa wamasai zimepamba moto? Naona wanashindwa kufanya ujangili na wamasai wakiwepo wameona waje na propaganda nyepesi. Bahati mbaya project imeshafeli mapema Sana wabuni nyingine.
Sifa ya Ngorongoro ni mchanganyiko wa wanyama na binadamu hiyo ndio brand yake.You have to weigh the concequences,there shall never be Ngorongoro without Maasais' there.