madala mujipa
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,417
- 862
- Thread starter
- #181
Unajiuliza mara mbiliSasa kama unapewa vituz hujawahi kupata kwingine utawezaje kutoka sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajiuliza mara mbiliSasa kama unapewa vituz hujawahi kupata kwingine utawezaje kutoka sasa
Pole imemfikia bila pingamiziPole mzee kwa kuingizwa kidole kwenye mzingo wa makalio.
Naingia mashaka na hii ya kukawia utafiti huu ilifanyika wapiAnamsaidia achelewe. Inaonekana jamaa anawahi sana. Si amulize tu kwa mahaba?
Alikuwa hajapewa ndio kaanza kuigusaIna maana jibaba kauziwa mbuzi kwenye gunia tangu Marekani, kafika bongo mpaka anatangaza uchumba alikuwa hajashtuka?
Wakufa na kuzikana zaidi ya uduguDah huu urafiki gani?
Bonge la wambwela.Alikuwa hajapewa ndio kaanza kuigusa
Mkuu sasa atupiwe wapi wakati huko ndiko kwenye zote za kibinaadamuBonge la wambwela.
Huyo Marekani hatumtaki huku atatuharibia jina tu.
Mkuu sasa atupiwe wapi wakati huko ndiko kwenye zote za kibinaadamu
Walikutana hapa jamaa akawa hakupata muda wa mgegedo aliporudi akaamua akamilishe kila kitu awe nusu mmilikiHivi dunia ya leo kweli mtu anaweza kununua mbuzi kwenye gunia bado?
Au huyu bwana alishafanyiwa hivyo akapenda, ila akifikiria ndoa ndiyo inamtisha?
Yote kwa yote inawezekanaSimple tu,amwambie kuwa hataki suala hilo asipoelewa aeleweshwe kwa lazima...
Maana usikute mshkaji wa awali wa demu ili kupata stimu ilikuwa lazima afanyiwe kitu hicho then demu akajua ina apply kote.. So akae nae amwambie
Kila mtu kivyake, lakini huyu katushirikisha kwa hiyo kalifanya liwe letu.Walikutana hapa jamaa akawa hakupata muda wa mgegedo aliporudi akaamua akamilishe kila kitu awe nusu mmiliki
Yeah vizuri sana ndio maana kaomba ushauri kabla ingekuwa kwa upande wangu aaah yaani mpaka mkono unapita rift valley bado unasikilizia ningekua ni shamwaga lakini huyu ndugu bado mvulana ndio kwanza darasaKila mtu kivyake, lakini huyu katushirikisha kwa hiyo kalifanya liwe letu.
Ni ujuha kuchumbia mwanamke ambaye hujamjua vizuri kimwili. Kwa sababu nyingi sana.
Unajiingiza katika mkataba mrefu sana ambao hujajipa kujiridhisha kama mtawezana.
Anatutia aibu kweli huyu bwabwaAisee ameshindwa kuongea na huyo mwanamke wake.? Hivi wanaume mpojeee
Kwa hali aliyopo anahitaji maombi na ushauri si kubezwaHuyo rafki yako ni mwanaume kamili?
Inamaana yeye ameshindwa kumwambia ukweli mchumba wake kwamba hyo tabia ya kumuingiza kidole haitaki kabisa?!!!
Aisee!! Huyo rafki yako ajali kweli.
Hakujua kama ni jike la nyaniAnatutia aibu kweli huyu bwabwa
Duuh maoni yako yameheshiwaMtatue marindaa