Ni aibu Kwa timu kama Simba kutamba na mashindano ya shirikisho

Ni aibu Kwa timu kama Simba kutamba na mashindano ya shirikisho

Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo

Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo

Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo

Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo

Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo

Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho

Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Pia uwaulize KATIKA misimu 4 ambayo wameingia robo robo wameleta nini,,wenzao yanga wanacho kitu mezani ambacho ni medali ya mshindi wa pili na kucheza fainali,,wao mwakarobo waulize Wana nini mkononi
 
Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo

Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo

Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo

Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo

Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo

Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho

Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Vipi kichaka cha CAF ranking umekifyeka? kama Nyoka wengi tuambie pia
 
Pia uwaulize KATIKA misimu 4 ambayo wameingia robo robo wameleta nini,,wenzao yanga wanacho kitu mezani ambacho ni medali ya mshindi wa pili na kucheza fainali,,wao mwakarobo waulize Wana nini mkononi
Kwenye rankings za CAF wapo juu ya Yanga Kwenye ratiba wanakuwa kwenye seeding 1.
Ndio sababu haswa ya Tanzania kuingiza timu 4.Na aliyefaidika wa kwanza Ni Yanga ila hamkutumia nafasi mlizopata vizuri. Mkatolewa mapema na Rivers United ya Nigeria.
 
Kuna gombaniwa kombe ata kufika nusu tu ya icho kikombe umeshagusa achilia mbali kuvaa medali
Simba ndiyo timu ya kwanza na ya pekee kutoka Tanzania kuingia nusu fainali ya Klabu Bingwa ya Afrika mwaka 1974.
Walicheza na Mehalla El Kubra ya Misri.Mechi ya kwanza Dar Simba alishinda goli 1 lililofungwa na Saad Ally.
Mechi ya marudiano Simba alifungwa goli 1 na baadaye kutolewa kwa penalti.
Ulikuwa hujazaliwa au ulikuwa kijijini hujaanza kupenda mpira?
 
Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo

Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo

Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo

Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo

Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo

Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho

Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Waache wajijaze upepo wakija homu sisi akina kengold,coastal,pamba muji tuwanyoroshe ili wajue huko walikutana na vibonde zaidi ya vibonde wa championship
 
Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo

Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo

Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo

Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo

Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo

Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho

Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Thank you for your illogic point 🚶🏽‍♂️
 
Kunatimu kama Orando pirates, Wydad Casablanca, Kaiser chief, Alhilal, Young African Hizi timu bora zisishiriki mashindano ya CAF kuliko kucheza shirikisho
 
Simba ndiyo timu ya kwanza na ya pekee kutoka Tanzania kuingia nusu fainali ya Klabu Bingwa ya Afrika mwaka 1974.
Walicheza na Mehalla El Kubra ya Misri.Mechi ya kwanza Dar Simba alishinda goli 1 lililofungwa na Saad Ally.
Mechi ya marudiano Simba alifungwa goli 1 na baadaye kutolewa kwa penalti.
Ulikuwa hujazaliwa au ulikuwa kijijini hujaanza kupenda mpira?
Unatuletea historia hapa ya miaka 50 iliyopita unajielewa kweli wewe,,tuonyeshe basi iyo medali ya mwaka 1974,,
 
Back
Top Bottom