Ni aibu Kwa timu kama Simba kutamba na mashindano ya shirikisho

Ni aibu Kwa timu kama Simba kutamba na mashindano ya shirikisho

Ukiona hivi tu... Jua mtu Kishamlamba, sasa anaLaLama..!

KuLaLama Kwa sasa haisaidii, itathmini timu yako.. je inao uwezo wa Kushindana?
Umri Wa Wachezaji unaruhusu kushindana na Vijana.? Ni hayo tu.
Wewe ndio mjinga wa mwisho kama sio wa kwanza. Umeona hoja alizoziweka mtoa mada? Jibu hizo pambaf.

Yaani mmeshikiwa akili hamjielewi, mnajisifu eti Mwembeyanga ni pazuri kuliko kwa Mkapa! Akili matope kabisa makolo.
 
Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo

Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo

Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo

Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo

Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo

Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho

Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
NIMEHUZUNIKA SANA, KUMBE NAMUNGO NA BIASHARA WALIFIKA HATUA HII YA ROBO FAINALI! NA WAKO KIMYA! KWELI MAKOLO NI MAKOLO TU.
 
Hasira za nini Kijana???
Rudi Ligi Kuu tu, kule sio level zako.
#TumefurahiHamjafuzu
Aliyoandika yana ukweli? Kama ni kweli hiyo issue ya NAMUNGO na BIASHARA imenihuzunisha sana. Yaani mkafikia hadi ku-brand gari?
 
Kiukweli hata mjifariji vipi Yanga ndio mmetia aibu zaidi,hakuna cha kujitetea,kubalini kushindwa jipangeni upya hakuna pa kujifichia,hamuiwezi Simba kimataifa
 
Kwa sababu tulikuwa tunacheza na mabingwa. Nyie mmecheza na walioshindwa kwenye ligi zao huko.

YANGA angecheza na walioshindwa angeongoza kundi na POINTI 15.
Simba hii hii ingekuwa ktk kundi lenu la vobonde ingetoboa.

Hujiulizi kwa nini mwanzoni mlivyotajiwa mmepangwa kundi hilo tu mlishangilia sana mkijua mpira ni rahisi sana?

Mlivyokuwa mnawaita Simba mwakarobo mlijua klabu bingwa ni nyepesi sana,sasa hivi kwa hatua,mliyoishia na kulitia aibu Taifa mnaitwa CHIKUNDI FC
 
Kiukweli hata mjifariji vipi Yanga ndio mmetia aibu zaidi,hakuna cha kujitetea,kubalini kushindwa jipangeni upya hakuna pa kujifichia,hamuiwezi Simba kimataifa
Kwanini mnalazimisha kuwa sawa na Yanga
Sisi tulishiriki club bingwa nyie mko UMISETA
Tofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya akina mama
 
Kwanini mnalazimisha kuwa sawa na Yanga
Sisi tulishiriki club bingwa nyie mko UMISETA
Tofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya akina mama
Huko mlipokua nyie sisi tumefuzu hatua ya robo mara nne mfululizo hadi mkatuita mwakarobo

Nyie mabingwa watetezi kutolewa hatua ya makundi ni aibu sana kwa Taifa kwani mmeidhalilisha sana ligi yetu.

Ndio madhara ya kununua mechi huku kusipo na bei mnadhalilika tu bora tungekuwa mabingwa sisi tusingeaibisha nchi tena hadi kugalagazwakwetu,hivyo tumia akili unapocomment
 
Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo

Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo

Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo

Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo

Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo

Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho

Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Screenshot_2025-01-20-10-25-17-235_com.android.chrome~2.jpg
 
Huko mlipokua nyie sisi tumefuzu hatua ya robo mara nne mfululizo hadi mkatuita mwakarobo

Nyie mabingwa watetezi kutolewa hatua ya makundi ni aibu sana kwa Taifa kwani mmeidhalilisha sana ligi yetu.

