Nguvu kubwa inayotumiwa na Polisi kuwadhibiti BAWACHA bila mafanikio ni kuipaisha taasisi hiyo

Nguvu kubwa inayotumiwa na Polisi kuwadhibiti BAWACHA bila mafanikio ni kuipaisha taasisi hiyo

Ile Taasisi bora ya akina mama barani Africa , na ambayo inatajwa kushika namba 3 kwa ubora duniani kwa sasa , BAWACHA , Imeishika Nchi kwa kiganja kimoja cha mkono wa kushoto.

Pamoja na kwamba Bawacha ni Taasisi ya wanawake , lakini nguvu kubwa inayotumiwa na Jeshi la Polisi kuwadhibiti bila kufuata PGO , tena bila Mafanikio inazidi kuipaisha Taasisi hiyo

View attachment 1961227

Kwa kifupi ni kwamba hoja za Polisi za kujaribu kuhusisha Jogging za Bawacha na harakati za kisiasa HAZINA MASHIKO , BAWACHA ni Taasisi ya kisiasa , chochote watakachokifanya hauwezi kukitenganisha na siasa , kiongozi wa kisiasa hawezi kubadilika kwa mavazi , hata akiingia Kanisani au Msikitini atabaki kuwa mwanasiasa tu , hata akihudhuria msiba bado TAITO yake ya uanasiasa haitapotea , udiwani wake , ubunge au uenyekiti wake hautaondoka kwa vile yuko kwenye mazishi .

Kwahiyo kuwazuia BAWACHA kufanya mazoezi kwa vile ni viongozi wa kisiasa , au labda kutaka wanasiasa hao wafanye mazoezi yao au Jogging zao huku vyeo vyao wameviacha nyumbani ni KITUKO kisichowezekana , Polisi ni lazima iseme ni namna gani kiongozi anaweza kujitokeza kama raia huku akiacha cheo chake nyumbani , na ni wakati gani ambao anapaswa kutembea na cheo chake , Kwa mfano , ni wakati gani Waziri labda Jenister Mhagama anakuwa Waziri ni wakati upi anakuwa Raia ? bila shaka si rahisi .

Bali Polisi wanapaswa kulinda amani na usalama tu , wakianza kupiga ramli na kuzuia wengine kukimbia barabarani kwa Visingizio vya kichovu watajidhalilisha tu , uonevu duni kama huu hautasaidia Polisi katika lolote na wala HAUTAFANIKIWA , zaidi utatengeneza Uhasama wa Kudumu .
Bawacha Jeshi la wanawake la tanzania
 
wanapozuia barabara kwa maandamano yao mama yangu anashindwa kuweka vitumbua vyake; watoto wetu wanaosoma kwenye mashule yaliyo karibu wanaathirika; bodaboda anashindwa kumpitisha mteja wake humo kisa mnamuandamania fulani n.k.

kama ingelikuwa yanawahusu nyie tu, kama lile la kupigwa bilioni kadhaa na mh. chair huku nyie mkideki barabara, hata nisingetia neno hata moja kwani hayanihusu kabisaaa. maisha yalivyonipiga hata sina muda wa kuyaingilia ya watu.
Poverty mentality
 
Polisi msiwalaumu wao wanapewa amri na hawawezi kukataa mana wao ni watumwa wa watawala. Walisha wamanipulate vya kutosha. Angalia makazi ya polisi halafu linganisha na makazi ya watawala. Katika nchi zetu za kiafrika na hasa Tanzania kada za ualimu,upolisi and the likes ni kazi za watoto wa masikini ili wawatumikie watawala kwa manufaa yao. Polisi nao wanaujua ukweli huu mchungu hata hivyo that's their only option to survive.
 
Ile Taasisi bora ya akina mama barani Africa , na ambayo inatajwa kushika namba 3 kwa ubora duniani kwa sasa , BAWACHA , Imeishika Nchi kwa kiganja kimoja cha mkono wa kushoto.

