Ni aibu gani umeshawahi kupata kwenye maisha yako??

Kumbe, sema wanaume wengi siku hizi mnataka hao wenye mautundu
 
Pole sana mkuu, hii ilikuwa ni huzuni kuu! Ukizingatia ni mbele ya mabebe, Kwa age Ile na wakati ule...it wasn't easy at all...
 
Umeenda mbali sana mkuu, ni wapi nimesema hiyo taarifa?
Anakuhukumu kama vile yeye mtakatifu.
Lakini tatizo wewe mwenyewe sababu unauelezea sana umma maisha yako binafsi.
Sijui kwa manufaa gani unajieleza kiasi hiki?
 
Kuna siku sina hili wala lile, mafilingi kibao kichwani. Ghafla tu mshangazi fulani ambao nilikuwa naumendea ukaniitia show.
Nikapiga bao moja tu hamu ikaisha. Jaribu kila mbinu wapi! Nimejaribu kuoga wapi! Nimejaribu kumvutia hisia kutumia pisi nyingine nilizozipitia lakini wapi. Nikachoka nikalala.
Asubuhi nikaamini kwa namna yoyote mwenyekiti atasimama lakini wapi
Daah niliondoka huku namuangalia alivyonona na cheni yake ya gold kiunoni
 
Anakuhukumu kama vile yeye mtakatifu.
Lakini tatizo wewe mwenyewe sababu unauelezea sana umma maisha yako binafsi.
Sijui kwa manufaa gani unajieleza kiasi hiki?
Huu uwanja ni mkubwa sana ukiona hufurahishwi na jambo ni heri upite kimya.
Alafu siyo kila jambo linaloandikwa humu ni la kweli, uwe na jionj njema.
 
Duh! Ungejaribu hata kucheki porn* uone inakuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…