Ndio madhara ya kununua mechi huku kusipo na bei mnadhalilika tu bora tungekuwa mabingwa sisi tusingeaibisha nchi tena hadi kugalagazwakwetu,hivyo tumia akili unapocomment
Kama mngekuwa Bora mngecheza CAFCL sio UMITASHUMITA yenu
Kama tunahonga kwenye ligi 5IMBA aliyefungwa mara nne mfululizo alihongwa bei gani
Shirikisho ni mashindano ya Namungo na Mlandege
 
Kama mngekuwa Bora mngecheza CAFCL sio UMITASHUMITA yenu
Kama tunahonga kwenye ligi 5IMBA aliyefungwa mara nne mfululizo alihongwa bei gani
Shirikisho ni mashindano ya Namungo na Mlandege
5 inajulikana mlichokifanya kwa Manula na Inonga hadi akauzwa na Manula siku hz hapangwi,ndio maana hata hazituumi,tulihujumiwa
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mpira una matokeo ya kustaajabisha, Yanga timu kubwa imetoka hatua za makundi ndo maana na wewe huamini
Tatizo sio kuvuka tu ni muendelezo Mwaka 2023 Gongowazi aliingia fainali ya Shirikisho, 2024 Robo fainali ya Champions League. Mwaka 2025 mmeishia makundi.Mwaka ujao raundi ya awali.
Ndio mnazidi kuharibikiwa mwaka hadi mwaka.Hakuna muendelezo.
Inaonyesha kwamba mnaingia bila malengo. Mkipata inakuwa fluke kwa sababu hamuwezi kurudia mlipoishia.
 
Kwanini mnalazimisha kuwa sawa na Yanga
Sisi tulishiriki club bingwa nyie mko UMISETA
Tofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya akina mama
Jamaa una roho ndogo na una tabia za kike kike Sanaa, kipindi kile kwenye ligi umefungwa mara mbili ukasema unapumzika na masuala ya mpira.

Haya leo hii tena umeishia makundi unakuja Kuleta tena nongwa. Hata kama ni ushabiki wewe haujui mpira upo hoya hoya tu, halafu siku zote usikubali matarajio yakudhurumu.

Ifikie kipindi lazima ukubali kwamba malengo mliojipangia mmeshindwa kuyafikia.
Halafu kumsema mwenzako kavaa kandambili wakati wewe hata kiatu huna huo ni akili au ujinga?

Uwe unakuja na hoja za msingi sio viroja.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
5 inajulikana mlichokifanya kwa Manula na Inonga hadi akauzwa na Manula siku hz hapangwi,ndio maana hata hazituumi,tulihujumiwa
Sasa Kwa hoja kama hizi
Kwanini tusimpe Rage heshima Kwa kuwaiteni mbumbumbu
 
Jamaa una roho ndogo na una tabia za kike kike Sanaa, kipindi kile kwenye ligi umefungwa mara mbili ukasema unapumzika na masuala ya mpira.

Haya leo hii tena umeishia makundi unakuja Kuleta tena nongwa. Hata kama ni ushabiki wewe haujui mpira upo hoya hoya tu, halafu siku zote usikubali matarajio yakudhurumu.

Ifikie kipindi lazima ukubali kwamba malengo mliojipangia mmeshindwa kuyafikia.
Halafu kumsema mwenzako kavaa kandambili wakati wewe hata kiatu huna huo ni akili au ujinga?

Uwe unakuja na hoja za msingi sio viroja.
Hoja yangu ni kuwa kwanza ukubali kuwa Yanga na Simba hazikuwa kwenye mashindano yenye hadhi sawa
 
Sasa Kwa hoja kama hizi
Kwanini tusimpe Rage heshima Kwa kuwaiteni mbumbumbu
Kwa hiyo huyo ndio role model wako?

Ndio maana Manara alisema Yanga wote ni mataahira wenye akili ni 2 tu
 
Back
Top Bottom