Nguvu ya CHADEMA imeonekana nchi nzima na hofu ya vyombo vya dola ni kubwa sana. Je huu ni ushindi kabla ya mechi?

Nguvu ya CHADEMA imeonekana nchi nzima na hofu ya vyombo vya dola ni kubwa sana. Je huu ni ushindi kabla ya mechi?

Wayasogeze mbele hadi Jumatano na yafanyike Jijini Mbeya..ikifika j5 wayasogeze mbele hadi Jmosi Jijini Mwanza...NDIO
 
Kama ni ushindi, basi CHADEMA walishashinda mechi kabla hata ya mechi yenyewe kuchezwa. Hii mbinu ya kimapambano ni kubwa sana na haijapata kutokea hapa Tanzania.

Nimeona polisi kila kona ya jiji na unaweza ukafikiri kuna shambulio la kijeshi linasubiriwa kutoka majeshi ya nchi jirani au kutoka taifa kubwa duniani. Ni wazi kabisa kuwa hofu ya jeshi la polisi na uongozi wa nchi hii kwa CHADEMA ni kubwa sana.

Tafsiri yake:
1. CHADEMA inaogopwa sana kutokana na kuwa na nguvu kubwa ya ushawishi
2. Watanzania wanaosemwa kuwa wapole na watulivu ukweli ni kwamba wanaogopwa kuliko majeshi ya nchi jirani
3. Viongozi wetu wapo tayari kutumia nguvu kupitiliza na hawako tayari kufanya mazungumzo na kusikiliza haja za wananchi
4. Watanzania wakiwa na umoja wanatatua matatizo sugu mara moja
5. Serikali ya Samia imeendelea kujitangaza kwa jumuiya ya kimataifa kama serikali yenye kutumia nguvu kupindukia na hairuhusu njia ya mazungumzo

Hitimisho
CHADEMA wameonesha nguvu kubwa kama chama cha upinzani kuweza kutetemesha vyombo vya dola na kwamba viongozi wa CHADEMA na CHADEMA kama taasisi ya kisiasa wana nguvu na ushawishi mkubwa sana katika nchi hii. Hata kama maandamano hayatafanyika, CHADEMA tayari wameshafikisha ujumbe, na kazi sasa ni kuendelea kushinikiza hadi hali ya uongozi wa nchi hii ibadilike.
sisiemu imezikwa rasmi chadema wanapambana na polisi,ila hii gemu chadema wameshinda
 
Hitimisho
CHADEMA wameonesha nguvu kubwa kama chama cha upinzani kuweza kutetemesha vyombo vya dola na kwamba viongozi wa CHADEMA na CHADEMA kama taasisi ya kisiasa wana nguvu na ushawishi mkubwa sana katika nchi hii. Hata kama maandamano hayatafanyika, CHADEMA tayari wameshafikisha ujumbe, na kazi sasa ni kuendelea kushinikiza hadi hali ya uongozi wa nchi hii ibadilike.
hata kama maandamano hayatafanyika tena?
yamekua hayo?
kwani si must go au?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
hata kama maandamano hayatafanyika tena?
yamekua hayo?
kwani si must go au?
Walitishia kujamba.Wajambe tuone.Ohh tumeshapata ushindi ni uzushi wa aliyekosa la kufanya.Lengo lilikuwa kuandamana. Waandamane ili tuone huo musuli wanaodai wanao.Wameanza kukamatwa kwa kukutwa na petroli wakijiandaa kulipua vituo vya mafuta.Sukuma ndani hawa washenzi hawajazoea siasa za hoja bali matusi na vurugu.Na kutoa amri kwa Serikali.
 
Ukitaja chadema,unamaanisha generation iliyozaliwa 1970 Hadi Leo.
Wawe ccm wrote hao ni chadema.

Hili ni kundi kubwa lisilotaia kuelewa mara amani,mara utulivu,wao wanahitaji serikali iwajibike haki ipatikane na wakabifhiwe nchi yao ,waiongoze na waisimamie.
 
Walitishia kujamba.Wajambe tuone.Ohh tumeshapata ushindi ni uzushi wa aliyekosa la kufanya.Lengo lilikuwa kuandamana. Waandamane ili tuone huo musuli wanaodai wanao.Wameanza kukamatwa kwa kukutwa na petroli wakijiandaa kulipua vituo vya mafuta.Sukuma ndani hawa washenzi hawajazoea siasa za hoja bali matusi na vurugu.Na kutoa amri kwa Serikali.
Wameandamana mara ngapi bila vurugu? Lini walifanya vurugu? Kuandamana ni haki ya kikatiba.
 
