Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lengo wanataka waondoe mchangiaji mmoja mmoja, wanataka waweke nguvu kwenye shule kila mwanafunzi lazima awe na lazi, wakifanya hivyo watapata wachangiaji milioni 10 kwa mwaka ambao watagenerate zaidi ya Bilioni 50Wanyonge wananyongwa kabisa..!! Asiyekuwa nacho, hata kile kidogo alichonacho ananyang'anywa...!!! Ujue hawa NHIF wahuni sana, kwani maboresho hayawezi kufanyika wakati huduma ya TOTO AFYA KADI ikiendelea? Kwanini hawa NHIF wanafanya watu wajinga sana.?
Point dhaifu mno.Tatizo la hii Bima ya Watoto ya shilingi elfu 50,400 tulikuwa tunachagua mno watoto wa kujiunga, yaani nina watoto watatu basi nalipia yule mtoto tu anayeumwa, sasa kwa mtindo huu lazima mfuko ungeelemewa na wagonjwa.
Yaaani ni kama una gari unasubiri ipate ajali ndiyo uikatie Bima, hapa NHIF walijitia kitanzi wenyewe.
Habari za awali zinadai kwamba Mfuko wa Taifa wa BIma ya Afya umefuta rasmi bidhaa ya "Toto Afya Kadi" iliyokuwa inatolewa na mfuko huo kwa watoto wa chini ya miaka 18 wanaosajiliwa ili kuwawezesha kupata huduma za matibabu katika vituo vilivyosajiliwa na NHIF nchi nzima.
Ikumbukwe kuwa Toto Afya Kadi ilikuwa inatoa nafasi kwa watoto chini ya miaka 18 kutibiwa kwa gharama ya Tsh. 50,400/= kwa mwaka mzima.
Lakini miongozo iliyotoka hivi karibuni inaonesha kuwa mwanachama aliyekuwa akitibiwa kwa bima hii hawezi kufanya malipo mapya pale bima yale inapokwisha muda wa matumizi (hawezi kurenew).
Hivyo ni kama imeondolewa kimyakimya na hata ukitaka kulipia Bima hiyo hivi sasa wanakwambia kuwa
Habari za awali zinadai kwamba Mfuko wa Taifa wa BIma ya Afya umefuta rasmi bidhaa ya "Toto Afya Kadi" iliyokuwa inatolewa na mfuko huo kwa watoto wa chini ya miaka 18 wanaosajiliwa ili kuwawezesha kupata huduma za matibabu katika vituo vilivyosajiliwa na NHIF nchi nzima.
Ikumbukwe kuwa Toto Afya Kadi ilikuwa inatoa nafasi kwa watoto chini ya miaka 18 kutibiwa kwa gharama ya Tsh. 50,400/= kwa mwaka mzima.
Lakini miongozo iliyotoka hivi karibuni inaonesha kuwa mwanachama aliyekuwa akitibiwa kwa bima hii hawezi kufanya malipo mapya pale bima yale inapokwisha muda wa matumizi (hawezi kurenew).
Hivyo ni kama imeondolewa kimyakimya na hata ukitaka kulipia Bima hiyo hivi sasa wanakwambia kuwa huduma haipo.
Habari za awali zinadai kwamba Mfuko wa Taifa wa BIma ya Afya umefuta rasmi bidhaa ya "Toto Afya Kadi" iliyokuwa inatolewa na mfuko huo kwa watoto wa chini ya miaka 18 wanaosajiliwa ili kuwawezesha kupata huduma za matibabu katika vituo vilivyosajiliwa na NHIF nchi nzima.
Ikumbukwe kuwa Toto Afya Kadi ilikuwa inatoa nafasi kwa watoto chini ya miaka 18 kutibiwa kwa gharama ya Tsh. 50,400/= kwa mwaka mzima.
Lakini miongozo iliyotoka hivi karibuni inaonesha kuwa mwanachama aliyekuwa akitibiwa kwa bima hii hawezi kufanya malipo mapya pale bima yale inapokwisha muda wa matumizi (hawezi kurenew).
Hivyo ni kama imeondolewa kimyakimya na hata ukitaka kulipia Bima hiyo hivi sasa wanakwambia kuwa huduma haipo.
View attachment 2549215
Mfuko wa Bima ya Afya haujafuta Toto Afya kadi bali unafanya maboresho katika utaratibu wa usajili, tusome taarifa vizuri na katika kipindi hicho mfuko umetoa utaratibu mbadalaHabari za awali zinadai kwamba Mfuko wa Taifa wa BIma ya Afya umefuta rasmi bidhaa ya "Toto Afya Kadi" iliyokuwa inatolewa na mfuko huo kwa watoto wa chini ya miaka 18 wanaosajiliwa ili kuwawezesha kupata huduma za matibabu katika vituo vilivyosajiliwa na NHIF nchi nzima.
