Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Vicoba vipo kwa maslahi binafsi full stop
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipi ya nani maana wote unaowaona wamepita mikononi mwakeApishe akili mpya
Kwanza huyo kamanda asiyechoka ni uvccm hilo jina ni kama dhihaka tu hawa ni kama kina jilalaMbowe lazima ashikilie nafasi ya Mwenyekiti Taifa hadi ifikapo 2030. Lazima ahakikishe chama hiki kinaendeshwa kitaasisi na siyo kwa mihemuko iendanayo na harakati za kianauharakati.
Uwepo wa wanaharakati ni muhimu sana ndani ya chama, lakini chama hakipaswi kuendeshwa kwa njia ya ajenda zao tu. Kuna mengi ya kufanya ili kukifanya chama kiwe imara zaidi. Maoni kama haya Kamanda Asiyechoka nafikiri yanapaswa kubakia huko huko kwenye vijiwe vyako vya kahawa.
Unaweza kuthibitisha hili au umeandika ukiwa chooni unajisaidiaUko sahihi kamanda. Mbowe kwa maslahi yake binafsi kaamua kuua upinzani. Hii ni dhambi itakayomtafuna maishani mwake. Kamanda kama Mdude anaonekana kituko tu kwasababu mmiliki wa CHADEMA yuko bize mitaa ya Lumumba.
Mwambie ukweli huyu pimbi!Imagine mwanaccm kama ww unateseka na Mbowe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!! Wee dili na akina mzee wasira hao ndio wazee wako watakuongoza vyema.
Bila Freeman Mbowe hakuna Chadema!Chadema tulikuwa na uwezo wa kutamka nchi haitatawalika kwa uovu na ufisadi na CCM walinywea.
Leo hii CCM wamewapanda watanzania vichwani na . Wanawakebehi na kuwapuuza kwa kuwakamua tozo kibao na kodi zinazokandamiza huku wao wakijichotea pesa za umma wanavyotaka. Wanaiba kama wanaiba karanga shamba la kijiji.
Mbowe ameendekeza ubinafsi wake kwa kutojali wengine bali tumbo lake tu sasa amegeuka kuwa tarishi wa Ikulu Magogoni
Mpuuzikwamba mbowe apiganie mashoga ya ccm hata kuandamana hayawez kaz kunyakunya tu maana yalishalegezwa.
Sasa kama wewe ni Kamanda Mchomvu nguvu unatoa wapi🤔Chadema tulikuwa na uwezo wa kutamka nchi haitatawalika kwa uovu na ufisadi na CCM walinywea.
Leo hii CCM wamewapanda watanzania vichwani na . Wanawakebehi na kuwapuuza kwa kuwakamua tozo kibao na kodi zinazokandamiza huku wao wakijichotea pesa za umma wanavyotaka. Wanaiba kama wanaiba karanga shamba la kijiji.
Mbowe ameendekeza ubinafsi wake kwa kutojali wengine bali tumbo lake tu sasa amegeuka kuwa tarishi wa Ikulu Magogoni
Hivi wewe pimbi wa uvccm huna jambo la.kujadili la chama lako chakavu unamuwaza Mbowe tu?Chadema tulikuwa na uwezo wa kutamka nchi haitatawalika kwa uovu na ufisadi na CCM walinywea.
Leo hii CCM wamewapanda watanzania vichwani na . Wanawakebehi na kuwapuuza kwa kuwakamua tozo kibao na kodi zinazokandamiza huku wao wakijichotea pesa za umma wanavyotaka. Wanaiba kama wanaiba karanga shamba la kijiji.
Mbowe ameendekeza ubinafsi wake kwa kutojali wengine bali tumbo lake tu sasa amegeuka kuwa tarishi wa Ikulu Magogoni
Bila kumsahau mwl.wa darasa la uongozi mzee wa kuwatoa wahuni pangoni🤔Imagine mwanaccm kama ww unateseka na Mbowe 🤣🤣🤣!! Wee dili na akina mzee wasira hao ndio wazee wako watakuongoza vyema.
Huenda lile fungu la hamasa limerejeshwa🏃Hivi wewe pimbi wa uvccm huna jambo la.kujadili la chama lako chakavu unamuwaza Mbowe tu?
B7fc mkubwa. Unadhani waliopo hapa jukwaani ni watoto?Chadema tulikuwa na uwezo wa kutamka nchi haitatawalika kwa uovu na ufisadi na CCM walinywea.
Leo hii CCM wamewapanda watanzania vichwani na . Wanawakebehi na kuwapuuza kwa kuwakamua tozo kibao na kodi zinazokandamiza huku wao wakijichotea pesa za umma wanavyotaka. Wanaiba kama wanaiba karanga shamba la kijiji.
Mbowe ameendekeza ubinafsi wake kwa kutojali wengine bali tumbo lake tu sasa amegeuka kuwa tarishi wa Ikulu Magogoni
Ungekaa kimya ingesaidia kuficha upumbavu wakoUnaweza kuthibitisha hili au umeandika ukiwa chooni unajisaidia
Timu Magufuri wewe huna lolote.Chadema tulikuwa na uwezo wa kutamka nchi haitatawalika kwa uovu na ufisadi na CCM walinywea.
Leo hii CCM wamewapanda watanzania vichwani na . Wanawakebehi na kuwapuuza kwa kuwakamua tozo kibao na kodi zinazokandamiza huku wao wakijichotea pesa za umma wanavyotaka. Wanaiba kama wanaiba karanga shamba la kijiji.
Mbowe ameendekeza ubinafsi wake kwa kutojali wengine bali tumbo lake tu sasa amegeuka kuwa tarishi wa Ikulu Magogoni
Labda makamanda wa Chato.Sitachoka kusema kweli hata makamanda wenzangu wachukie
Weka ushahidiTimu Magufuri wewe huna lolote.
Chato ni ya makamanda???Labda makamanda wa Chato.