NHIF Waongeza gharama za Bima ya Afya kwa Watoto, sasa kulipa Tsh. 120,000/= badala ya Tsh. 50,400/=

NHIF Waongeza gharama za Bima ya Afya kwa Watoto, sasa kulipa Tsh. 120,000/= badala ya Tsh. 50,400/=

Haya mambo ya NHIF yananikumbusha miaka hiyo Mzee mmoja alikuwa HR wetu.

Wale wazungu kwenye vikao vya management wakajadili njia bora ya wafanyakazi kupata matibabu je wawe wanaleta risiti ya matibabu kuclaim refund au waingie mkataba na hospitali?

Basi yule Mzee Mtanzania mwenzetu bila aibu anasema mishahara yetu tayari INA pesa za matibabu, basi wale wazungu wakaona kwakuwa huyu ni Mtanzania mwenzetu basi yupo sahihi.

Kimbembe akaumwa mke wake tikatika Mzee akampeleka Agha Khan si HR wa kampuni ya wazungu bwana, mama alilazwa wiki mbili tu bill million 15, akachukuwa invoice akapeleka ofisini ili wazungu wamlipie, Sasa ninachowapenda wazungu wapi straight wakamuulize Mzee swala la matibabu si lipo kwenye mishahara ya wanafanyakazi?

Huu ndio ubinafsi nauona kwa NHIF, wao hawajioni kama ni Watanzania au wana ndugu wanaoathirika na huu upuuzi wao.

Kwa huruma ya wazungu walimpa cheque yulw Mzee akalipe bill lakini atakatwa pesa yote kwenye mshahara wake.

Kwa roho mbaya ya yule Mzee Mungu akamlaani ampaka anakufa anakaa vigorofa vya NHC vya nyumba viliwi na sebule wakati alipaswa awe na mjengo wa maana na compound ya kutosha.
Roho mbaya haijengi
 
Haya mambo ya NHIF yananikumbusha miaka hiyo Mzee mmoja alikuwa HR wetu.

Wale wazungu kwenye vikao vya management wakajadili njia bora ya wafanyakazi kupata matibabu je wawe wanaleta risiti ya matibabu kuclaim refund au waingie mkataba na hospitali?

Basi yule Mzee Mtanzania mwenzetu bila aibu anasema mishahara yetu tayari INA pesa za matibabu, basi wale wazungu wakaona kwakuwa huyu ni Mtanzania mwenzetu basi yupo sahihi.

Kimbembe akaumwa mke wake tikatika Mzee akampeleka Agha Khan si HR wa kampuni ya wazungu bwana, mama alilazwa wiki mbili tu bill million 15, akachukuwa invoice akapeleka ofisini ili wazungu wamlipie, Sasa ninachowapenda wazungu wapi straight wakamuulize Mzee swala la matibabu si lipo kwenye mishahara ya wanafanyakazi?

Huu ndio ubinafsi nauona kwa NHIF, wao hawajioni kama ni Watanzania au wana ndugu wanaoathirika na huu upuuzi wao.

Kwa huruma ya wazungu walimpa cheque yulw Mzee akalipe bill lakini atakatwa pesa yote kwenye mshahara wake.

Kwa roho mbaya ya yule Mzee Mungu akamlaani ampaka anakufa anakaa vigorofa vya NHC vya nyumba viliwi na sebule wakati alipaswa awe na mjengo wa maana na compound ya kutosha.
Mtu kaloga ukoo na kujisahau kuwa naye ni mwana ukoo.Watanzania baadhi wanababaikaga sana kufanya kazi na ngozi nyeupe.
 
Hakuna kama samia huyu rais wa ndoto zangu haiwezekani mtoto atibiwe kwa hela ndogo kama keeli unampemda mwanao
Hapo nchi kama kenya laki 3 ghana laki 340 kwa mtoto mmoja
Usa wao 1.6m per kid

Ni kuonesha namna gani unampenda mwanao


Twende na samia mpaka 2050

Kaupiga mwingiiiiiiiii
Sana watanzania Rais wa mioyo yetu huyu haiwezekani mtoto wako atibiwe kwa gharama ndogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kupenda kitonga,huo mfuko wa bima ulikua inaelekea kuzimu,kutwa kuuhujumu,mkitibiwa malaria familia nzima kwa mwaka ambayo haipungui Mara tatu kila mmoja ni si chini ya 300000
sio kitonga, hizo gharama ni kubwa sana.
 
