Nguvu za kioo na miujiza yake: Wale wenye imani zenu njooni hapa

Nguvu za kioo na miujiza yake: Wale wenye imani zenu njooni hapa

angalizo hili

Unapomaliza kutumia kioo Kwa kujiangalia kifunike yaani usikiache wazi ni kama kioo kipande kifunike juu chini na kama vya dressng table tafuta jinsi ya kukifunika na kitambaa au panzia aina yeyote ilee ila usipendelee kutumia kioo na ukakiacha wazi
Kwani nikiacha bila kufunika nini kitatokea mkuu ?
 
Mimi kuna siku baadhi huwa nafunika kioo na shuka usiku maana nahisi huwa naona vitu kwenye kioo ila nkifumbua macho fully sioni kitu. Vioo vyangu ni vikubwa viwili saizi ya urefu wa mlango viko mbele ya kabati la nguo
 
11. Mwisho kabisa japo yapo mengi unaweza kumuita Mtu aliyekufa akatokea kwenye kioo na mkaongea naye ukamueleza shida zako akakuelekeza namna ya kufanya kutatua shida zako ila unatakiwa kuwa na ujasiri kwakuwa tukio hilo unatakiwa kulifanya usiku wa kuanzia saa sita kamili mpaka sa tisa hapo kati au sehemu ambayo imetulia sana hakuna kelele."
Ushahidi
 
M
Acha kupoteza watu akili na mambo ya kishirikina na imani zenu za uchawi na ushirikina izi.

Mambo yote ulioyaeleza humu kuhusu kioo kama taswira mbalimbali zinaweza toka kwenye kioo ni mambo yanaelezeka na kujibika vizuri tu kisayansi hasa kifizikia.
Mbona nimetoa angalizo kuwa tusichangie kwa mihemuko ya imani au una nia tu kunitukana.
 
Back
Top Bottom