NHIF Waongeza gharama za Bima ya Afya kwa Watoto, sasa kulipa Tsh. 120,000/= badala ya Tsh. 50,400/=

NHIF Waongeza gharama za Bima ya Afya kwa Watoto, sasa kulipa Tsh. 120,000/= badala ya Tsh. 50,400/=

CCM na watendaji maofisini kwenye taasisi kama hii vinahusina nini? Mbona we umeongea ukichaa aisee
Kwn hujui CCM ndio chama kilichojipa dhamana ya Kuongoza nchi.
Kupitia Ilani yao.
Mambo yakifeli tunawalaumu wao.

Btw, watendaji hao wako chini ya CCM.
 
Hakuna kama samia huyu rais wa ndoto zangu haiwezekani mtoto atibiwe kwa hela ndogo kama keeli unampemda mwanao
Hapo nchi kama kenya laki 3 ghana laki 340 kwa mtoto mmoja
Usa wao 1.6m per kid

Ni kuonesha namna gani unampenda mwanao


Twende na samia mpaka 2050

Kaupiga mwingiiiiiiiii
Sawa kabisa. Na mishahara tulipwe kama Kenya, na USA. Zero kabisa
 
Mbona vifurushi vimekaa kimchongo sana, kwamba ukikata kifurushi kikubwa utatibiwa ulaya.
 
NHIF wangepambana kusajili watoto wa Shule ya Msingi na Sekondari kabla awajafuta Toto Afya Bima .Au wangesubiri Bima ya afya kwa wote.Watanzania wengi wa kipato cha chini ambao sio wajiriwa awataweza kulipa package zaool.
 
Kazi kwelikweli Cha muhimu hakikisha watoto wako unawakinga na magonjwa hatarishi na ambayo sio hatarishi maana expenses zipo Juu Sana
Shida kuna watoto wa kule na huko vituo vya yatima tumezoea kuwakatia bima za 50,400 sasa itakuwaje kwao?
Ni janga sana nawaonea huruma hawa watoto
 
Tunaposema siasa ndio kila kitu, kuna wapuuzi wengi wanajitokeza kupinga na kukejeli kwamba siasa haiwezi kukuletea chakula mezani. Nashauri NHIF waongeze gharama za bima ifike 500,000/= kwa kila mtoto, ili akili ziwarejee watanzania wajue umuhimu kupatikana kwa KATIBA MPYA
 
NHIF wangepambana kusajili watoto wa Shule ya Msingi na Sekondari kabla awajafuta Toto Afya Bima .Au wangesubiri Bima ya afya kwa wote.Watanzania wengi wa kipato cha chini ambao sio wajiriwa awataweza kulipa package zaool.
Tunaposema KATIBA MPYA NI SASA mtuelewe, upuuzi wa namna hii ungeweza kupingwa kupitia Mahakama na KUFUTILIWA MBALI
 
Hujaeleweka sawa sawa.
Kwanza kwenye hiyo table ya nhif sijaona hiko kifurushi cha watoto cha 120k.
 
Haya mambo ya NHIF yananikumbusha miaka hiyo Mzee mmoja alikuwa HR wetu.

Wale wazungu kwenye vikao vya management wakajadili njia bora ya wafanyakazi kupata matibabu je wawe wanaleta risiti ya matibabu kuclaim refund au waingie mkataba na hospitali?

Basi yule Mzee HR Mtanzania mwenzetu bila aibu akasema mishahara yetu tayari ina pesa za matibabu, basi wale wazungu wakaona kwakuwa huyu ni Mtanzania mwenzetu basi yupo sahihi.

Kimbembe akaumwa mke wake tikatika Mzee akampeleka Agha Khan si HR wa kampuni ya wazungu bwana, mama alilazwa wiki mbili tu bill million 15, akachukuwa invoice akapeleka ofisini ili wazungu wamlipie, Sasa ninachowapenda wazungu wapo straight wakamuulize Mzee swala la matibabu si lipo kwenye mishahara ya wafanyakazi?

Huu ndio ubinafsi nauona kwa NHIF, wao hawajioni kama ni Watanzania au wana ndugu wanaoathirika na huu upuuzi wao.

Kwa huruma ya wazungu walimpa cheque yulw Mzee akalipe bill lakini atakatwa pesa yote kwenye mshahara wake.

Kwa roho mbaya ya yule Mzee Mungu akamlaani ampaka anakufa anakaa vigorofa vya NHC vya nyumba viliwi na sebule wakati alipaswa awe na mjengo wa maana na compound ya kutosha.
Watu kama hawa ndio wanapaswa kufa ili taifa hili lipone maana hawana manufaa yoyote katika nchi hii. Kwanini wakati huyo mbwa anatamka huo upuuzi, msingempiga mawe hadi afe kifo cha kiumbwa?
 
yaani serikali ya tanzania ni kama haina kiongozi mkuu wa kudhibiti ujinga unaofanywa na baadhi ya walioaminiwa kusimamia taasisi fulani, wanachezea uhai wa watanzania hivihivi. Siku wananchi watakapochoka hayo wajue hakuna atakayewanyamazisha. Ogopa sana ukiwa unamuonea mtu kila siku alafu mtu huyo amenyamaza tu...siku akikuchoka ndio utakuwa mwisho wako..CCM na magenge yao wanazingua kwakweli
 
Ni kilio, baada ya NHIF kufuta kifurushi cha Toto Afya na kulazimisha mzazi kukata bima ya afya pamoja na Watoto wao na gharama kupanda kutoka 50,400 mpaka 120,000 kwa mtoto mmoja.

View attachment 2551779
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when these unscrupulous rats will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority looters and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few looters whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except looters themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava boat by which they were sailing!
 
WaTanzania asili yetu ni watu wa kulalamika lalamika bila hata kutumia akili zetu ku- reason out, hiyo kasumba ililetwa na siasa za ujamaa za kuchonganisha sera za kibepari na raia wake, 120,000 ni sawa na sh 10,000 kwa kila mwenzi kwa ajiri ya afya ya mwanao.

Kwa kweli hiyo sio nyingi, kwa nchi nilizo tembelea bima ni gharama kubwa sana mara 5 au 10 na ya kwetu, tuwe fair some time, mtumishi wa wastani anakatwa 40,000 ya mshahara wake kila mwezi kwa ajiri ya bima hao ndo wanao fidia hiyo pesa tuwe waelewa katika vitu vya msingi kama afya ya wstoto wetu kama huwezi kutenga 10k kwa ajiri ya afya ya mwanai kila kwanini unaendelea kuwapa wanawake mimba?
Wewe usilolijua ni kama usiku wa giza,huko ulikotokea mfano angalau matunda ya michango yao inaonekana vizuri tofauti na huu ya kwetu imejaa uhuni tupu! Wizi mtupu wa fedha za umma.binafsi nimefanya hospitalini,najua mipango waliyokuwa wanatumia watumishi wa hiyo mifuko kulijipa fedha haramu haramu na haramu zaidi za watanzania. Nadhani kuna watumishi wanastahili kuwa gerezani au kunyongwa kama ingekuwa Korea kaskazini huko.wizi mtupu!
 
Back
Top Bottom