Ni 1% tu ya Wakenya wanaoweza kumiliki Milioni 40 za Kitanzania

Wacha kudemka mama, maisha yanakuchapa huko njoo huku uwe house keeper au barmaid kwenye mahotel yetu uchangamke na remittance ukomboe family yenu inayotafunwa na funza πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
I don't think u are normal.Yaani wewe kwa ufupi ni shortwire
 
Jana nilikuwa nawaambia kuwa Kenya iko juu yenu juu ilitoka kwa hiyo list. Hiyo ni list ya matajiri pekee, sio watu wenye wamejazwa na umaskini kama watanzania.
20k ni tajiri wa wapi hata vx v8 hupati πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Ni economy law that the more billionaires the higher the millionaires

Eti wenye billionaire wawe na millionaires wachache kuliko wasio na billionaires, we kweli kichaa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Uko na reasoning ya kitoto Sana. Kwani huyo mwenye billions atakuwa anagawia watu pesa zake hili wawe millionaires wengi? Now I understand why your government said that Tanzanians use 1% of their brain to reason.

 
Leta report from 2010 till 2021,
 

Ungeyasubiri yademke kama kurasa tano hivi ndio uje kuwaumbua, elimu ya hovyoo sana hawa.
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Wakati millionaires wa Kenya wanamiliki 20k ya probox 2?
Hehehe kweli ujinga ni kazi ngumu kweli, kwani hata huelewi thread yakoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£. Wakati bado unapoesha kidonda tafadhali jifurahishe na hii.




 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…