Wasukuma/wanyamwezi na mauchawi yote jamii zenu ni maskini sana,ardhi yenu ina madini kibao,kuanzia Kahama,ushirombo mpaka nyakanazi,kakola,Geita,bulhanhuru,kote huko ni madini lakini watu wake ni maskini sana.
Sasa hayo maujuzi ya uchawi yamewasaidia nini?
Utoto raha sana.
Ha ha ha! The truth stays in the heart of the one who knows reality. The one who is in thought that he knows everything, is only pleasing his own soul! Is always felt with proudness, lots of words in his mouth...but never changes the truth!Message sent and delivered
Ha ha ha! The truth stays in the heart of the one who knows reality. The one who is in thought that he knows everything, is only pleasing his own soul! Is always felt with proudness, lot of words in his mouth...but never changes the truth!Message sent and delivered
Njooni muone comment ya qisengerAna bahati hakukutana na watu wa Mungu mwenye nguvu wangemsambaratisha na uchawi wake ungeisha
qisenger? Huoni kuwa unatukana? Unataka ligi ya matusi?Njooni muone comment ya qisenger View attachment 2032616
Uliuelewa vema uzi wangu mkuu... dawa ya uchawi ni mtu kuwa positive na pia uwe unapiga sala ki ukweli ukweli.. aisee hawakupati daima na mileleUchawi ni nguvu hasi negative power ila ukiwa positive haukupati.
Hilo sio tusi ni kilugha chetu . halafu kama lingekuwa tusi ningekuwa nimetukana maneno (words) kwenye hio comment sio wewe baba mtumishiqisenger? Huoni kuwa unatukana? Unataka ligi ya matusi?
Ukizijua codes za wachawi awakusumbuiUliuelewa vema uzi wangu mkuu... dawa ya uchawi ni mtu kuwa positive na pia uwe unapiga sala ki ukweli ukweli.. aisee hawakupati daima na milele
Unaweza pigwa chale isitoke damu,au usipakwe dawa.Ile dawa ni connection na kuzimu ni kama microchip au antena Ili zile nguvu za kuzimu kupitia majini zitende Kazi kulingana na hitaji lako.Hujui matibabu ya chale wewe.
Huchanjwi chale ili utoke damu
Kweli kabisa .. chale ni kama antenna.. alikuwa akizungumza padri mmoja hiviUnaweza pigwa chale isitoke damu,au usipakwe dawa.Ile dawa ni connection na kuzimu ni kama microchip au antena Ili zile nguvu za kuzimu kupitia majini zitende Kazi kulingana na hitaji lako.
Unauza nafsi yako kwa shetani.Kweli kabisa .. chale ni kama antenna.. alikuwa akizungumza padri mmoja hivi
Wewe umesema, hata kesho yako hauijui. Utawezaje kujua ya rohoniSiku izi hakuna watu wa Mungu ni maigizo tu
Nimemaliza clip no.1.Upo uchawi wa kufunga ukoo, familia, mtaa,mji,nchi,eneo nk unaitwa malila,kwa kuweka maagano Ili chochote kigeni yakiwemo maendeleo yasiwepo kwenye eneo husika lililofungwa,thus utaona tabia Jamii fulani ya eneo husika huwa na tabia zifananazo mfano uvivu,wizi,hawaoleki,awamalizi shule, ujengi,nk jua eneo hilo limefungwa, zamani vijijini wengi waliogopa kujenga ukijenga tu laana ile inakupata utakufa,fukuzwa kazi au yakuharibikie mambo,nk.
Malila ni uchawi au mikosi inayofungwa na wenyeji Ili kulinda Jamii yao na muingiliano au tamaduni ngeni ni hadi tena wazee waliofunga maagano hayo wayafungue au waruhusu vipya wavitakavyo Ili viingie tena kwenye Jamii yao.
Msikilize aliyekuwa Sauli kabla ajawa Paulo
Sijakubaliana na wew,chale ni kama sindano hospitalUnaweza pigwa chale isitoke damu,au usipakwe dawa.Ile dawa ni connection na kuzimu ni kama microchip au antena Ili zile nguvu za kuzimu kupitia majini zitende Kazi kulingana na hitaji lako.
The idiot is now msukule as well. Haya maisha watu wanajitutumua na uchawi wakati hauna msaada wowoteNg'wanakapolo tafsiri yake ni mtoto wa Kapolo. Kapolo ni muhogo usio na uchangu, muhogo mtamu.
Miaka ya 1970s hadi 2000 jina hilo lilivuma sana kwenye mji wa Magu uliopo mkoani Mwanza.
Hata kama hukubahatika kumuona kwa macho hakika jina lake ungelisikia tu likivuma maana huyu ndiye aliyewaweka pangoni kwenye vilima vya Nyambitilwa misukule mbalimbali hadi ya kihindi na kizungu.
Miaka ya nyuma alikuwepo bwana mmoja akiitwa Lupondije (Malaki). Aliitwa jina la MALAKI kwa kuwa alikuwa na malaki ya ng'ombe .
Huyu bwana aliamua kujenga jengo la ghorofa kumi pale Magu mjini. Akaanza ujenzi na akiwa anaendelea , Ng'wanakapolo akamfuata akamwambia ghorofa lako liishe hapo, unatuletea mambo ya kigeni (mashikolo mageni) ili iweje? Hapo ujenzi ulikuwa umefika kwenye ghorofa ya nne.
Bwana Malaki hakuwa mkaidi, aliamua aachane na ujenzi ili kuinusuru nafsi yake.
Ng'wanakapolo anatajwa kuhusika na kuwachukua msukule wazungu wawili ambao walikuwa wanajenga barabara ya Mwanza kwenda Musoma.
Wazungu hao walipotea kimiujiza na hawakuonekana tena hadi baada ya miaka kadhaa misukule ya bibi Ng'wanakapolo ilipobainika kwenye milima ya mawe ya Nyambitilwa.
Huko walikamatwa fisi wengi sana wakiwa wamevalishwa hirizi na nguo. Pia ilikutwa misukule mbalimbali wakiwemo wazungu wawili wa Sogesca, muhindi mmoja na Waafrika zaidi ya kumi na tano.
Licha ya Magu kuwa na wafanyabiashara wengi wakubwa wa mifugo na samaki bado wanaogopa kujenga maghorofa kwa kuogopa kulogwa.
Kifo cha Ng'wanakapolo kiliacha gumbo kubwa hapo Magu kwani watu hawakuamini kwamba Ng'wanakapolo anaweza kufa siku moja kutokana na nguvu zake na ubabe wake wa kichawi.
Kweli aiseeThe idiot is now msukule as well. Haya maisha watu wanajitutumua na uchawi wakati hauna msaada wowote