Haya mambo ya NHIF yananikumbusha miaka hiyo Mzee mmoja alikuwa HR wetu.

Wale wazungu kwenye vikao vya management wakajadili njia bora ya wafanyakazi kupata matibabu je wawe wanaleta risiti ya matibabu kuclaim refund au waingie mkataba na hospitali?

Basi yule Mzee HR Mtanzania mwenzetu bila aibu akasema mishahara yetu tayari ina pesa za matibabu, basi wale wazungu wakaona kwakuwa huyu ni Mtanzania mwenzetu basi yupo sahihi.

Kimbembe akaumwa mke wake tikatika Mzee akampeleka Agha Khan si HR wa kampuni ya wazungu bwana, mama alilazwa wiki mbili tu bill million 15, akachukuwa invoice akapeleka ofisini ili wazungu wamlipie, Sasa ninachowapenda wazungu wapo straight wakamuulize Mzee swala la matibabu si lipo kwenye mishahara ya wafanyakazi?

Huu ndio ubinafsi nauona kwa NHIF, wao hawajioni kama ni Watanzania au wana ndugu wanaoathirika na huu upuuzi wao.

Kwa huruma ya wazungu walimpa cheque yulw Mzee akalipe bill lakini atakatwa pesa yote kwenye mshahara wake.

Kwa roho mbaya ya yule Mzee Mungu akamlaani ampaka anakufa anakaa vigorofa vya NHC vya nyumba viliwi na sebule wakati alipaswa awe na mjengo wa maana na compound ya kutosha.
Shida awafikirii mbele,
Wanajifikiria wao wenyewe tu,
Sheria sio kwa ajili yao.
 
Kuweka mambo sawa kama uliweza lipia 54k ww hiyo hela iweke sehemu salama na uendelee kuiongezea hata kidogo kidogo ili mtoto akiumwa umtibie hapo lawama zinakua zimeisha. Kwanza jukumu la matibabu ni la mtu binafsi basi tu serikali kutaka kufanya biashara. Au ukionaje tafuta mganga wako wa miti shamba uwe na mganga private akupe miziziology ya kutosha.

NB: nilichoandika hapo juu hakiwezekani
 
Ndugu zangu,
Iko hivi, hii bima ya toto afya na nyinginezo za private wanajiunga baada ya familia husika kupata tatizo la kuuguliwa na mtoto au ndugu. Ukiwa na mfuko wa NHIF ambao wanachama wake wanajiunga wakiwa wanaumwa karibu wote ni hatari Kwa uhai wa mfuko wenyewe.
Na huo ndio ukweli wenyewe

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hili jopo lililopitisha hii ni la watanzania kweli?
Waswahili kwa asilimia zote. Mambo haya yameanza siku nyingi nyuma, kumbuka;
  • Tunateua, tunatangaza, tunagundua tumekosea, tunatengua, tunatangaza tena, hii yote ni ndani ya siku moja.
  • Tumeanzisha Afya kwa wote, nasikia imeshindikana kabla haijaanza.

Huu ndio mwendo kwa sasa, miradi mingi inaendelea na iko mbioni kukamilika, makaratasini na waimba pambio; uhalisiani, ndo yale ya Dege nini huko.

Mtaalam mmoja wa uchumi akihojiwa jana, kasema; hii inachagiza mzazi/mlezi kuingia kwenye mfumo wa bima ya afya na hivyo wategemezi wake kuingia automatically, kuliko kumlipia mtoto tu. Itasaidia sana kwenye uchumi wa nchi.

Sasa unajiuliza, kweli huyu ni Prof? Ni mtanzania? Anaishi wapi? Ukiondoa maarifa aliyopata darasani, kinachobaki ubongoni mwake ni nini, damu na oksijeni tu?
 
