Pre GE2025 Ni aibu kubwa sana CHADEMA kupigana ngumi katika Uchaguzi mbele ya Naibu katibu Mkuu wake Benson Kigaila

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe ndiye unapaswa kunywa maji kupunguza msongo wa mawazo uliokujaa.
Msongo wa mawazo unao wewe ambaye kila siku ni kuandika Ushubwada hapa JF!,Umeokota huko mtaani habari za Chadema na kuzileta hapa,OK, zimekusaidia nini au zinatusaidia nini wana JF?

Lete habari zitakazomsaidia mtanzania,siyo Ushakuna na umbeya!

Tumia bando lako kuandika mada zenye akili timamu ili kujenga hoja zenye chanya na siyo vioja!
 
Duuh
 
Duuuh
 
Duuuh
 
Hizi pesa unazoweka Bando kila siku halafu unaishia kuandika Udaku na Ushambenga kwa mambo yasiyokuwa na tija kwa Watanzania,ungekuwa unazituma huko kijijini kwenu tayari ungekuwa umekamilisha banda la kuku ambao wangekutoa kwenye umasikini!
Mwambie ukweli huyu pimbi!
 
Popote wanaume wanapokutana hasa kwenye ushindani ngumi na Qumamake sio vya kuuliza.
wewe unashangaa chadema kutaka kuzichapa kwa vile jinsia yako huijui bado
 
Hivi wewe mjinga wa taifa,unahangaika Nini na mambo ya watu yasiyokuhusu! ? Kubwa jinga wewe!
 
Bora wanaopigana ngumi kuliko mboga mboga wanaolishana sumu.
 
Tangu uanze kujikomba bado hujateuliwa kuwa DC?
 
Ukiwa chawa unaishiwa akili za kibinadamu
 
Jinga kati ya Jingalao ndani ya uvccm
 
Erythrocyte
 
Hata nchi ikiingia vita huwa ni mbele ya viongozi wake. Kama wema unaweza kutendeka mbele ya viongozi, hata ubaya unaweza kutendeka mbele ya viongozi, kwa sababu ubaya ni kivuli cha wema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…