Ikumbukwe kuwa Toto Afya Kadi ilikuwa inatoa nafasi kwa watoto chini ya miaka 18 kutibiwa kwa gharama ya Tsh. 50,400/= kwa mwaka mzima.
Lakini miongozo iliyotoka hivi karibuni inaonesha kuwa mwanachama aliyekuwa akitibiwa kwa bima hii hawezi kufanya malipo mapya pale bima yale inapokwisha muda wa matumizi (hawezi kurenew).
Hivyo ni kama imeondolewa kimyakimya na hata ukitaka kulipia Bima hiyo hivi sasa wanakwambia kuwa huduma haipo.
View attachment 2549215
Mama gani, mfuko wenyewe ni takatakaThe last kick of the dying horse...
Huyo mama sijui kama ataweza figisu za Afya..
Huo ni mwanzo tu.
Na wewe unaamini??Mfuko wa Bima ya Afya haujafuta Toto Afya kadi bali unafanyq maboresho katika utaratibu wa usajili ,tusome taarifa vuzuri na katika kipindi hicho mfuko umetoa utaratibu mbadala
Hii kitu itakuwa disaster... Malalamiko yatakuwa mengi na haitakidhi mahitaji...Bima ya afya kwa wote itajibu maswali mengi sana ambayo wananchi tunajiuliza kuhusu bima ya Afya. Serikali inatakiwa kufanya kadri wawezavyo kutuharakishia Bima ya afya kwa wote
Maboresho katika Mfuko wetu wa Bima ni muhimu ili kutoa huduma bora kwa wananchi, inapotokea maboresho yanahitajika hatuna budi kuunga mkono jitihada hizi.Habari za awali zinadai kwamba Mfuko wa Taifa wa BIma ya Afya umefuta rasmi bidhaa ya "Toto Afya Kadi" iliyokuwa inatolewa na mfuko huo kwa watoto wa chini ya miaka 18 wanaosajiliwa ili kuwawezesha kupata huduma za matibabu katika vituo vilivyosajiliwa na NHIF nchi nzima.
Ikumbukwe kuwa Toto Afya Kadi ilikuwa inatoa nafasi kwa watoto chini ya miaka 18 kutibiwa kwa gharama ya Tsh. 50,400/= kwa mwaka mzima.
Lakini miongozo iliyotoka hivi karibuni inaonesha kuwa mwanachama aliyekuwa akitibiwa kwa bima hii hawezi kufanya malipo mapya pale bima yale inapokwisha muda wa matumizi (hawezi kurenew).
Hivyo ni kama imeondolewa kimyakimya na hata ukitaka kulipia Bima hiyo hivi sasa wanakwambia kuwa huduma haipo.
View attachment 2549215
Hujui kanuni za Insurance ndiyo maana, suluhisho ni Bima ya Afya kwa wote.
Tanzania wote wanatibiwaHata kama ingefika Milioni 40, ndio maana ni BIMA, kuna wanaotibiwa na wasiotibiwa kabisa
Mfuko haujaacha kusajili watoto na bima ya afya. Utaratibu wa kusajili watoto unaendelea kupitia familia au shule wanazosoma.Wanyonge wananyongwa kabisa..!! Asiyekuwa nacho, hata kile kidogo alichonacho ananyang'anywa...!!! Ujue hawa NHIF wahuni sana, kwani maboresho hayawezi kufanyika wakati huduma ya TOTO AFYA KADI ikiendelea? Kwanini hawa NHIF wanafanya watu wajinga sana.?
Hahahha Tuache kuji understimate kiasi hiki jamani mbona NHIF Wamejikita kwenye kutoa elimu sana. Halafu watanzania wa Leo sio wale wa miaka ya 70&60 wa leo ni werevu na waelewa sana.Tanzania wote wanatibiwa
Mtu akishapata tu kadi ya bima kesho yake anaenda hospitali hata kama hana anachoumwa ataenda tu aseme anahisi mafua na homa
NHIF ina vifurushi vya bima ya afya unavyoweza kujiunga kulingana na uhitaji, ukubwa wa familia na umri.Bima ya familia ndio ikoje ?
Ndio maana katibu mkuu professa Makubi akatolewaHata sijui, lakini nahisi serikali bado inajiuliza haijaamua kwa dhati.
Wazazi wanashauriwa kusajili watoto wao kama wategemezi kupitia Vifurushi vya Bima ya Afya au kupitia shule wanazosoma.Kwahiyo mbadala wa hiyo bima ya watoto ni upi? Au ndo hivyo watoto hawatakuwa na bima daima au?
Asanteni NHIF mi nimependa sana utaratibu wenu wa watoto kusajiliwa kupitia shule wanazosoma aisee hii imetulia kwanza mmetuondolea usumbufu wa kufuata hiyo huduma mjini sisi tuta dili na walimu wakuuu mashuleni kwetuTAARIFA KWA UMMAView attachment 2549212