inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kamuulize Torres Fernando,aliyewika Liverpool akafia chelseaMwafrika hawezi kumroga mzungu
Hilo na kuwaweka msukule wazungu ni CHAI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamuulize Torres Fernando,aliyewika Liverpool akafia chelseaMwafrika hawezi kumroga mzungu
Hilo na kuwaweka msukule wazungu ni CHAI.
kwenye msafara wa mamba na kenge wamo, tena kenge hufanana na mamba, unaweza kudhani kenge ni mtoto wa mamba, halafu shambani huwa kuna magugu yanakua pamoja na mazao safi yaliyopandwa, hayo yasiyopandwa ni vigumu kuyatambua kama wewe si mkulima. Watu wa Mungu wapo na wa ibilisi wapo, dunia ina pande mbili kinzani, ulimwengu wa giza na ulimwengu wa nuruTatizo lenu ni unafiki. Mnajidai watu wa Mungu huku mna tuhirizi mifukoni, mnazini kidogo, gambe la kimya kimya mpo. Utapeli na dhuluma mnatembea nayo. Uwongo mpo. Usengenyaji mpo.
Ndio maana hamna nguvu kabisa
Nenda Mtwara ukaone bibi wa Msimbati alivyokuwa anavunja drilling bits ngumu sana zilizotengenezwa kwa almasi hadi wazungu wakaomba poo.Mwafrika hawezi kumroga mzungu
Hilo na kuwaweka msukule wazungu ni CHAI.
Bujibuji mzee Mayandakiya ulikuwa unamufahamu?, Hadi Moi raisi wa Kenya alikuwa anakuja kuchukua ndumba kwake. Magu ni noma japo tupo na tunaishi.Subiri uzi wake spesheli unakuja
Tuna mengi sana ya kuandika. Tusipoandika vizazi vyetu vijavyo vitatuhukumuBujibuji mzee Mayandakiya ulikuwa unamufahamu?, Hadi Moi raisi wa Kenya alikuwa anakuja kuchukua ndumba kwake. Magu ni noma japo tupo na tunaishi.
Pictures Ya Misukule
Pictures Ya Misukule
Kuna yule mkuu wa wilaya alikuja Magu kwa kukurupuka, akawatusi wazee wa Magu. Baada ya siku alijikuta uwanjani asubuhi akiwa uchi kapigwa pumbu na kunyolewa nywele sehemu za Siri. Akarudi kwa mzee ruksa akamwambia Magu sirudi Kama ukuu wa wilaya basi.Tuna mengi sana ya kuandika. Tusipoandika vizazi vyetu vijavyo vitatuhukumu
Wasukuma wameshika Sana mambo ya jadi hata wamisionari walipata Kazi ngumu Sana kueneza dini kuleWako wapi leo watu wa Mungu wenye nguvu? Usukumani ni asilimia ndogo sana wanaomwamini Mungu.
Kule miuzauza na uchawi unafanyika hadharani. Tembea uone
Wazee ni watu wakubwa Sana kwenye ulimwengu wa giza muhimu usitafute nao vita pasipo sababuKuna yule mkuu wa wilaya alikuja Magu kwa kukurupuka, akawatusi wazee wa Magu. Baada ya siku alijikuta uwanjani asubuhi akiwa uchi kapigwa pumbu na kunyolewa nywele sehemu za Siri. Akarudi kwa mzee ruksa akamwambia Magu sirudi Kama ukuu wa wilaya basi.
Ng'wanamalunde alitenda mengi makubwa ya kuonekana kuliko hao wanaojiita manabii na mitumeWasukuma wameshika Sana mambo ya jadi hata wamisionari walipata Kazi ngumu Sana kueneza dini kule
Pia alikuwepo Jonas Gombanila alikuwa na basi mabasi yake unamkumbuka?Umenikumbusha mzee lupondije enzi hizo alikua na basi zimeandikwa "lupondije na bana bakwe" maana yake" lupondije na wanae.
Alikua tajiri sana yule mzee.
Pia kuna mzee alikua anaitwa paulo ng'wani huyu alikua na semi hazina idadi
Ila inasemekana alikua na joka kubwa sana kila mwaka linakula mtu 'wafanyakazi na ndugu'ndio ndagu yake
Kafilisika Paulo,hizo semi zimebaki skrepa tu,mke hakukubali mdogo wake aliwe,joka likatoka kwenda majini,ndo mwisho wa utajiri wa pauloUmenikumbusha mzee lupondije enzi hizo alikua na basi zimeandikwa "lupondije na bana bakwe" maana yake" lupondije na wanae.
Alikua tajiri sana yule mzee.
Pia kuna mzee alikua anaitwa paulo ng'wani huyu alikua na semi hazina idadi
Ila inasemekana alikua na joka kubwa sana kila mwaka linakula mtu 'wafanyakazi na ndugu'ndio ndagu yake
Aisee alitisha sana miaka iyo kwa pesa.ila naskia kuna mwanae aliolewa na mzungu huko mambele anaweza akamsaidia.Kafilisika Paulo,hizo semi zimebaki skrepa tu,mke hakukubali mdogo wake aliwe,joka likatoka kwenda majini,ndo mwisho wa utajiri wa paulo