NHIF yafuta Bima ya Afya kwa watoto "TOTO Afya Kadi". NHIF yadai hawajafuta ila wameboresha

NHIF yafuta Bima ya Afya kwa watoto "TOTO Afya Kadi". NHIF yadai hawajafuta ila wameboresha

Wanyonge wananyongwa kabisa..!! Asiyekuwa nacho, hata kile kidogo alichonacho ananyang'anywa...!!! Ujue hawa NHIF wahuni sana, kwani maboresho hayawezi kufanyika wakati huduma ya TOTO AFYA KADI ikiendelea? Kwanini hawa NHIF wanafanya watu wajinga sana.?
Lengo wanataka waondoe mchangiaji mmoja mmoja, wanataka waweke nguvu kwenye shule kila mwanafunzi lazima awe na lazi, wakifanya hivyo watapata wachangiaji milioni 10 kwa mwaka ambao watagenerate zaidi ya Bilioni 50

Lengo lao ni wachangiaji wawe wengi.

Wanaondoa ile ya mtu 1 kukatiwa
 
Tatizo la hii Bima ya Watoto ya shilingi elfu 50,400 tulikuwa tunachagua mno watoto wa kujiunga, yaani nina watoto watatu basi nalipia yule mtoto tu anayeumwa, sasa kwa mtindo huu lazima mfuko ungeelemewa na wagonjwa.
Yaaani ni kama una gari unasubiri ipate ajali ndiyo uikatie Bima, hapa NHIF walijitia kitanzi wenyewe.
Point dhaifu mno.
 
Habari za awali zinadai kwamba Mfuko wa Taifa wa BIma ya Afya umefuta rasmi bidhaa ya "Toto Afya Kadi" iliyokuwa inatolewa na mfuko huo kwa watoto wa chini ya miaka 18 wanaosajiliwa ili kuwawezesha kupata huduma za matibabu katika vituo vilivyosajiliwa na NHIF nchi nzima.

Ikumbukwe kuwa Toto Afya Kadi ilikuwa inatoa nafasi kwa watoto chini ya miaka 18 kutibiwa kwa gharama ya Tsh. 50,400/= kwa mwaka mzima.

Lakini miongozo iliyotoka hivi karibuni inaonesha kuwa mwanachama aliyekuwa akitibiwa kwa bima hii hawezi kufanya malipo mapya pale bima yale inapokwisha muda wa matumizi (hawezi kurenew).

Hivyo ni kama imeondolewa kimyakimya na hata ukitaka kulipia Bima hiyo hivi sasa wanakwambia kuwa
Habari za awali zinadai kwamba Mfuko wa Taifa wa BIma ya Afya umefuta rasmi bidhaa ya "Toto Afya Kadi" iliyokuwa inatolewa na mfuko huo kwa watoto wa chini ya miaka 18 wanaosajiliwa ili kuwawezesha kupata huduma za matibabu katika vituo vilivyosajiliwa na NHIF nchi nzima.

Ikumbukwe kuwa Toto Afya Kadi ilikuwa inatoa nafasi kwa watoto chini ya miaka 18 kutibiwa kwa gharama ya Tsh. 50,400/= kwa mwaka mzima.

Lakini miongozo iliyotoka hivi karibuni inaonesha kuwa mwanachama aliyekuwa akitibiwa kwa bima hii hawezi kufanya malipo mapya pale bima yale inapokwisha muda wa matumizi (hawezi kurenew).

Hivyo ni kama imeondolewa kimyakimya na hata ukitaka kulipia Bima hiyo hivi sasa wanakwambia kuwa huduma haipo.
Habari za awali zinadai kwamba Mfuko wa Taifa wa BIma ya Afya umefuta rasmi bidhaa ya "Toto Afya Kadi" iliyokuwa inatolewa na mfuko huo kwa watoto wa chini ya miaka 18 wanaosajiliwa ili kuwawezesha kupata huduma za matibabu katika vituo vilivyosajiliwa na NHIF nchi nzima.

Ikumbukwe kuwa Toto Afya Kadi ilikuwa inatoa nafasi kwa watoto chini ya miaka 18 kutibiwa kwa gharama ya Tsh. 50,400/= kwa mwaka mzima.

Lakini miongozo iliyotoka hivi karibuni inaonesha kuwa mwanachama aliyekuwa akitibiwa kwa bima hii hawezi kufanya malipo mapya pale bima yale inapokwisha muda wa matumizi (hawezi kurenew).

Hivyo ni kama imeondolewa kimyakimya na hata ukitaka kulipia Bima hiyo hivi sasa wanakwambia kuwa huduma haipo.

