Ni aibu gani umeshawahi kupata kwenye maisha yako??

Ni aibu gani umeshawahi kupata kwenye maisha yako??

Eee! Nashindwa kureflex sawa sawa mishipa yangu ya makalio!

Tena afadhali afanye mautundu yake kabla sijafika ama kukaribia climax isee.
Wakatu huo muhimu ninapenda utulivu ka' wa simba anayekula mzoga.

Wakati akitafuna hapendi kelele wala fujo zenye kuleta jazba.
Kumbe, sema wanaume wengi siku hizi mnataka hao wenye mautundu
 
Mimi O level nilikuaga kwenye Debating club sasa tukawa tumeenda kushindana na shule ya mademu. Sisi tulikua tuna propose afu wao wanaoppose motion. Usiku wakati naandaa points nikajichanganya nikaandaa points za ku-oppose motion ,afu kesho yake mi ndio nilikua first speaker na bahati mbaya nilichelewa ile warm up na wenzangu so hakuna alojua naenda kinyume. Tumefika ukumbini watu wamejaa hadi nje wengine wanachungulia madirishani nikashangaa baada ya introduction nainuliwa kama first speaker to propose the motion. Yale mawenge sijawahi yapata aisee hata sikuelewa nimefikaje kwenye kipaza sauti. Kilichofuata hapo ni kituko cha karne maana sio kwa aibu ile mbele ya mademu mpaka wenzangu wakahisi nimerogwa. Ile aibu sikuwahi tia mguu kwenye mashindano tena maana nilisababisha team yetu kuzomewa vibaya sana
Pole sana mkuu, hii ilikuwa ni huzuni kuu! Ukizingatia ni mbele ya mabebe, Kwa age Ile na wakati ule...it wasn't easy at all...
 
downloadfile-1.gif
 
Umeenda mbali sana mkuu, ni wapi nimesema hiyo taarifa?
Anakuhukumu kama vile yeye mtakatifu.
Lakini tatizo wewe mwenyewe sababu unauelezea sana umma maisha yako binafsi.
Sijui kwa manufaa gani unajieleza kiasi hiki?
 
Kuna siku sina hili wala lile, mafilingi kibao kichwani. Ghafla tu mshangazi fulani ambao nilikuwa naumendea ukaniitia show.
Nikapiga bao moja tu hamu ikaisha. Jaribu kila mbinu wapi! Nimejaribu kuoga wapi! Nimejaribu kumvutia hisia kutumia pisi nyingine nilizozipitia lakini wapi. Nikachoka nikalala.
Asubuhi nikaamini kwa namna yoyote mwenyekiti atasimama lakini wapi
Daah niliondoka huku namuangalia alivyonona na cheni yake ya gold kiunoni
 
Anakuhukumu kama vile yeye mtakatifu.
Lakini tatizo wewe mwenyewe sababu unauelezea sana umma maisha yako binafsi.
Sijui kwa manufaa gani unajieleza kiasi hiki?
Huu uwanja ni mkubwa sana ukiona hufurahishwi na jambo ni heri upite kimya.
Alafu siyo kila jambo linaloandikwa humu ni la kweli, uwe na jionj njema.
 
Kuna siku sina hili wala lile, mafilingi kibao kichwani. Ghafla tu mshangazi fulani ambao nilikuwa naumendea ukaniitia show.
Nikapiga bao moja tu hamu ikaisha. Jaribu kila mbinu wapi! Nimejaribu kuoga wapi! Nimejaribu kumvutia hisia kutumia pisi nyingine nilizozipitia lakini wapi. Nikachoka nikalala.
Asubuhi nikaamini kwa namna yoyote mwenyekiti atasimama lakini wapi
Daah niliondoka huku namuangalia alivyonona na cheni yake ya gold kiunoni
Duh! Ungejaribu hata kucheki porn* uone inakuwaje
 
Back
Top Bottom