Nguvu ya umma Chadema tuliyoitengeneza 2005-2015 imeyeyushwa na ubinafsi wa Mbowe

Kwanza huyo kamanda asiyechoka ni uvccm hilo jina ni kama dhihaka tu hawa ni kama kina jilala
 
Uko sahihi kamanda. Mbowe kwa maslahi yake binafsi kaamua kuua upinzani. Hii ni dhambi itakayomtafuna maishani mwake. Kamanda kama Mdude anaonekana kituko tu kwasababu mmiliki wa CHADEMA yuko bize mitaa ya Lumumba.
Unaweza kuthibitisha hili au umeandika ukiwa chooni unajisaidia
 
Bila Freeman Mbowe hakuna Chadema!
 
Sasa kama wewe ni Kamanda Mchomvu nguvu unatoa wapi🤔
 
Hivi wewe pimbi wa uvccm huna jambo la.kujadili la chama lako chakavu unamuwaza Mbowe tu?
 
B7fc mkubwa. Unadhani waliopo hapa jukwaani ni watoto?
 
Timu Magufuri wewe huna lolote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…