Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
juzi nikiwa hospitali ameletwa dada mmoja ameuwawa tena kwa kuchomwa na bisibisi akatupwa kwenye manyasi.Kuna siku utapewa kesi ya mauaji au ubakaji ndio utajua hujui,huyo mtu angekuwa kauawa sasa hivi ungekuwa segerea,usirudie ujinga huo