Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mpo yapi kwa sasa mkuu?Tofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya akina mama
Jamaa yupo in denial anaota wapo kwenye mashindano. Hajui ameshaguswa.Nyie mpo yapi kwa sasa mkuu?
Pia uwaulize KATIKA misimu 4 ambayo wameingia robo robo wameleta nini,,wenzao yanga wanacho kitu mezani ambacho ni medali ya mshindi wa pili na kucheza fainali,,wao mwakarobo waulize Wana nini mkononiMashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo
Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo
Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo
Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo
Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo
Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho
Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Vipi kichaka cha CAF ranking umekifyeka? kama Nyoka wengi tuambie piaMashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo
Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo
Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo
Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo
Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo
Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho
Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Kitu gani? kule kuna gombaniwa kombe unalo?Pia uwaulize KATIKA misimu 4 ambayo wameingia robo robo wameleta nini,,wenzao yanga wanacho kitu mezani ambacho ni medali ya mshindi wa pili na kucheza fainali,,wao mwakarobo waulize Wana nini mkononi
Kuna gombaniwa kombe ata kufika nusu tu ya icho kikombe umeshagusa achilia mbali kuvaa medaliKitu gani? kule kuna gombaniwa kombe unalo?
Kwenye rankings za CAF wapo juu ya Yanga Kwenye ratiba wanakuwa kwenye seeding 1.Pia uwaulize KATIKA misimu 4 ambayo wameingia robo robo wameleta nini,,wenzao yanga wanacho kitu mezani ambacho ni medali ya mshindi wa pili na kucheza fainali,,wao mwakarobo waulize Wana nini mkononi
Lete kombe acha kelele, una dharau kombe ambalo hunaKuna gombaniwa kombe ata kufika nusu tu ya icho kikombe umeshagusa achilia mbali kuvaa medali
Mkuu umeua kabisa hapa 🐸🐸watabisha ila ndio ukweli wenyewe kutoka CAFUPOTOSHAJI ALERT:
View attachment 3207624
Simba ikifika nusu fainali ya CAFCC inazipita pesa ambazo uto imezipata kwenye CAFCL. Ikifika fainali ndiyo kabisaaa.
Simba ndiyo timu ya kwanza na ya pekee kutoka Tanzania kuingia nusu fainali ya Klabu Bingwa ya Afrika mwaka 1974.Kuna gombaniwa kombe ata kufika nusu tu ya icho kikombe umeshagusa achilia mbali kuvaa medali
Waache wajijaze upepo wakija homu sisi akina kengold,coastal,pamba muji tuwanyoroshe ili wajue huko walikutana na vibonde zaidi ya vibonde wa championshipMashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo
Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo
Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo
Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo
Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo
Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho
Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
HahahaaaHasira za nini Kijana???
Rudi Ligi Kuu tu, kule sio level zako.
#TumefurahiHamjafuzu
Thank you for your illogic point 🚶🏽♂️Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo
Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo
Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo
Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo
Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo
Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho
Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Gusa achia wakati wa kufyeka kichaka bila umakini mara paap wakagongwa na nyoka.Kitu gani? kule kuna gombaniwa kombe unalo?
Mpira sio maneno, haya kiko wapi kichaka kimejaa mibaGusa achia wakati wa kufyeka kichaka bila umakini mara paap wakagongwa na nyoka.
Wewe ulileta nini kwenye iyo misimu 4? Si Bora mwenye medali wewe una nini mezani!Lete kombe acha kelele, una dharau kombe ambalo huna
Unatuletea historia hapa ya miaka 50 iliyopita unajielewa kweli wewe,,tuonyeshe basi iyo medali ya mwaka 1974,,Simba ndiyo timu ya kwanza na ya pekee kutoka Tanzania kuingia nusu fainali ya Klabu Bingwa ya Afrika mwaka 1974.
Walicheza na Mehalla El Kubra ya Misri.Mechi ya kwanza Dar Simba alishinda goli 1 lililofungwa na Saad Ally.
Mechi ya marudiano Simba alifungwa goli 1 na baadaye kutolewa kwa penalti.
Ulikuwa hujazaliwa au ulikuwa kijijini hujaanza kupenda mpira?