Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Mkuu Hapa umetema madini mazuri Sana hakika.Wanaume wote walioishi maisha yao kuwafurahisha na kuwaridhisha wanawake wote wameangamia na wengine wapo kwenye majuto makuu.......
Mwanaume jifunze sana kuuzuia moyo wako kwenye Yale mambo yaliyo nje ya uwezo wako.......
Kwenye maisha usiishi kushindana au kubishana na mwanamke abakie kwenye maisha yako.....mpe machaguo ili abakie kwa khiyari yake na aondoke kwa khiyari yake.......
Apa ndio kale kamsemo ka kwamba kila mbuzi hula kulingana na urefu wa kamba yake 🤣Kwema Wakuu!
Weka akilini, mwanaume hujaumbwa kuchekacheka, ku-relax. Wanasema wanaume tumeumbwa Mateso na kuhangaika(mwimbaji Fulani aliimba).
Wanawake hawatakuchekea wala kukuonea huruma ukikosa hayo mambo mawili au kimojawapo. Watakudharau, watakudhihaki, watakutumikisha na kukufanya msukule wao, watahakikisha unateseka haswa.
Jambo moja ambalo wanawake wengi wanalo ni kuwa; hawana busara na hekima imewapita mbali ndio maana wanakosa huruma na watakuchana makavu pasipo kupepesa macho.
Utasikia, nikupeleke wapi na umaskini wako? Unanuka umaskini pyuu! Huna muonekano, wala hauvutii, unataka nichekwe. Unataka nizae Watoto wanilaumu. Bora hata ingekuwa unapesa kidogo kingekufikiria. Unaniletea mikosi yako tuu.
Ukishajijua huna mvuto, jitahidi utafute Pesa. Sio uwe nazo nyingi hapana, angalau zinazokutosha wewe na watu wengine kama watano hivi.
Kama vile wanaume tulivyo, ndivyo Wanawake walivyo. Nao wanapenda wanaume Wazuri, wanasisimkwa wakiona mwanaume mzuri. Wanababaika na unaweza kuwababaisha ikiwa tuu unamvuto au Una Mawe, lumbelele, shekeli au Pesa.
Kwa mwanamke utachagua option mbili ili uishi naye kwenye ndoa. Akupende sana au akuogope sana.
Mwanamke ili akupende lazima uwe dream husband wake, na moja ya vigezo vya dream husband Kwa wengi ni uzuri na mvuto. Achana na ule unafiki wao kwamba hawavutiwi na uzuri, huo ni Uongo tuu.
Ni sawa na wale wanaume wanaosema hawataki wanawake wazuri, wanatania na inaitwa sizitaki mbichi hizi.
MMwanamke anataka wenzake wamsifie pindi akiwa na wewe. Wamuoñee wivu, watake kumpindua, kisa yupo na mwanaume ambaye ni ndoto ya wanawake wengi.
Hapo ni aidha uwe na pesa (uzuri wa pesa) wanaita uzuri bandia, au uwe na uzuri wa asili ambao utazaliwa nao.
Karibuni kwa maoni.
Ila ukikutana na mashine ya maana utatoa tu na hutojuta!Mkuu katika Lecture zako uliwahi kutuambia tusiwape hela Hawa viumbe na tutafute hela kwa ajili yetu isipokuwa mke halali
Mimi huwa naandikaga katika diary baadhi ya Lecture zako so naendelea kuzingatia maokoto yangu hayamuhusu Mwanamke labda nikioa tu
Another side of mapenzi..Kama sio Mkeo Kwa nini umpe?
Dhambi uchume,
Magonjwa unusurike
Mimba usizotarajia zikukosekose.
Then utoe Pesa.
Labda uwe Mzee au Akili haina ufanisi
Hata uwe mwanajeshi watasema tu "huyu kwa nini isitokee vita aende akafe huko,suraa mbayaaa[emoji1][emoji1][emoji1]"Tena ukiwa Mwanaume Maskini usiye na mvuto Hii Dunia inakuwa ngumu zaidi.
Labda uwe Mwanajeshi itasaidia
Utajuaje kama huna mvuto?Tena ukiwa Mwanaume Maskini usiye na mvuto Hii Dunia inakuwa ngumu zaidi.
Labda uwe Mwanajeshi itasaidia
Asante bossKama sio Mkeo Kwa nini umpe?
Dhambi uchume,
Magonjwa unusurike
Mimba usizotarajia zikukosekose.
Then utoe Pesa.
Labda uwe Mzee au Akili haina ufanisi
Utajuaje kama huna mvuto?
Nature ya mwanamume aliekamilika hairuhusu kua single bossHata hivyo havinaga muda 😀 Hata uwe na mvuto na pesa kunasiku utapigiwa na mwenye nguvu zaid yako STAY SINGLE FOR YOUR WELL HEALTH BEING
In short
KATAA MAHUSIANO
Naam Mkuugenius Mtibeli
hili nakuunga mkono kabisaaa...mfano mzuri ni kuku, tausi, simba na njiwa.....na hata kwenye maandiko wateule wa MUNGU wengi wamesifiwa kwa mvuto wa sura na muonekano, mfano, Suleiman, daudi,mfalme sauli na yusuphu...kasoro tu mzee wa kazi,ngumi jiwe,kiboko ya wababe, Samson 😂😂🤣...Kuna uzuri WA Mwanamke na uzuri WA mwanaume.
