Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
muhim hakikudhuru we kula tu mkuu,, kwan hujafka chinašHata nyoka, konokono, minyoo waliwe tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muhim hakikudhuru we kula tu mkuu,, kwan hujafka chinašHata nyoka, konokono, minyoo waliwe tu?
Agano la kale hilo mkuuMwenyezi Mungu ameahidi kutoa kipigo heavy kwa wala nguruwe ,Tena hasa Hawa wamataifa ,
Isaya 65
1 Watu wasionitaka wanauliza habari zangu; nimeonekana na hao wasionitafuta; naliliambia taifa lisiloitwa kwa jina langu,
2 Nitazameni, nitazameni. Mchana kutwa nimewanyoshea mikono yangu watu walioasi, watu waendao katika njia isiyo njema, wakifuata mawazo yao wenyewe;
3 watu wanikasirishao mbele za uso wangu daima, wakitoa dhabihu katika bustani zao, na kufukiza uvumba juu ya matofali;
4 waketio kati ya makaburi, na kulala katika mahali pao pa siri; walao nyama ya nguruwe, na mchuzi wa vitu vinichukizavyo u katika vyombo vyao;
5 watu wasemao, Simama peke yako, usinikaribie mimi, kwa maana mimi ni mtakatifu kuliko wewe; watu hao ni moshi puani mwangu, moto uwakao mchana kutwa.
6 Tazama, neno hili limeandikwa mbele zangu. Sitanyamaza, lakini nitalipa, naam, mimi nitawalipa ujira wao vifuani mwao;
Kule njaa na scarcity ya vyakula imewatoa ufahamu japo Si wote wenye kula u hafu huo.muhim hakikudhuru we kula tu mkuu,, kwan hujafka chinaš
kula mkuuKule njaa na scarcity ya vyakula imewatoa ufahamu japo Si wote wenye kula u hafu huo.
AGANO la kale halikuondolewa ndugu,Agano la kale hilo mkuu
Wanaokula watoto wao ni wachawi na washirikina , ni HAYAWANI pia.Binadamu nao wanakula watoto wao. Kula watoto ni ishara kuwa kiumbe huyo ana akili.
Agano la kale ni kama katiba kwenye katiba Kuna vifungu huwa vinabadilishwa lakini katiba inabaki kuwa vile vile kuja kwa Yesu alikuja kubadilisha vifungu vinavyoleta shida kipindi kile watu walikuwa wakitembea umbali mrefu kwenda kuhubiri neno njiani wakawa wanakutana na hao nguruwe lakini ni changamoto kula hao viumbe Mungu akaona ni vyema kuruhusu pia nguruwe kuliwa.AGANO la kale halikuondolewa ndugu,
Liliboreshwa tu,
Ujasiri wa kula mbwa au panya WANADAMU wanatoa wapi?
Nguruwe pori?šAgano la kale ni kama katiba kwenye katiba Kuna vifungu huwa vinabadilishwa lakini katiba inabaki kuwa vile vile kuja kwa Yesu alikuja kubadilisha vifungu vinavyoleta shida kipindi kile watu walikuwa wakitembea umbali mrefu kwenda kuhubiri neno njiani wakawa wanakutana na hao nguruwe lakini ni changamoto kula hao viumbe Mungu akaona ni vyema kuruhusu pia nguruwe kuliwa.
Hata ndege John analiwa? Yule bwana AFYA, mla uchafu majalalani?Ila tumbo ni kwa ajili ya Chakula na Chakula ni kwa ajili ya tumbo
Mkuu Rabbon,Salaam, shalom!!
Utafiti mdogo niliofanya unasema, mnyama huyu nguruwe, akizaa watoto, ukichelewa kuwaondoa, aweza kuwala wote pasi huruma,
Kuna wanyama na ndege walioumbwa wakiwa na utindio, aina Fulani ya ukichaa, mbuni akiwa Mmoja wapo,
Ikiwa mnyama huyu KWELI anaangukia kundi la wanyama wasio timamu , ni sahihi kuwatumia Kwa chakula?
Na Kuna uadui Gani kati ya nguruwe na mapepo?
Maana (Luke 8:30-32) nguruwe akaona kuliko kukaliwa na mapepo, akaona Bora ajitose Baharini afe kuliko kumilikiwa na mapepo,
Karibuni š
Kuna watu hajawahi kuukubari ukweli. Zidisha kueneza njili.Hata nyoka, konokono, minyoo waliwe tu?
Maandiko mnayasomaje ninyi?