Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Unataka nani aongoze nguvu ya umma mpumbavu mmoja weweChato ni ya makamanda???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka nani aongoze nguvu ya umma mpumbavu mmoja weweChato ni ya makamanda???
Sawa Halima Mdee tumekuelewaChadema tulikuwa na uwezo wa kutamka nchi haitatawalika kwa uovu na ufisadi na CCM walinywea.
Leo hii CCM wamewapanda watanzania vichwani na . Wanawakebehi na kuwapuuza kwa kuwakamua tozo kibao na kodi zinazokandamiza huku wao wakijichotea pesa za umma wanavyotaka. Wanaiba kama wanaiba karanga shamba la kijiji.
Mbowe ameendekeza ubinafsi wake kwa kutojali wengine bali tumbo lake tu sasa amegeuka kuwa tarishi wa Ikulu Magogoni
Huyu ni Ke/Me Halima Mdee huyuAcha ulongo Dogo.Umemrithi Sheikh Yahaya.
Anatumikia cheo kingine kama Mwenyekiti mwenza huko South!!Chadema tulikuwa na uwezo wa kutamka nchi haitatawalika kwa uovu na ufisadi na CCM walinywea.
Leo hii CCM wamewapanda watanzania vichwani na . Wanawakebehi na kuwapuuza kwa kuwakamua tozo kibao na kodi zinazokandamiza huku wao wakijichotea pesa za umma wanavyotaka. Wanaiba kama wanaiba karanga shamba la kijiji.
Mbowe ameendekeza ubinafsi wake kwa kutojali wengine bali tumbo lake tu sasa amegeuka kuwa tarishi wa Ikulu Magogoni
Kama CHADEMA hakuna mwingine wa kuweza kuwa Mwenyekiti basi hatuna Upinzani Tanzania. DJ kazima muziki, ngoja Nyumbu tuendelee kukata viunoIli aje nani suggests na kwa nn pia ueleze
Acha hizo....Chadema tulikuwa na uwezo wa kutamka nchi haitatawalika kwa uovu na ufisadi na CCM walinywea.
Leo hii CCM wamewapanda watanzania vichwani na . Wanawakebehi na kuwapuuza kwa kuwakamua tozo kibao na kodi zinazokandamiza huku wao wakijichotea pesa za umma wanavyotaka. Wanaiba kama wanaiba karanga shamba la kijiji.
Mbowe ameendekeza ubinafsi wake kwa kutojali wengine bali tumbo lake tu sasa amegeuka kuwa tarishi wa Ikulu Magogoni
Mbona huzungumzii CUF? TLP, CHAUMA ACT, UDP etc? Nini kipo nyuma ya agenda ya uwenyekiti wa chadema na nzi wa kijani wa lumumba?Kama CHADEMA hakuna mwingine wa kuweza kuwa Mwenyekiti basi hatuna Upinzani Tanzania. DJ kazima muziki, ngoja Nyumbu tuendelee kukata viuno