Pamoja na kwamba Bawacha ni Taasisi ya wanawake , lakini nguvu kubwa inayotumiwa na Jeshi la Polisi kuwadhibiti bila kufuata PGO , tena bila Mafanikio inazidi kuipaisha Taasisi hiyo

View attachment 1961227

Kwa kifupi ni kwamba hoja za Polisi za kujaribu kuhusisha Jogging za Bawacha na harakati za kisiasa HAZINA MASHIKO , BAWACHA ni Taasisi ya kisiasa , chochote watakachokifanya hauwezi kukitenganisha na siasa , kiongozi wa kisiasa hawezi kubadilika kwa mavazi , hata akiingia Kanisani au Msikitini atabaki kuwa mwanasiasa tu , hata akihudhuria msiba bado TAITO yake ya uanasiasa haitapotea , udiwani wake , ubunge au uenyekiti wake hautaondoka kwa vile yuko kwenye mazishi .

Kwahiyo kuwazuia BAWACHA kufanya mazoezi kwa vile ni viongozi wa kisiasa , au labda kutaka wanasiasa hao wafanye mazoezi yao au Jogging zao huku vyeo vyao wameviacha nyumbani ni KITUKO kisichowezekana , Polisi ni lazima iseme ni namna gani kiongozi anaweza kujitokeza kama raia huku akiacha cheo chake nyumbani , na ni wakati gani ambao anapaswa kutembea na cheo chake , Kwa mfano , ni wakati gani Waziri labda Jenister Mhagama anakuwa Waziri ni wakati upi anakuwa Raia ? bila shaka si rahisi .

Bali Polisi wanapaswa kulinda amani na usalama tu , wakianza kupiga ramli na kuzuia wengine kukimbia barabarani kwa Visingizio vya kichovu watajidhalilisha tu , uonevu duni kama huu hautasaidia Polisi katika lolote na wala HAUTAFANIKIWA , zaidi utatengeneza Uhasama wa Kudumu .
Nilipoisikia tu ile kauli ya kiongozi wa Polisi, nilijiuliza sana, kama kiongozi wa polisi amekosa ufahamu kiasi hicho, je hao polisi wa kawaida wapoje?

Mahali popote ambapo panahitaji kutumika akili, polisi huonekana watupu kabisa!!
 
Katika kikao cha bunge kijacho ipo haja baadhi ya vifungu vikarekebishwa kwa dharura hasa kipengele kinachoruhusu watu kuandamana hovyohovyo na vikao vya hovyo hovyo ili kuwepo na muda rasmi ambao ndio utakuwa muda sahihi kwa maswala ya kisiasa mfano [MWAKA MMOJA KABLA YA UCHAGUZI] ili mambo ya kisiasa yasiweze kuingiliana na mambo ya kiujenzi wa taifa
Kwa maana Yako hata hao wabunge, rais, madiwani na wanasiasa wote nao waache siasa wakisubiri huo muda? Mbona Kama hujafikiri sawa?
 
Vipi kile Cha kisukuma kina hoja siku hizi au Bado mnaomboleza? Hivi ukabila una faida Gani kwako na wote wanaouhusudu na kuusujujia Kama wewe?
Hiki chama cha WACHAGA kina fujo sana na hakina HOJA.
 
Katika kikao cha bunge kijacho ipo haja baadhi ya vifungu vikarekebishwa kwa dharura hasa kipengele kinachoruhusu watu kuandamana hovyohovyo na vikao vya hovyo hovyo ili kuwepo na muda rasmi ambao ndio utakuwa muda sahihi kwa maswala ya kisiasa mfano [MWAKA MMOJA KABLA YA UCHAGUZI] ili mambo ya kisiasa yasiweze kuingiliana na mambo ya kiujenzi wa taifa
Hebu angalia akili hii mbovu!

Kwa hiyo huko bungeni wakatunge sheria ya kuruhusu watu kufanya mazoezi mara moja kwa mwaka, au mwaka mmoja kabla ya uchaguzi?

Na husemi, kabla ya marekebisho hayo unayoyataka wewe, ni sheria ipi inayotumiwa na polisi sasa hivi kukanyaga haki za wengine.
 
