Nguvu ya Job Ndugai ilivyowasambaratisha Prof. Assad, Makonda, Tundu Lissu, Mbowe na Mpina!

Nguvu ya Job Ndugai ilivyowasambaratisha Prof. Assad, Makonda, Tundu Lissu, Mbowe na Mpina!

Kama makonda katupwa Hadi kwenye uwaziri kwa kweli amechokwa ashasaulika. Hakuna sehemu nyingine ambayo angeweza onyesha mbwembwe zaidi ya uwaziri au u RC na tena wa Dar.
 
Hao niliowataja ni wachache miongoni mwa wengi waliojaribu kupimana ubavu na mh Job Ndugai na kuangukia pua...

Nanukuu "Wengi hawaijui nguvu ya Ndugai ndani ya CCM lakini kiukweli huyu jamaa ni very powerful.

Wako wapi leo akina Makonda, Prof Assad, Mbowe na yule aliyepima samaki kwa rula kwenye mgahawa wa bunge?"
Baada ya nukuu najiuliza tu HIVI NI LINI MBOWE ALIKUWA MIONGONI MWA MACCM?

Kwa mujibu wa mtoa mada kuhusisha BUNGE NA CHAMA CHAKE!! JE ALIKO PRO. ASAD LINI HUYO "JAMAA" atapafikia? Je hujiulizi kwanini mhimili ule sukani yake imemuelemea? Siku akipoteza hiyo nafasi KWISHNEY BABUJI
 
Hao niliowataja ni wachache miongoni mwa wengi waliojaribu kupimana ubavu na mh Job Ndugai na kuangukia pua...
Nguvu ya aliyemuweka hapo yeye kama yeye ni mweupe kabisaaaaa, na ukichanganya na zile b29 alizotia kiberiti kule Apollo India ndiyo utaelewa
 
Hivi huwa unalipwa kiasi gani kila siku kupost issues ambazo hazina faida yoyote kwa taifa na kwako mwenyewe?? Hata unao watetea hawakujali yani
Wanamdharau kama wanavyomdharau Mzee wa njaa
 
Sithani kama anajitambua. Wengi wa aina yake, wadhulumati sijui kama watafika 2022! Wengi Mungu atawafagia. Muda utasema.
 
Hiyo nguvu tunatarajia awe nayo hata atakapokufa au cheo chake kuisha, yaani akiwa mstaafu basi ndugai abaki na manguvu hayo hayo
Kama hivi
FB_IMG_1606244845186.jpg
 
Nenda kalime nyanya nae huko aliko.

Unamaana gani kuandika hivyo?

Mbona kama kejeli fulani hivi?

Mtu kama Professor Mussa Assad Mzamivu na Mbobezi wa Kariba yake ni wachache sana ktk Taifa letu Kabla na baada ya Uhuru hata sasa kwa hiyo tumpe heshima yake anayostahili.

Jamaa ana Intrinsic motivations nyingi sana pamoja na Uchaji Mungu wake ndiyo kufaa kwake kunazidi kwa manufaa ya wengi wa Taifa hili.

Allah Wakil!
 
Hizo nguvu angekuwa anazitumia kusaidia kupunguza deni la taifa na ufisadi ningemuona wa maana...
 
hana nguvu zozote hata za kiume zenyewe hana (mchepuko wake alinitonya), sema ni kibaraka tu wa jiwe
 
Hao niliowataja ni wachache miongoni mwa wengi waliojaribu kupimana ubavu na mh Job Ndugai na kuangukia pua.

Wengi hawaijui nguvu ya Ndugai ndani ya CCM lakini kiukweli huyu jamaa ni very powerful.

Wako wapi leo akina Makonda, Prof Assad, Mbowe na yule aliyepima samaki kwa rula kwenye mgahawa wa bunge?
Nawashauri akina Halima Mdee na wenzake waweke imani yao kwa Spika Ndugai watavuka salama.

Maendeleo hayana vyama!
Hana nguvu yoyote bali ni tapeli ambaye arobaini zake hazijafika. Mark my words huyu jamaa siku zake zinahesabika.
 
Hao niliowataja ni wachache miongoni mwa wengi waliojaribu kupimana ubavu na mh Job Ndugai na kuangukia pua.

Wengi hawaijui nguvu ya Ndugai ndani ya CCM lakini kiukweli huyu jamaa ni very powerful.

Wako wapi leo akina Makonda, Prof Assad, Mbowe na yule aliyepima samaki kwa rula kwenye mgahawa wa bunge?
Nawashauri akina Halima Mdee na wenzake waweke imani yao kwa Spika Ndugai watavuka salama.

Maendeleo hayana vyama!
Ungesema nguvu za mbeleko ya kijani ilivyo angalau ningekuelewa.
 
Back
Top Bottom