Ni aibu Diamond kukosa Milioni tano ya Matunzo ya Mtoto. Aache kuzaa tu

Yanawezekana kama hizo pesa ni zako na umeamua kuzitumia hivo, ila sio kwa kutegemea pesa ya kuomba....
Hata hivo hamisa anataka pesa ya kufanyia show off instagram
hizo pesa ni kwa ajili ya matunzo ya mtoto na mama yake
 
Kasome sheria kwanza ujuwe inaeleza nini kabla hujajurupuka kuchangia. Isitoshe jambo hili liko mahakamani, hivyo kujaribu kuingilia swala ambalo bado halijaamuliwa kisheria pia ni kosa. Yako mambo mengi ya kuuelimisha umma, usikomalie maisha binafsi ya mtu.
 
Atalipa tu hakuna namna usijione fahari kuzaa watoto ukubali na matokeo atakutana na sheria
 
Hamisa buana....hii mbona ni trela bado filamu
 
Iwe isiwe ila milioni 5 Kwa mwezi.hizo ni hela nyingi.unafanya mtoto kama mtaji wako. Kulipa anatakiwa diamond alipe ila sio Kwa milioni 5.hamissa inabidi na yeye ajitume.
Hapa wazazi wetu wametulea Na kutusomesha hadi nasisi tumeaza Maisha na tumeajiliwa wanalipwa mishahala Chini ya milioni mbili. Leo tena unakuta mmezaliwa watano. Leo bado waajiliwa na degree zao wanalipwa bado Chini ya miloni mbili nawanajenga,wanasomesha wanafurahia Maisha sasa mtoto mmoja milioni tano hapo unaona kuna tatizo ndio maana wana wake wanaogopwa na wenye Pesa huwa wanacho fuata ni pesa sasa kunasehemu zingine Pesa haitoki kizembe.
 
Ndo madhara ya kutembea na mademu njaa....yani kwa makusudi anategeshea mimba...
Afu diamond sio kama anakosa iyo 5m...ila kwanini ampe hasa iyo hela??? What for???
 
Mkuu milioni tano ni nyingi sana mzee alikuwa anapokea milioni moja na laki nane tulikuwa tunaishi poa kabisa kusoma na kila kitu hii milioni tano duuu
 
Kuna rafiki yangu alizaa na demu msumbufu yule mwanamke alimsumbua matumizi kufuata kazini anamletea mtt yani alimtesa paka yule jamaa alikuwa anaomba yule mtt ata afariki na yule mtt alifariki kweli nikashaangaa siku ya msiba analia tena
 
Mtoto mchanga kwa mwezi 5ml je akianza shule ya awali kwamezi ikatakuwa bei gani? Tuache kutangaza umasikini tulio nao

Niaibuuuuu
 
Unafkiri mondi angekua maskini angekubali kuwa mchepuko kwa miaka9?au angekubali kuzaa nae mondi alifanya kosa tu la kutokumsoma Huyo demu ni wa aina gani angemjua vzr nadhan hata kusimamisha asingesimamisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…