Ni aibu Diamond kukosa Milioni tano ya Matunzo ya Mtoto. Aache kuzaa tu

Ni aibu Diamond kukosa Milioni tano ya Matunzo ya Mtoto. Aache kuzaa tu

Msanii Nasib Abdul maarufu Diamond Platinumz, amedai mahakamani kuwa hana uwezo wa kumlipa Mwanamitindo Hamisa Mobeto, Sh milioni tano kama gharama za matunzo ya mtoto kwa mwezi.

Diamond amewasilisha majibu hayo katika Mahakama ya Watoto Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka baada ya Mobeto kumfungulia kesi ya madai katika Mahakama hiyo ya watoto akidai mambo mbalimbali ikiwamo matunzo ya mtoto.

Katika majibu yake Diamond amedai fedha hizo anazodai Hamisa kulipwa kwa mwezi kwa ajili ya matunzo ya mtoto ni kubwa hawezi kuzimudu.

Mobeto katika maombi yake kupitia mawakili wake Abdullah Lyana na Walter Godluck wa Kampuni ya Uwakili ya Century Attorneys, anaiomba mahakama imwamuru Diamond kutoa matunzo ya mtoto kila mwezi, mtoto huyo wa kiume aliyezaa na msanii huyo na kumuomba msamaha kwa umma kwa kumsababishia madhara yaliyoishtua familia yake.

Baada ya kupokea majibu hayo mahakama iliahirisha kesi hiyo ya madai hadi Novemba 8, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa. Mobeto kupitia wakili wake walimpa notisi Diamond ya kutaka amwombe radhi na kupeleka matunzo ya mtoto ndani ya siku saba lakini notisi hiyo haikutekelezeka hivyo aliamua kulifikisha suala hilo mahakamani.
Mkuu ingekuwa ww ndiye unayepaswa kutoa hiyo milion tano kwa mwezi ambayo ni sawa na milion 60 kwa mwaka ungetoa? Jukum la kumlea mtoto ni la baba na mama je mobeto yupo tayar kuchangia ngap? Waambien dada zenu waache kushobokea masuper Star kwa gia ya kubeba mimba na kuwageuza kitega uchumi wasanii..... Na huu ni ukwel mchungu kumeza povu ruxa maninaaa
 
Huyu hana hata akilikinacho mfaa apewe 50,000 elfu tu. Huyu jamaa naye eti aibu kusema hana hizo pesa ungekuwa wewe bongo movie nyie nini? Ujinga mwingine mkubwa kulikohata mzigo wa upuuzi uliofanywa
 
Diamond ujanja wote kaingizwa chaka na huyo changu mchafu aisee.
Hakujua km analiwa timming, karudishwa tandale.
Mwisho atalipa tu hao mawakili lazima wapate chao
 
Ningekuwa ni msanii ninayelipwa millioni mia mbili kwa show au ningekuwa namiliki gari ya Mil mia sita ningeweza. Namshauri auze nyumba ya Africa kusini mtoto asife njaa.
Nyumba ya South asahau ule urithi wa watoto wa zari.
Huyu bwamdogo atajikuta siku anaporomoka na kuishiwa kwa spidi ya rocket .
 
Hamisa....."aiming for the moon, hoping to fall among the stars". Hapo target yake ni kama 1M kwa kwezi.
 
Huyu msichana akili zake ziko wapi? Au albadiri imemuangukia yeye. Milion 5 kwa mwezi kwa mtoto mdogo? Sidhani kama watu tungeweza kulea watoto wetu. Basi ampe diamond mtoto alelewe na bibi tiffa.
 
changu mchafu ni huyo diamond anaetomba kila mtu
Ni kweli sasa hìi ishu atapata akili kumkichwa kidogo, maana huyo demu kashika pabaya.
Zari kule nae atasema ukimpa tano yule na huku lete 10 ya wanao wawili .
Kazi ipo
 
5 milioni tshs. Si bei ya gari hiyo. Kwahiyo mobeto anataka magari 12 kwa mwaka...
 
Back
Top Bottom