Kuhusu uhalali wa uzuri hiyo Sheria ya kusema Mwanamke ndio anatakiwa kuwa mzuri umeitolea wapi?
Ukiangalia nature, viumbe madume ndio Wazuri na wanamvuto kuliko majike.
hili nakuunga mkono kabisaaa...mfano mzuri ni kuku, tausi, simba na njiwa.....na hata kwenye maandiko wateule wa MUNGU wengi wamesifiwa kwa mvuto wa sura na muonekano, mfano, Suleiman, daudi,mfalme sauli na yusuphu...kasoro tu mzee wa kazi,ngumi jiwe,kiboko ya wababe, Samson 😂😂🤣...
I'm single boss ila nakuwa napata mikataba kwenye mahusiano ya watu and life goes onNature ya mwanamume aliekamilika hairuhusu kua single boss
Samahani kwa usumbufu mkuu, hivyo vyote sio muhimu sana kama bado HAUNA NGUVU ZA KIUME THABITI.Kwema Wakuu!
Weka akilini, mwanaume hujaumbwa kuchekacheka, ku-relax. Wanasema wanaume tumeumbwa Mateso na kuhangaika(mwimbaji Fulani aliimba).
Wanawake hawatakuchekea wala kukuonea huruma ukikosa hayo mambo mawili au kimojawapo. Watakudharau, watakudhihaki, watakutumikisha na kukufanya msukule wao, watahakikisha unateseka haswa.
Jambo moja ambalo wanawake wengi wanalo ni kuwa; hawana busara na hekima imewapita mbali ndio maana wanakosa huruma na watakuchana makavu pasipo kupepesa macho.
Utasikia, nikupeleke wapi na umaskini wako? Unanuka umaskini pyuu! Huna muonekano, wala hauvutii, unataka nichekwe. Unataka nizae Watoto wanilaumu. Bora hata ingekuwa unapesa kidogo kingekufikiria. Unaniletea mikosi yako tuu.
Ukishajijua huna mvuto, jitahidi utafute Pesa. Sio uwe nazo nyingi hapana, angalau zinazokutosha wewe na watu wengine kama watano hivi.
Kama vile wanaume tulivyo, ndivyo Wanawake walivyo. Nao wanapenda wanaume Wazuri, wanasisimkwa wakiona mwanaume mzuri. Wanababaika na unaweza kuwababaisha ikiwa tuu unamvuto au Una Mawe, lumbelele, shekeli au Pesa.
Kwa mwanamke utachagua option mbili ili uishi naye kwenye ndoa. Akupende sana au akuogope sana.
Mwanamke ili akupende lazima uwe dream husband wake, na moja ya vigezo vya dream husband Kwa wengi ni uzuri na mvuto. Achana na ule unafiki wao kwamba hawavutiwi na uzuri, huo ni Uongo tuu.
Ni sawa na wale wanaume wanaosema hawataki wanawake wazuri, wanatania na inaitwa sizitaki mbichi hizi.
Mwanamke anataka wenzake wamsifie pindi akiwa na wewe. Wamuoñee wivu, watake kumpindua, kisa yupo na mwanaume ambaye ni ndoto ya wanawake wengi.
Hapo ni aidha uwe na pesa (uzuri wa pesa) wanaita uzuri bandia, au uwe na uzuri wa asili ambao utazaliwa nao.
Karibuni kwa maoni.
Hapa bhana pesa ndio kila kitu...Kwema Wakuu!
Weka akilini, mwanaume hujaumbwa kuchekacheka, ku-relax. Wanasema wanaume tumeumbwa Mateso na kuhangaika(mwimbaji Fulani aliimba).
Wanawake hawatakuchekea wala kukuonea huruma ukikosa hayo mambo mawili au kimojawapo. Watakudharau, watakudhihaki, watakutumikisha na kukufanya msukule wao, watahakikisha unateseka haswa.
Jambo moja ambalo wanawake wengi wanalo ni kuwa; hawana busara na hekima imewapita mbali ndio maana wanakosa huruma na watakuchana makavu pasipo kupepesa macho.
Utasikia, nikupeleke wapi na umaskini wako? Unanuka umaskini pyuu! Huna muonekano, wala hauvutii, unataka nichekwe. Unataka nizae Watoto wanilaumu. Bora hata ingekuwa unapesa kidogo kingekufikiria. Unaniletea mikosi yako tuu.
Ukishajijua huna mvuto, jitahidi utafute Pesa. Sio uwe nazo nyingi hapana, angalau zinazokutosha wewe na watu wengine kama watano hivi.
Kama vile wanaume tulivyo, ndivyo Wanawake walivyo. Nao wanapenda wanaume Wazuri, wanasisimkwa wakiona mwanaume mzuri. Wanababaika na unaweza kuwababaisha ikiwa tuu unamvuto au Una Mawe, lumbelele, shekeli au Pesa.
Kwa mwanamke utachagua option mbili ili uishi naye kwenye ndoa. Akupende sana au akuogope sana.
Mwanamke ili akupende lazima uwe dream husband wake, na moja ya vigezo vya dream husband Kwa wengi ni uzuri na mvuto. