Ni aibu sana mwanaume mwenye umri 35 na kuendelea kukosa uwekezaji wa kuanzia millioni 30

wewe umejitetea mada hiyi na ikuepuke nazungumzia wale wala
 
Umeandika kimasihara sana lakini Mjumbe muhimu sana umefikisha..
 
Umeandika nilichokiwaza,
Inasikitisha vile maneno ya kwenye social network yanaweza kuathiri watu wengine.
Na huo ndio uhalisia wa maisha ya Sasa..... mitandao ya kijamii imeleta mapinduzi makubwa kwenye ulimwengu wa taarifa kiganjani.....lakini upande wa pili umesababisha na kuleta misongo ya mawazo na masononeko makubwa sana kwenye jamii zetu hasa kwa vijana kuanzia miaka 25 mpaka 45........

Ndio maana nawahusia vijana bongo zao ziwe na chujio wanapotumia mitandao ya kijamii kwani kwa kiasi kikubwa mambo yanarushwa hayana uhalisia........
 
na tuvumiliane Mkuu ila uwekezaji ni muhimu
 
Hili jambo linaweza kuonekana jepesi lakini ni zito machoni au masikioni mwa mtu anayeelekea kukata tamaa....
Mkuu mbona wengine tumeshakata tamaa ila tunaendelea kudunda tuu...kuna stage unafika unajua huwezi kufanikiwa kimaisha ila inabidi uendelee kutafuta chochote cha kupeleka siku mbele mpaka utakapokata moto🐒
 
Life begins at 40 ni njia ya mtu aliyechezea muda wake kujifariji. Maisha yanaanza immediately ukishapata akili timamu, kama hiyo akili timamu unaipata at 40 kuna shida sehemu "The earlier the better"
Tafuta na elewa why Kuna msemo huo kuwa life begins at 40. Ilikuwa ni kuwafariji watu ama middle age sijui Nini crisis yaani ivyo ivyo walikuwa na msingi sijui ndio ikabuniwa iyo kauli.kikubwa ukipata hela wekeza iliyobakia kula Bata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…