Wameandamana mara ngapi bila vurugu? Lini walifanya vurugu? Kuandamana ni haki ya kikatiba.
Baada ya kuandamana wameanza kuota mikia na kutoa kauli za matusi na dharau kwa Serikali. Polisi wanaotoa kibali na kusimamia usalama wa watu na mali zao wameyapiga marufuku.
Hivyo ukiandamana unapinga amri halalli ya Polisi wanaokuwa na dhamana ya kulinda na kusimamia maandamano.
Ukiwa na ubavu ingia mitaani.
 
Baada ya kuandamana wameanza kuota mikia na kutoa kauli za matusi na dharau kwa Serikali. Polisi wanaotoa kibali na kusimamia usalama wa watu na mali zao wameyapiga marufuku.
Hivyo ukiandamana unapinga amri halalli ya Polisi wanaokuwa na dhamana ya kulinda na kusimamia maandamano.
Ukiwa na ubavu ingia mitaani.
Haipo kwenye katiba polisi kutoa kibali...ni fikra za kishamba tu hizo....Samia hatofika popopte kwa kutumia dola...anajidanganya tu
 
Haipo kwenye katiba polisi kutoa kibali...ni fikra za kishamba tu hizo....Samia hatofika popopte kwa kutumia dola...anajidanganya tu
Kwa hiyo unafanya tu maandamano ukijisikia?Ni haki ya kikatiba lakini kuna masharti unatakiwa utimize mojawapo ni kuiarifu Polisi ili watoe go ahead na kushiriki kwenye kulinda wananchi na mali zao.
Viongozi wako wasingekuwa wanaandika barua kuiarifu Polisi bali wangekuwa wanaingia tu mitaani.
Polisi wana haki ya kukataa kufanyika kwa maandamano kukiwepo na viashiria vya uvunjifu wa amani.
CCM walitaka kufanya maandamano Ngorongoro Polisi wakakataa kuyaruhusu na hakukuwa na malumbano,ACT pia walinyimwa kufanya maandamano. What is so special with Chadema kama sio kudeka na kujifanya kichwa ngumu?
 
Kama ni ushindi, basi CHADEMA walishashinda mechi kabla hata ya mechi yenyewe kuchezwa. Hii mbinu ya kimapambano ni kubwa sana na haijapata kutokea hapa Tanzania.

Nimeona polisi kila kona ya jiji na unaweza ukafikiri kuna shambulio la kijeshi linasubiriwa kutoka majeshi ya nchi jirani au kutoka taifa kubwa duniani. Ni wazi kabisa kuwa hofu ya jeshi la polisi na uongozi wa nchi hii kwa CHADEMA ni kubwa sana.

Tafsiri yake:
1. CHADEMA inaogopwa sana kutokana na kuwa na nguvu kubwa ya ushawishi
2. Watanzania wanaosemwa kuwa wapole na watulivu ukweli ni kwamba wanaogopwa kuliko majeshi ya nchi jirani
3. Viongozi wetu wapo tayari kutumia nguvu kupitiliza na hawako tayari kufanya mazungumzo na kusikiliza haja za wananchi
4. Watanzania wakiwa na umoja wanatatua matatizo sugu mara moja
5. Serikali ya Samia imeendelea kujitangaza kwa jumuiya ya kimataifa kama serikali yenye kutumia nguvu kupindukia na hairuhusu njia ya mazungumzo

Hitimisho
CHADEMA wameonesha nguvu kubwa kama chama cha upinzani kuweza kutetemesha vyombo vya dola na kwamba viongozi wa CHADEMA na CHADEMA kama taasisi ya kisiasa wana nguvu na ushawishi mkubwa sana katika nchi hii. Hata kama maandamano hayatafanyika, CHADEMA tayari wameshafikisha ujumbe, na kazi sasa ni kuendelea kushinikiza hadi hali ya uongozi wa nchi hii ibadilike.
Chadema wanaweza kuwa na nusu Karne Kuja kuiangusha ccm japo uwepo wake na michezo yake Ina saidia Sana angalau kuweka Mambo sawa kwa watanzania
 
Back
Top Bottom