WaTanzania asili yetu ni watu wa kulalamika lalamika bila hata kutumia akili zetu ku- reason out, hiyo kasumba ililetwa na siasa za ujamaa za kuchonganisha sera za kibepari na raia wake, 120,000 ni sawa na sh 10,000 kwa kila mwenzi kwa ajiri ya afya ya mwanao.

Kwa kweli hiyo sio nyingi, kwa nchi nilizo tembelea bima ni gharama kubwa sana mara 5 au 10 na ya kwetu, tuwe fair some time, mtumishi wa wastani anakatwa 40,000 ya mshahara wake kila mwezi kwa ajiri ya bima hao ndo wanao fidia hiyo pesa tuwe waelewa katika vitu vya msingi kama afya ya wstoto wetu kama huwezi kutenga 10k kwa ajiri ya afya ya mwanai kila kwanini unaendelea kuwapa wanawake mimba?
Kama umetembea basi ni Somalia, Eritrea, Burundi, South Sudan na Gambia.

Ungekuwa umetembea first world ungegunduwa hata kodi wanalipa kubwa kwa sababu scale za mishahara ni kubwa.

Ni ujinga uliopitiliza bei ya chupa ya bia Marekani uje kuuza Tanzania haiwezekani na ndio sababu hata Tanzania kwenyewe sehemu kama wavuvi camp wanaingia wazungu na Watanzania wenye ukwasi tu.

Mitaani kwetu ukinywa bia Heineken inaonekana mambo yako safi wakati ulaya ni bia ya machokoraa tu.

Tuache kufananisha vitu visivyo na mfanano, kwa utajiri wa nchi yetu matibabu yanastahili kutolewa bure kabisa baadhi ya Dawa ndio uandikiwe kununuwa pharmacy lakini siyo kulipia vipimo na matibabu.

Kimsingi Mimi hata hiyo bima yenyewe naipinga vilevile., wakati wa Nyerere tulisoma bure na kutibiwa bure, aliwezaje?
 
NHIF wao wanadai kuwa wengi wanaokata BIMA ni wagonjwa tayari, hivyo wanataka wakate kama familia maana si familia yote yaweza kuwa inaumwa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hahahaha NHIF wameona wanachezewa rafu wakaamua wacheze rafu na wenyewe, sema ukichek hii issue kiukweli NHIF wapo sahihi, mtaani watu hukata bima kama mtu anaumwa na si vinginevyo aiseeee, ko NHIF lazima ingezidiwa tu

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Shida awafikirii mbele,
Wanajifikiria wao wenyewe tu,
Sheria sio kwa ajili yao.
Kuna Katibu mkuu wizara ya afya miaka ya nyuma aliwapuuza madaktari wakati wana madai yao ya msingi na akazima ule mgomo.

Mama yake alipopata maradhi akapekekwa Muhimbili ili atibiwe na madaktari walewale, Ki ukweli Alicia pale Muhimbili hakupata huduma stahiki.

Sasa mtu kapoteza mama kwa kujifanya mjuwaji kosa ana Madaraka, kuna mijitu mjinga sana.

Nakumbuka zamani road licence tulikuwa tunalipia 20,000 kwa magari yote, alipoingia Zakhia Meghji kuwa waziri wa fedha akapandisha 150,000 mpaka 350,000, kwakuwa yeye anatumia shangingi la serikali.

Matokeo yake watu tukawa tunabandika sticker za kariakoo kwa 20,000 tu serikali inakosa mapato.

At least huyu aliefuta road licence na kuihamishia kwenye mafuta unaweza kusema anayo akili.

Sasa ukimuona Zakhia Meghji Sasa hivi utadhani amekoswakoswa na kombora la Mrusi shenzi zake, Ki sukari kinatamfuna tu.
 
Hahahaha NHIF wameona wanachezewa rafu wakaamua wacheze rafu na wenyewe, sema ukichek hii issue kiukweli NHIF wapo sahihi, mtaani watu hukata bima kama mtu anaumwa na si vinginevyo aiseeee, ko NHIF lazima ingezidiwa tu

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Kwamba wachangiaji walitumia 600% wakashtukia

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Nchi inaongozwa na Mapaka😁👇
AEb8rs.jpeg
16525976734300.jpg
ummY_jc.jpg
AEb8rsjc.jpeg
 
Back
Top Bottom