Umeongea Vizuri Sana, mtu ambaye haamini Ni sawa na ambaye hajasikia tu. Na swala na Imani linaweza kua kweli au si kweli ,mtu kuamini haihalalishi kua ndio Ukweli utabaki kua Ukweli kwake tu.Haya mambo yanayofundishwa hapa na Bwana Nyenyere kama huna Imani ya dini yoyote hutaweza kuelewa,definetly lazima utapinga tu,lakini kama unaamini kuwa kuna ulimwengu wa roho na ulimwengu wa mwili utamuelewa vizuri sana na haya yote yamo kwenye Biblia na misahafu,anachofanya yeye ni kufafanua zaidi...
Mwendelezo wa huu mkasa wako unitag mkuu@NyenyereStory yangu:
Nilianza kupiga punyeto nikiwa mwajiriwa. Hapo ni baada ya kutoka kidato cha sita. Siku moja nikiwa na kwenda kwenye public toilet sikujua kama alikuwamo mwajiriwa mwenzangu akiwa amesahau kufunga mlango. Nilishika kitasa kwa haraka sana nikafungua mlango, nilijikuta uso kwa uso na jamaa akigumia kwa raha MBELE YA MACHO yangu. Sikuwahi kufuatilia mambo haya katika maisha yangu, hivyo nilupatwa na butwaa halafu nikamwomba msamaha, naye akaniomba msamaha nikatoka ilu amalize kujiweka sawa. Ni kuanzia hapo akili yangu haikuwa sawa tena, yaani kukawa na nguvu ya hatari sana inanisukuma nijaribu japo mara moja kuona ilivyo. Mwishowe niliamua nionje kidogo, nakiri wazi kuwa hiyo ndio sikunilipokoma kuishi kama MIMI, that was the end of me!!
Khantwe, yuzazifu, Sic March, Mgonga Like, Ismoo, extra life, wiz hov
Ha ha ha!
Asante sana kwa Elimu mzuri unayo endelea kutupatia humu Jf mwenyezi mungu akubariki mkuu.Ndiko tunakoelekea mkuu, tutajifunza yote
Nimeshtuka Sana baada ya kusoma huu Uzi Hakika nimejifunza Jambo leo naweza sema Ni kubwa Sana maishani mwangu.Kumbe nyeto ndo chanzo Cha umaskini kushindwa kusonga mbele mikakati ya kimaisha kufeli plan zangu kufeli hapa Kuna ukweli Sana Kama mtoa mada alivyoelezea Hakika najuta kuchelewa kufaham huu ukweli Nyenyere mungu akubariki sana brother leo umejifunza Jambo kubwa Sana
CHANGAMOTO
Kama mm nisie na demu hapa nawezaje kushinda hii roho ya tamaa maana Kuna mda mwili unatamani Sana kama kutamani Natamani Sana hasa Kuna type za wanawake same time nahisi hadi moyo umeshtuka maana unakuwa umemtamani ile mbaya Sasa hapa afsa tunafanyaje kuweza kuovercome hizi obstacles katika maisha yetu ya Kila siku maana nyege mbaya sana
Vipi kwa wanawake wanaijichua?Hizi habari za kujichua zimezua mjadala mkubwa sana nyakati zetu hizi.
Kila mtu anazungumzia athari zake kwa jinsi alivyo amishwa au alivyo experience.
Athari za kiroho kama alivyooanisha hapa mleta mada, na kwa namna hio hio kulingana na imani ya mtu.
Zipo pia athari za kiafya kama wazemavyo wataamu wa afya, lakini pia wataalamu wengine tena walio rasmi wamepinga vikali uwepo wa athari za kiafya kutokana na kujichua.
Wataalamu wengine wa akili nao wamesema kuna athari zitokanazo na kujichua zinaathiri akili, lakini wengine wanakataa na wote wana hoja.
Sijaweza kujua ni kitu gani kimetusibu vijana waleo mpaka kujikuta washirika wa kujichua kwa kiasi kikubwa vile.
Mimi kwa takribani miaka 15 na kuzidi ninafanya hivi lakini nikiambiwa nionyeshe athari moja wapo ya zinazotajikana sinazo.
Nimeoa na ninawatoto wawili wenye afya.
Ninafanya kazi za watu sijaweza kuharibu.
Ibada na hudhuria na fellowship kwenye kanisa letu, kwa maana hio hofu ya Mungu niko nayo.
Na performance ya kujieleza mbele za watu niko nayo pia.
Mimi nawalaumu wanawake wao ndio chanzo cha vijana wengi kuharibika maybe. Kwa sababu ya lifestyle yao walio iga mfano mavazi urembo kujiamini nk.
Hii imepelekea mwanaume kukosa kujiamni na kusimama na mwanamke na kuona bora akajichue kuliko kupigiana makelele na mademu.
Mwisho athari za kujichua ziwe za kiroho kiakili na kiafya haziko general ndugu mleta mada.
Kujichua ni tafsiri nyingine ya nyetoVipi kwa wanawake wanaijichua?
Kwahiyo Wanawake wanafanya nyeto au kujichua maana mimi hata sijui?Kujichua ni tafsiri nyingine ya nyeto
Swali zuri.Hili ni suala pana sana na linalogusa wengi. Ili kuwasaidia vijana mkuu Nyenyere ukipata muda jaribu kufafanua zaidi. Mfano:
Kijana rijali ambaye hajaoa afanyeje? Azini? Apige nyeto? Kuzini na nyeto ni kipi kina unafuu kiroho (kama upo?). Najua hali tengamanifu ni kujizuia mpaka mtu aoe lakini katika uhalisia wake na mazingira haya ya kisasa, ni kijana gani rijali anaweza kufanya hivyo?
Ukija kuleta mada ya kuacha nyeto angalia pia na suala hili. Yawezekana kweli kijana rijali kukaa tu miaka na miaka bila ngono eti akisubiri mpaka aoe? Kama haiwezekani, kijana huyu afanye nini kama hawezi kuzini na kupiga nyeto?
#Uwazinaukweli
Hapo nimekuelewa mkuuBasi Kumbe nawe una mitazamo yako tu kuhusu sex, mi nilichosema general formula Ni kua sisi binadamu Kama wanyama wengine wote sex Ni kwaajili ya kuijaza dunia tu hayo mengine Ni mitazamo yetu tu ukiwemo yako na ndio inayopelekea haya Mambo mengine yote kuendelea
Imani za kisasa, kutokuweza kuuiliki mwili na kuruhusu kuongozwa na tamaa ni chanzo.Mkuu yani uwe rijali huna demu alaf usipige nyeto? Hapo huwez ukawa mzima ase vile vichocheo ni vibaya sana usipo vipunguza kwa nyeto unaweza ukabaka hata dada yako..
Mm napiga nyeto mara 1 1 ili niwe normal