Ng'wanakapolo mwanamke aliyetetemesha Magu. Misukule yake ya Kihindi na Kizungu iliwashangaza wengi

Aliekwambia uchawi unatumika kuextract madini Nani??[emoji849]
 
Pale magu ni balaa, mwaka 2017 nikiwa nafanya project flani na NBS (National Bureau of Statistics) gari yetu ilikula mzinga mmoja hatari sana, yani ilipindikuka tairi zikaangalia juu. Bahati yetu field officers wote pamoja na dereva tulitoka wazima. Na ndio ilikuwa imebaki wilaya hiyo tukamilishe project kwa mkoa wa Mwanza. Ilibidi turudi Mwanza mjini kupumzika badae tulianza kutokea mjini kwenda magu badala ya kulala magu kama ilivyokuwa mwanzo.

Kwa waliobahatika kushiriki agricultural survey ya mwaka 2016/2017 chini ya ofisi ya taifa ya takwimu mtakuwa mnakumbuka hili tukio.
 
Magu kiboko,kuna mguu wa wilaya mmoja mama mmoja matata sana aliingia kwa mbwembe Magu,siku moja akaamka asubuhi yuko kiwanja cha mpira na nywele za chin wamemnyoa yule alindoka magu siku hiyo hakurudi tena,kutawala mij kama hiyo inatakiwa utumie akili na sio mabavu
 
Nimemaliza clip no.1.
Good at all
 
The idiot is now msukule as well. Haya maisha watu wanajitutumua na uchawi wakati hauna msaada wowote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…