View attachment 2549215

Habari za awali zinadai kwamba Mfuko wa Taifa wa BIma ya Afya umefuta rasmi bidhaa ya "Toto Afya Kadi" iliyokuwa inatolewa na mfuko huo kwa watoto wa chini ya miaka 18 wanaosajiliwa ili kuwawezesha kupata huduma za matibabu katika vituo vilivyosajiliwa na NHIF nchi nzima.

Ikumbukwe kuwa Toto Afya Kadi ilikuwa inatoa nafasi kwa watoto chini ya miaka 18 kutibiwa kwa gharama ya Tsh. 50,400/= kwa mwaka mzima.

Lakini miongozo iliyotoka hivi karibuni inaonesha kuwa mwanachama aliyekuwa akitibiwa kwa bima hii hawezi kufanya malipo mapya pale bima yale inapokwisha muda wa matumizi (hawezi kurenew).

Hivyo ni kama imeondolewa kimyakimya na hata ukitaka kulipia Bima hiyo hivi sasa wanakwambia kuwa huduma haipo.

View attachment 2549215
Mfuko wa Bima ya Afya haujafuta Toto Afya kadi bali unafanya maboresho katika utaratibu wa usajili, tusome taarifa vizuri na katika kipindi hicho mfuko umetoa utaratibu mbadala
 
Habari za awali zinadai kwamba Mfuko wa Taifa wa BIma ya Afya umefuta rasmi bidhaa ya "Toto Afya Kadi" iliyokuwa inatolewa na mfuko huo kwa watoto wa chini ya miaka 18 wanaosajiliwa ili kuwawezesha kupata huduma za matibabu katika vituo vilivyosajiliwa na NHIF nchi nzima.

Ikumbukwe kuwa Toto Afya Kadi ilikuwa inatoa nafasi kwa watoto chini ya miaka 18 kutibiwa kwa gharama ya Tsh. 50,400/= kwa mwaka mzima.

Lakini miongozo iliyotoka hivi karibuni inaonesha kuwa mwanachama aliyekuwa akitibiwa kwa bima hii hawezi kufanya malipo mapya pale bima yale inapokwisha muda wa matumizi (hawezi kurenew).

Hivyo ni kama imeondolewa kimyakimya na hata ukitaka kulipia Bima hiyo hivi sasa wanakwambia kuwa huduma haipo.

View attachment 2549215
Maboresho katika Mfuko wetu wa Bima ni muhimu ili kutoa huduma bora kwa wananchi, inapotokea maboresho yanahitajika hatuna budi kuunga mkono jitihada hizi.
 
Wanyonge wananyongwa kabisa..!! Asiyekuwa nacho, hata kile kidogo alichonacho ananyang'anywa...!!! Ujue hawa NHIF wahuni sana, kwani maboresho hayawezi kufanyika wakati huduma ya TOTO AFYA KADI ikiendelea? Kwanini hawa NHIF wanafanya watu wajinga sana.?
Mfuko haujaacha kusajili watoto na bima ya afya. Utaratibu wa kusajili watoto unaendelea kupitia familia au shule wanazosoma.
 
Haaa kakwambia nani, uamuzi huu umekuja kwa kuchelewa. Vifurushi vya familia au kaya na kupitia shuleni ndio mpango mzima. Keep it up Mama SSH tupo pamoja. Bi mkubwa tuletee Bima ya afya kwa wote watu tule Maisha huku tukiwa na uhakika wa matibabu.
 
Tanzania wote wanatibiwa

Mtu akishapata tu kadi ya bima kesho yake anaenda hospitali hata kama hana anachoumwa ataenda tu aseme anahisi mafua na homa
Hahahha Tuache kuji understimate kiasi hiki jamani mbona NHIF Wamejikita kwenye kutoa elimu sana. Halafu watanzania wa Leo sio wale wa miaka ya 70&60 wa leo ni werevu na waelewa sana.
 
Bima ya familia ndio ikoje ?
NHIF ina vifurushi vya bima ya afya unavyoweza kujiunga kulingana na uhitaji, ukubwa wa familia na umri.
IMG-20230313-WA0011.jpg
 
Asanteni NHIF mi nimependa sana utaratibu wenu wa watoto kusajiliwa kupitia shule wanazosoma aisee hii imetulia kwanza mmetuondolea usumbufu wa kufuata hiyo huduma mjini sisi tuta dili na walimu wakuuu mashuleni kwetu
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-03-13 at 5.31.46 PM.jpeg
    WhatsApp Image 2023-03-13 at 5.31.46 PM.jpeg
    52.8 KB · Views: 17
Mfuko unapumlia mashine upo hoi bin taabani.

Kuna zoezi la uhakiki wa wanachama linakuja soon.
 
Back
Top Bottom