Ni aibu Kwa timu kama Simba kutamba na mashindano ya shirikisho

Ni aibu Kwa timu kama Simba kutamba na mashindano ya shirikisho

Unatuletea historia hapa ya miaka 50 iliyopita unajielewa kweli wewe,,tuonyeshe basi iyo medali ya mwaka 1974,,
Wewe ni mjinga usiyejua lolote kuhusu mpira.Medali unazolilia ndio kikombe?Kuna bingwa anapewa medali tu imekuwa riadha?Historia ni sehemu ya mpira.Uruguay ndio waliochukua kombe la kwanza la Dunia kwa ujinga wako utasema isiwepo kwenye kumbukumbu.Hoja ilikuwa nusu fainali ya,Klabu bingwa ya,Afrika,hiyo timu yako imefika lini nusu fainali ya Champions League?
MC Alger ndio wameleta hizi kelele na jazba na visingizio.Unarukia hoja nyingine kwani kichaka cha rankings ulichoanzisha kimekufa rasmi.Ngojea msimu ujao.
 
Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo

Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo

Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo

Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo

Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo

Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho

Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Acha watambe tu, kuna shida gani? Ulitaka watolewe mapema?
Yanga muwe mnakubali matokeo ndiyo mtapata unafuu, hizi habari za kutafuta vichuguu vya kusimamia kuibekana bado upo inazidi kvuruga mbongo. Kwani tukiwaspongeza halafu tukawaacha waendelee na furaha yao tutapungukiwa nini?
 
Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo

Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo

Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo

Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo

Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo

Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho

Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Kama imewauma si mchomoe tu
 
Fikeni fainali tuone kama wenzenu otherwise fungeni midomo msijilinganishe na waliocheza fainali
Wanafungaje mdomo wakati wameshinda?
Mliofungwa ndio mfunge mdomo.
Muache kelele maana mnajitia aibu tu.
 
Unarukia hoja nyingine kwani kichaka cha rankings ulichoanzisha kimekufa rasmi.Ngojea msimu ujao.
Na hata siyo msimu ujao ni mpaka misimu miwili ijayo maana ranking aliyokuwa anaota kwanza siyo ya msimu huu.

CAF ranking ya msimu inaangalia miaka 5 nyuma ambayo haijumuishi takwimu za msimu wa mwaka huo. Kwa maana hiyo, ranking ya msimu huu inaangalia takwimu za hadi msimu uliopita.

Hizi takwimu za mechi za msimu huu zinaenda kutengeneza ranking ya msimu ujao ambapo kwanza Uto anaweza kwenda kushuka zaidi hata ya alipokuwa msimu huu maana Al Hilal, ASEC na Pyramids wote wanampumulia uto kisogoni na Orlando Pirates ni wa moto msimu huu wanaweza kufika mbali sana.

Kwa hiyo matumaini pekee ambayo wanatakiwa wawe nayo ni misimu miwili mbele na ikifika wakati huo kina Aucho, Chama, Mkude, Pacome, Dube, Mwamnyeto, Diarra watakuwa wanacheza mpira na mikongojo.
 
Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo

Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo

Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo

Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo

Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo

Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho

Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Daaah! Husda inakutesa sana ndugu..... we inakuuma nini kwani? Time yako imetoka kwenye mashindano... piga kimya....
 
Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo

Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo

Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo

Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo

Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo

Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho

Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Kwahiyo mlikuwa mnagombania kombe la group stage
 
Mnafungua midomo wakati mmezidiwa kitakwimu,,wenzenu fainali nyie mwakarobo mnajilinganishaje?
Takwimu zipi?Umeingia fainali na kufungwa na kwenye ranking za CAF upo chini ya Simba na haupo hata kwenye 10 bora.Takwimu hizo ni zipi?Au hujui unaloandika?Umepatwa na Post Traumatic Stress Disorder.Tafuta tiba haraka.Naona waarabu wamekuathiri kiafya.Mwakakundi.
 
Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo

Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo

Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo

Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo

Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo

Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho

Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba
Simba: Wamechukua wakaweka waaa.
Screenshot_20250120-203547_Facebook.jpg

Utoo: Wamechukua wameka twaaas
images - 2025-01-05T085141.568.jpeg
 
Mashindano madogo ya Shirikisho ambayo CAF ilitaka kuyafuta Kwa kutoona tija Yake, Leo mtani ndo anatamba nayo

Mashindano ambayo mwaka huu alishiriki Coast union, Leo mtani ndo anatamba nayo

Hii hatua ya robo Namungo na Biashara united zilifika, Leo mtani ndo anatamba nayo

Haya mashindano ambayo Yanga, mwamba wa mpira alifika final na sio robo na aliona kawaida tu, Leo ndo mtani anatamba nayo

Mashindano ya shirikisho ambayo Kaduguda Kiongozi pale Simba alipata kuyaita mashindano yenu ya akina mama, Leo ndo mtani anatamba nayo

Yanga tumeishia hatua ya group stage ambapo tumevuna billion 1 .7 wakati, mtani akifika final atapata million 900 tu
Hapa ndo muone tofauti ya CAFCL na shirikisho

Mashabiki wa Simba
Rage aliwaita mbumbumbu
Kaduguda akawaita malofa
Try again akawaita wasiojitambua
Mangungu akawaletea Manzoki kupiga nae picha, ila hakuwahi kucheza Simba

View: https://www.facebook.com/groups/1517781355034527/permalink/3858385890974050/
 
Acha watambe tu, kuna shida gani? Ulitaka watolewe mapema?
Yanga muwe mnakubali matokeo ndiyo mtapata unafuu, hizi habari za kutafuta vichuguu vya kusimamia kuibekana bado upo inazidi kvuruga mbongo. Kwani tukiwaspongeza halafu tukawaacha waendelee na furaha yao tutapungukiwa nini?
Hao kawaida Yao kutamba
Walitamba pia walipobeba Mapinduzi cup
 
Back
Top Bottom