Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Kwa macho ya kawaida na sio kiroho.Sijakubaliana na wew,chale ni kama sindano hospital
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa macho ya kawaida na sio kiroho.Sijakubaliana na wew,chale ni kama sindano hospital
Mpumbavu ushughulika na uchawiThe idiot is now msukule as well. Haya maisha watu wanajitutumua na uchawi wakati hauna msaada wowote
Lupondje na bana bakwe (mabasi)Daaaa!!umenikumbusha mbali sana mkuu, huko ILUNGU, ICHOBELA, KINANGO, NYAMATALA, KAHANGARA!!na huyo mzee LUPONDIJE, alikuja kugombea ubunge wa jimbo la magu 1995, akichuana na Dr.limbu, mzee hata elimu hakuwa nayo ila alikuwa ana mwaga pesa ile mbaya, na alifanikiwa kushinda!!ni kweli nakumbuka haoo magu miaka ile ni yeye tu ndiye alikuwa na ghorofa!!na kwa nje kidogo hapo pembezoni ma barabara ya kwenda msoma alikuwa na zizi kubwa sana la ng'ombe!!!
Uchawi na ulozi ni biashara ya kifahari ya watu maskiniMpumbavu ushughulika na uchawi
Kabisa wengi ni matapeliSiku izi hakuna watu wa Mungu ni maigizo tu
Daaaah! Jamaa alikosea sana, kwa nini awatukane watu??Wazee ni watu wakubwa Sana kwenye ulimwengu wa giza muhimu usitafute nao vita pasipo sababu
Hata yeye anaitafuta mkuuBuji buji nilikumiss sn kk. Upo..? Nataka dawa za madini ...niende wapi?
Anna makinda huyoKuna yule mkuu wa wilaya alikuja Magu kwa kukurupuka, akawatusi wazee wa Magu. Baada ya siku alijikuta uwanjani asubuhi akiwa uchi kapigwa pumbu na kunyolewa nywele sehemu za Siri. Akarudi kwa mzee ruksa akamwambia Magu sirudi Kama ukuu wa wilaya basi.
Anna makinda huyo
Wale wazungu walitambuliwa kwamba ni wahandisi wa Sigesca wakarudishwa kwao. Muhindi alitambuliwa kuwa ni wa hapohapo Magu
Mhuuuuum ya kweli haya jamani. Ila umenikumbusha Mheshimiwa mbunge Malaki Lupondije,Mungu aendelee kumpumnzisha kwa amani.
Sikumbuki nilikuwa mtoto,kilichonifanya nijue habari zake ni kwa sababu alizaa na mam yangu mkubwa.Kumbe alishinda ubunge samahani ilikuwa mwaka gan huo
Ilikuaje iyo misukule ikapatikana?Ng'wanakapolo tafsiri yake ni mtoto wa Kapolo. Kapolo ni muhogo usio na uchangu, muhogo mtamu.
Miaka ya 1970s hadi 2000 jina hilo lilivuma sana kwenye mji wa Magu uliopo mkoani Mwanza.
Hata kama hukubahatika kumuona kwa macho hakika jina lake ungelisikia tu likivuma maana huyu ndiye aliyewaweka pangoni kwenye vilima vya Nyambitilwa misukule mbalimbali hadi ya kihindi na kizungu.
Miaka ya nyuma alikuwepo bwana mmoja akiitwa Lupondije (Malaki). Aliitwa jina la MALAKI kwa kuwa alikuwa na malaki ya ng'ombe .
Huyu bwana aliamua kujenga jengo la ghorofa kumi pale Magu mjini. Akaanza ujenzi na akiwa anaendelea , Ng'wanakapolo akamfuata akamwambia ghorofa lako liishe hapo, unatuletea mambo ya kigeni (mashikolo mageni) ili iweje? Hapo ujenzi ulikuwa umefika kwenye ghorofa ya nne.
Bwana Malaki hakuwa mkaidi, aliamua aachane na ujenzi ili kuinusuru nafsi yake.
