Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Wewe ni mpuuzi.badala ya kuhangaika na wazir wenu mzinzi aliyeuwa mchepuko kwa ajali huku yeye kiuno kikiwa kimevunjika hata akipona hawezi kukaa unahangaika na chadema by the way si mliaminishwa kuwa chadema imekufa mbona bado unaijadili chadema kama hujui mwambieni mama yenu aanze kufungasha virago maana 2025 huku kanda ya ziwa hana kura yoyote na atapigwa kipigo cha mbwa koko hata wabunge akipata 6 ashukuru MUNGU.
Mashoga ya ccm endeleeni kuijadili chadema.
Sitachoka kusema kweli hata makamanda wenzangu wachukieKijana unatakiwa kuwa makini. Acha kabisa kuwachokoza makamanda.
Ingawa siwezi kukupinga kuhusu ladha ya asali! Kiukweli ni tamu. Na ukijaribu tu kuilamba, basi uaweza kumaliza buyu lote.
Imagine mwanaccm kama ww unateseka na Mbowe 🤣🤣🤣!! Wee dili na akina mzee wasira hao ndio wazee wako watakuongoza vyema.Chadema tulikuwa na uwezo wa kutamka nchi haitatawalika kwa uovu na ufisadi na CCM walinywea.
Leo hii CCM wamewapanda watanzania vichwani na . Wanawakebehi na kuwapuuza kwa kuwakamua tozo kibao na kodi zinazokandamiza huku wao wakijichotea pesa za umma wanavyotaka. Wanaiba kama wanaiba karanga shamba la kijiji.
Mbowe ameendekeza ubinafsi wake kwa kutojali wengine bali tumbo lake tu sasa amegeuka kuwa tarishi wa Ikulu Magogoni
MwanaCCM baba yako shwain mkubwa wewe. Hoja hapa ni nguvu ya umma iliyopoteaImagine mwanaccm kama ww unateseka na Mbowe 🤣🤣🤣!! Wee dili na akina mzee wasira hao ndio wazee wako watakuongoza vyema.
Nguvu gan ya umma wee mbogamboga? Wee endelea kudili na.. hapa kazi tu na kaz iendelee!!!MwanaCCM baba yako shwain mkubwa wewe. Hoja hapa ni nguvu ya umma iliyopotea
Serikali ilimpumzisha Segerea kwa muda wa kutosha …mlifanya nini?Mbowe apumzike
Apishe akili mpyaSerikali ilimpumzisha Segerea kwa muda wa kutosha …mlifanya nini?
Mbowe lazima ashikilie nafasi ya Mwenyekiti Taifa hadi ifikapo 2030. Lazima ahakikishe chama hiki kinaendeshwa kitaasisi na siyo kwa mihemuko iendanayo na harakati za kianauharakati.Chadema tulikuwa na uwezo wa kutamka nchi haitatawalika kwa uovu na ufisadi na CCM walinywea.
Leo hii CCM wamewapanda watanzania vichwani na . Wanawakebehi na kuwapuuza kwa kuwakamua tozo kibao na kodi zinazokandamiza huku wao wakijichotea pesa za umma wanavyotaka. Wanaiba kama wanaiba karanga shamba la kijiji.
Mbowe ameendekeza ubinafsi wake kwa kutojali wengine bali tumbo lake tu sasa amegeuka kuwa tarishi wa Ikulu Magogoni
Ili aje nani suggests na kwa nn pia uelezeMbowe apumzike