Polisi msiwalaumu wao wanapewa amri na hawawezi kukataa mana wao ni watumwa wa watawala. Walisha wamanipulate vya kutosha. Angalia makazi ya polisi halafu linganisha na makazi ya watawala. Katika nchi zetu za kiafrika na hasa Tanzania kada za ualimu,upolisi and the likes ni kazi za watoto wa masikini ili wawatumikie watawala kwa manufaa yao. Polisi nao wanaujua ukweli huu mchungu hata hivyo that's their only option to survive.
Sometime yes. Maana wanatumwa na kazi zao ukitumwa huulizi ni kutekeleza tu
 
Ile Taasisi bora ya akina mama barani Africa , na ambayo inatajwa kushika namba 3 kwa ubora duniani kwa sasa , BAWACHA , Imeishika Nchi kwa kiganja kimoja cha mkono wa kushoto.

Pamoja na kwamba Bawacha ni Taasisi ya wanawake , lakini nguvu kubwa inayotumiwa na Jeshi la Polisi kuwadhibiti bila kufuata PGO , tena bila Mafanikio inazidi kuipaisha Taasisi hiyo

View attachment 1961227

Kwa kifupi ni kwamba hoja za Polisi za kujaribu kuhusisha Jogging za Bawacha na harakati za kisiasa HAZINA MASHIKO , BAWACHA ni Taasisi ya kisiasa , chochote watakachokifanya hauwezi kukitenganisha na siasa , kiongozi wa kisiasa hawezi kubadilika kwa mavazi , hata akiingia Kanisani au Msikitini atabaki kuwa mwanasiasa tu , hata akihudhuria msiba bado TAITO yake ya uanasiasa haitapotea , udiwani wake , ubunge au uenyekiti wake hautaondoka kwa vile yuko kwenye mazishi .

Kwahiyo kuwazuia BAWACHA kufanya mazoezi kwa vile ni viongozi wa kisiasa , au labda kutaka wanasiasa hao wafanye mazoezi yao au Jogging zao huku vyeo vyao wameviacha nyumbani ni KITUKO kisichowezekana , Polisi ni lazima iseme ni namna gani kiongozi anaweza kujitokeza kama raia huku akiacha cheo chake nyumbani , na ni wakati gani ambao anapaswa kutembea na cheo chake , Kwa mfano , ni wakati gani Waziri labda Jenister Mhagama anakuwa Waziri ni wakati upi anakuwa Raia ? bila shaka si rahisi .

Bali Polisi wanapaswa kulinda amani na usalama tu , wakianza kupiga ramli na kuzuia wengine kukimbia barabarani kwa Visingizio vya kichovu watajidhalilisha tu , uonevu duni kama huu hautasaidia Polisi katika lolote na wala HAUTAFANIKIWA , zaidi utatengeneza Uhasama wa Kudumu .
Mungu Ibariki BAWACHA.. Mungu ibariki CHADEMA..!
 
Vipi kile Cha kisukuma kina hoja siku hizi au Bado mnaomboleza? Hivi ukabila una faida Gani kwako na wote wanaouhusudu na kuusujujia Kama wewe?
Faida za ni kwamba hatuwezi kuwapa nchi wabaguzi kama nyie.Na mwaka huu mtaishia jela
 
Katika kikao cha bunge kijacho ipo haja baadhi ya vifungu vikarekebishwa kwa dharura hasa kipengele kinachoruhusu watu kuandamana hovyohovyo na vikao vya hovyo hovyo ili kuwepo na muda rasmi ambao ndio utakuwa muda sahihi kwa maswala ya kisiasa mfano [MWAKA MMOJA KABLA YA UCHAGUZI] ili mambo ya kisiasa yasiweze kuingiliana na mambo ya kiujenzi wa taifa
Mambo yapi ya kitaifa yameingiliwa na shughuli za kisiasa ?

Neno "taifa" ni la kisiasa mambo yapi ya kitaifa hayahusiani na siasa ?
 
Back
Top Bottom