Hatugombani
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 1,142
- 805
Kama Shirikisho ni kombe dogo,mbona utopolo hawakulichukua kombe.
Maneno ya mfa maji haishi kutapatapa.
Maneno ya mfa maji haishi kutapatapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mjinga usiyejua lolote kuhusu mpira.Medali unazolilia ndio kikombe?Kuna bingwa anapewa medali tu imekuwa riadha?Historia ni sehemu ya mpira.Uruguay ndio waliochukua kombe la kwanza la Dunia kwa ujinga wako utasema isiwepo kwenye kumbukumbu.Hoja ilikuwa nusu fainali ya,Klabu bingwa ya,Afrika,hiyo timu yako imefika lini nusu fainali ya Champions League?Unatuletea historia hapa ya miaka 50 iliyopita unajielewa kweli wewe,,tuonyeshe basi iyo medali ya mwaka 1974,,
Fikeni fainali tuone kama wenzenu otherwise fungeni midomo msijilinganishe na waliocheza fainaliKama Shirikisho ni kombe dogo,mbona utopolo hawakulichukua kombe.
Maneno ya mfa maji haishi kutapatapa.
Acha watambe tu, kuna shida gani? Ulitaka watolewe mapema?Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo
Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo
Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo
Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo
Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo
Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho
Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Kama imewauma si mchomoe tuMashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo
Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo
Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo
Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo
Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo
Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho
Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Wanafungaje mdomo wakati wameshinda?Fikeni fainali tuone kama wenzenu otherwise fungeni midomo msijilinganishe na waliocheza fainali
Mnafungua midomo wakati mmezidiwa kitakwimu,,wenzenu fainali nyie mwakarobo mnajilinganishaje?Wanafungaje mdomo wakati wameshinda?
Mliofungwa ndio mfunge mdomo.
Muache kelele maana mnajitia aibu tu.
Na hata siyo msimu ujao ni mpaka misimu miwili ijayo maana ranking aliyokuwa anaota kwanza siyo ya msimu huu.Unarukia hoja nyingine kwani kichaka cha rankings ulichoanzisha kimekufa rasmi.Ngojea msimu ujao.
Daaah! Husda inakutesa sana ndugu..... we inakuuma nini kwani? Time yako imetoka kwenye mashindano... piga kimya....Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo
Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo
Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo
Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo
Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo
Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho
Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Kwanza hiyo ubaya ubwela wala haina mvuto imekaa kizaramozaramo hv
Kwahiyo mlikuwa mnagombania kombe la group stageMashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo
Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo
Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo
Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo
Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo
Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho
Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Takwimu zipi?Umeingia fainali na kufungwa na kwenye ranking za CAF upo chini ya Simba na haupo hata kwenye 10 bora.Takwimu hizo ni zipi?Au hujui unaloandika?Umepatwa na Post Traumatic Stress Disorder.Tafuta tiba haraka.Naona waarabu wamekuathiri kiafya.Mwakakundi.Mnafungua midomo wakati mmezidiwa kitakwimu,,wenzenu fainali nyie mwakarobo mnajilinganishaje?
Tangu hapo timu yenyewe ipo uzaramoni.Kwanza hiyo ubaya ubwela wala haina mvuto imekaa kizaramozaramo hv
Medali sio kombe, huwezi kudharau kombe ambalo hunaWewe ulileta nini kwenye iyo misimu 4? Si Bora mwenye medali wewe una nini mezani!
Na sisi ni wazaramo wa kutupwaKwanza hiyo ubaya ubwela wala haina mvuto imekaa kizaramozaramo hv
Hebu mwambie achomoe huo mwiko kabla hajatoa mbojiKama imewauma si mchomoe tu
Simba: Wamechukua wakaweka waaa.Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo
Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo
Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo
Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo
Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo
Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho
Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo
Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo
Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo
Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo
Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo
Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho
Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Hao kawaida Yao kutambaAcha watambe tu, kuna shida gani? Ulitaka watolewe mapema?
Yanga muwe mnakubali matokeo ndiyo mtapata unafuu, hizi habari za kutafuta vichuguu vya kusimamia kuibekana bado upo inazidi kvuruga mbongo. Kwani tukiwaspongeza halafu tukawaacha waendelee na furaha yao tutapungukiwa nini?