Ng'wanakapolo anatajwa kuhusika na kuwachukua msukule wazungu wawili ambao walikuwa wanajenga barabara ya Mwanza kwenda Musoma.
Wazungu hao walipotea kimiujiza na hawakuonekana tena hadi baada ya miaka kadhaa misukule ya bibi Ng'wanakapolo ilipobainika kwenye milima ya mawe ya Nyambitilwa.
Huko walikamatwa fisi wengi sana wakiwa wamevalishwa hirizi na nguo. Pia ilikutwa misukule mbalimbali wakiwemo wazungu wawili wa Sogesca, muhindi mmoja na Waafrika zaidi ya kumi na tano.
Licha ya Magu kuwa na wafanyabiashara wengi wakubwa wa mifugo na samaki bado wanaogopa kujenga maghorofa kwa kuogopa kulogwa.
Kifo cha Ng'wanakapolo kiliacha gumbo kubwa hapo Magu kwani watu hawakuamini kwamba Ng'wanakapolo anaweza kufa siku moja kutokana na nguvu zake na ubabe wake wa kichawi.
Yani chale ni kama umewasha bluetooth..unaonekana kirahisi kwenye rada zao.Huwezi mshinda shetani kama huna Mungu ndano yako.
Kupigwa chale ni kusajiliwa kuzimu,chale ni lazima itoke damu,ile damu inaenda kuzimu kama kiapo cha maagano ya mkataba Kati yako na shetani kupitia mganga ambae ni wakili wa shetani duniani.Chale ni muhuri au sahihi ya kuingia mkataba na majini yatende kazi kusudiwa.
Masimulizi ya kijinga kama Yale ya kinjekitile ngwale kubadilisha risasi kuwa maji.Ng'wanakapolo tafsiri yake ni mtoto wa Kapolo. Kapolo ni muhogo usio na uchangu, muhogo mtamu.
Miaka ya 1970s hadi 2000 jina hilo lilivuma sana kwenye mji wa Magu uliopo mkoani Mwanza.
Hata kama hukubahatika kumuona kwa macho hakika jina lake ungelisikia tu likivuma maana huyu ndiye aliyewaweka pangoni kwenye vilima vya Nyambitilwa misukule mbalimbali hadi ya kihindi na kizungu.
Miaka ya nyuma alikuwepo bwana mmoja akiitwa Lupondije (Malaki). Aliitwa jina la MALAKI kwa kuwa alikuwa na malaki ya ng'ombe .
Huyu bwana aliamua kujenga jengo la ghorofa kumi pale Magu mjini. Akaanza ujenzi na akiwa anaendelea , Ng'wanakapolo akamfuata akamwambia ghorofa lako liishe hapo, unatuletea mambo ya kigeni (mashikolo mageni) ili iweje? Hapo ujenzi ulikuwa umefika kwenye ghorofa ya nne.
Bwana Malaki hakuwa mkaidi, aliamua aachane na ujenzi ili kuinusuru nafsi yake.
Ng'wanakapolo anatajwa kuhusika na kuwachukua msukule wazungu wawili ambao walikuwa wanajenga barabara ya Mwanza kwenda Musoma.
Wazungu hao walipotea kimiujiza na hawakuonekana tena hadi baada ya miaka kadhaa misukule ya bibi Ng'wanakapolo ilipobainika kwenye milima ya mawe ya Nyambitilwa.
Huko walikamatwa fisi wengi sana wakiwa wamevalishwa hirizi na nguo. Pia ilikutwa misukule mbalimbali wakiwemo wazungu wawili wa Sogesca, muhindi mmoja na Waafrika zaidi ya kumi na tano.
Licha ya Magu kuwa na wafanyabiashara wengi wakubwa wa mifugo na samaki bado wanaogopa kujenga maghorofa kwa kuogopa kulogwa.
Kifo cha Ng'wanakapolo kiliacha gumbo kubwa hapo Magu kwani watu hawakuamini kwamba Ng'wanakapolo anaweza kufa siku moja kutokana na nguvu zake na ubabe wake wa kichawi.