Nguvu ya Job Ndugai ilivyowasambaratisha Prof. Assad, Makonda, Tundu Lissu, Mbowe na Mpina!

JIWE pia hana nguvu ni polisiccm na JWTZ
 
Kuna yule Steven Masele! Bifu lake na Ndugai wakati ule huenda nalo lilichangia pakubwa kufyekelewa mbali na Kamati kuu na hivyo kuchukuliwa Karai Patrobas Katambi!

Usikute hata Mwana Jamii Forums mwenzetu Pascal Mayalla hajapata uteuzi mpaka sasa ingawa alifanya kazi kubwa sana mitandaoni ya kuitangaza CCM, Mgombea wake na yule Askofu mhuni gwajiboy! Kwa sababu ya Ndugai huyu huyu!

Huyu Mgogo ni hatari sana! Alizifuta pia ndoto za Tulia Ackson kuwa Spika kwenye Bunge hili! Hivyo itamlazimu kusubiri mpaka wakati ujao.
 

Viongozi wangu, msione sifa kuikanyaga Katiba na mkidhani hatuna la kuwafanya. Mkumbukeni Mangungo kwa tafakuri
NDIO ni jambo la muda tu tutakuja ona huko mbele.
 
Nguvu ipi? Labda ya file ...maana alishasema watu wasimchezee ana file pale milembe!!
 
Hivi huwa unalipwa kiasi gani kila siku kupost issues ambazo hazina faida yoyote kwa taifa na kwako mwenyewe?? Hata unao watetea hawakujali yani
Baba/mama Pekupeku!
 
Prof Assad is the best na hajutii maamuzi aliyoyafayna na ni mwalimu mzuri sana ,usimlinganisha na wanasiasa wa darasa la 3
 

sambaratisha bunge πŸ˜‚πŸ˜‚ na demokrasia sio watu
 
Mpina alifanya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…