Unaposema Nguvu kwanza unamaanisha nini mkuu?
Pia naomba nikupe mwanga wa tafiti zinavyosema kuhusiana na hali ya kila kitu unachokiona.
Kwanza kabisa nature ya ilimwengu haipo kama wengi wanavyoelewa. Kila unachokiona hakipo kama kilivyo. Wengi waliobahatika kusoma na kufahamu mengi hii sio concept mpya kwao.
Kila kitu unachokiona (matter) vimeundwa au kujengwa na Atoms. Ukiweza kuchukua kitu na kutumia darubini kali saana 10,000 times utaona Atoms. Mfano kama size ya dunia ndio matter atom zake zinaweza kuwa size ya mpira wa Golf ukisema uangalie mfano kwa ration utakayoielewa. Katika uchunguzi wa atom kuna mambo mengi ambayo mpaka sasa Quantum Physics inajaribu kufahamu zaidi kwa sababu Atoms zipo zina tabia tofauti na Matter. Atoms zimejengwa na Electrons ambazo zinazunguka kiini chake kinachoitea Nicleus. Ndani ya kiini kuna proton na neutron.
View attachment 396335
Ni kama vile sayari zinavyozunguka jua katika njia yake. Lakini tofauti ya mzunguko wa sayari na jua na mzunguko wa electrons ni kwamba kwenye atom electron zinaweza kuhama njia yake lakini hazibadiliki idadi. Quantum Physics inasema kuwa Ukichukua kila kitu duniani ukachukua atoms zake particle hazijai size ya kiwanja cha mpira cha standard. Na hapo utaona ulimwengu na kila ukionacho ni ILLUSION.
Kiini cha atom ni umeme kuna positive na negative charge. Kama atom ina electron +3 lazima iwe na proton -3 kuweka balance.
Kila kitu kimeindwa na element mbalimbali. Kuna oxygen, hydrogen, helium, carbon na kadhalika. Kila element ina atom na kila atom ina umeme. Tofauti kati ya kitu kimoja na kingine ni mpangilio wa atoms, umeme wa atoms katika vibration yake na idadi ya protons.
Mfano Hydrogen ina atomic number 1 (nadhani mmesoma periodic table).
View attachment 396339
Tofauti kati ya hudrogen na element zote ulimwenguni ni idadi ya protons. Hydrogen inayo 1 tu. Inayofuatia ni Helium ina proton mbili, inayofuatia ni Lithium na kuendelea.
Kila unachokiona mfano mti na jiwe vipo na tofauti kwenye atomic particles. Vibration na umeme wa mti na jiwe vinatofautiana na ndio maana unaona ni tofauti. Pia utofauti wake unapelekea utofauti mpaka wa elements. Mfano mti ina Carbon lakini jiwe linaweza kuwa ni Calcium. Kwahiyo utofauti wa kila chenga chenga za ulimwengu ni atomic number. Utofauti wa atomic number umetokana na utofauti wa aina za vibration.
Pia hata Rangi ni vibrations za waves katika hali mbalimbali. As same as sound. They are all energies katika frequency mbalimbali.
View attachment 396342
Macho, pua, ubongo, ngozi, sikio na ulimi ni organs ambazo tunazitumia tangu evolution inaanza katika kila kiumbe ili kujua rates za vibration na kutumia ubongo kutafsi kuwa katika forms mbalimbali. Red unayoiona sio red colour ni tafsiri ya ubongo kupitia jicho likasense vibratory frequency na ubongo kutafsiri. Sikio lina sense rate ya vibration kwenye hewa na kukupa frequency kwenye ubongo ukatafsiri.
Hivyo nature ya ulimwengu ni kama mazingaombwe. Imani za Asia zinasema ULIMWENGU HAUPO KAMA UNAVYOUONA. Kutoka katika Element ya kwanza Hydrogen imetengeneza elements zote unazoziona na kila siku nyota zinavyopasuka na kujijenga zinatengeneza elements. Oxygen unayotumia leo hii imetokana na hudrogen iliyokuwa fused na kubadilishwa atoms katika nyota na ndio kazi kuu ya nyota. Kutengeneza elements. Ndio maana wanasayansi wanaamini Hydrogen ndio element ya kwanza kwa sababu imeinda kila element.
Kila kitu ni energy. That energy ndio inayoshikilia ulimwengu na kila particle. Na tunavyotafsiri ulimwengu ulivyo sio kama. Ulivyo bali ni kutokana na mazoea ya kuuelewa ulimwengu tangu tulipozaliwa mpaka sasa.
KWA KUCHUNGUZA NATURE YA ULIMWENGU UTAGUNDUA KUWA MUUMBAJI, CHANZO CHA ULIMWENGU, KILICHOUMBWA, NA KINACHOONA UUMBAJI NI WAMOJA.