steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
sawa ila mbona sasa wewe ndio mbumbumbu zaidi?Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa ila mbona sasa wewe ndio mbumbumbu zaidi?Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Haya ongezea hizo bao 5 umefuzu sasa kucheza na copco shirikishoKama mngekuwa Bora mngecheza CAFCL sio UMITASHUMITA yenu
Kama tunahonga kwenye ligi 5IMBA aliyefungwa mara nne mfululizo alihongwa bei gani
Shirikisho ni mashindano ya Namungo na Mlandege
Haibadilishi maana kuwa mmetolewa makundi na mmelitia sana aibu Taifa mbali na kulidhalilishaHujui mbumbumbu wako huko 5imba wapo wanaufurahia robo ya shirikisho 🤣
Tena aibu kubwa ni kupoteza pointi 5 nyumbani. Pamoja na kelele zote kundi lenu limeongozwa na wakimbizi waliopo kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe.Haibadilishi maana kuwa mmetolewa makundi na mmelitia sana aibu Taifa mbali na kulidhalilisha
Imewauma sana ingawa mnalazimisha kujikaza
Pole sana,🤣🤣🤣🤣
Bwahaahhahhahahahah......Gusa achia wakati wa kufyeka kichaka bila umakini mara paap wakagongwa na nyoka.
Simba haijawahi kulidhalilisha Taifa nyumbani wakati ipo kwenye peak yake.Unailinganisha vip group stage ya CAFCL na Yale mashindano yenu ya akina mama
Halafu inaleta ubishi wa kijinga ikidhani matokeo yatabadilika kwa kujifariji kwao hukoTena aibu kubwa ni kupoteza pointi 5 nyumbani. Pamoja na kelele zote kundi lenu limeongozwa na wakimbizi waliopo kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Wacha nikupuuze mbumbumbu wa RageSimba haijawahi kulidhalilisha Taifa nyumbani wakati ipo kwenye peak yake.
Wakati sisi tuna timu mliyooiita mbovu kwenye klabu bingwa msimu uliopita tumetolewa robo
Nyie sasa hv wenye pakome,zingeli,chama,aucho,kwasi,mzize,aziz key upuuzi mtupu
Usikimbie mtani mwenye hoja mufilisi za kujifarijiiiii,Wacha nikupuuze mbumbumbu wa Rage
Huna hoja
Wacha nikasome nyuzi jukwaa la siasa,
Huyu ni mmojawapo wa wavimba macho wa Gongowazi wasiojua lolote kuhusu mpira.Usikimbie mtani mwenye hoja mufilisi za kujifarijiiiii,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa hiyo Takwimu ya michuano ya Klabu Bingwa,mnawazidi Simba kwa lipi?Mnafungua midomo wakati mmezidiwa kitakwimu,,wenzenu fainali nyie mwakarobo mnajilinganishaje?
Huko shirikisho mlizawadiwa shanga mpaka.sasa mnatamba nazoBora hao Copco wana heshima
Hawachezi shirikisho
Tumewaruhus zile goli 5 mlizotufunga mziongezee hapo kwa mkapa matokeo dhid ya usm alger yasome mwiko nyuma 5 vs usm algier & simba 1Sio kuwa aibu anayo 5imba wanacheza rede kwenye mashindano ya akina mama
Copco ni timu ya mpira haipo shirikisho yaani UMISETATumewaruhus zile goli 5 mlizotufunga mziongezee hapo kwa mkapa matokeo dhid ya usm alger yasome mwiko nyuma 5 vs usm algier & simba 1
Halafu nyie ndio mmefuzu robo fainali mnacheza na copco na kina mbuni ambao ni size yenu 🤣