BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
JIWE pia hana nguvu ni polisiccm na JWTZ
Huyo Spika Ndugai nguvu yake inatokana na Jiwe ambaye ndivyo anavyotaka serikali yake iendeshwe kwa kutozingatia hata Katiba ya nchi ambayo ndiyo sheria mama, ambayo hao viongozi wote waliapa kuitii na kuiheshimu kabla hawajakabidhiwa majukumu waliyo nayo.