Nguvu za kioo na miujiza yake: Wale wenye imani zenu njooni hapa

Kwani nikiacha bila kufunika nini kitatokea mkuu ?
 
Mimi kuna siku baadhi huwa nafunika kioo na shuka usiku maana nahisi huwa naona vitu kwenye kioo ila nkifumbua macho fully sioni kitu. Vioo vyangu ni vikubwa viwili saizi ya urefu wa mlango viko mbele ya kabati la nguo
 
Ushahidi
 
Leo nakutana na makankasha nimetoka kwa nabii naambiwa Sada kaniibia manii naingia huku nakutana na kioo.Kivumbi leo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
M
Mbona nimetoa angalizo kuwa tusichangie kwa mihemuko ya imani au una nia tu kunitukana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…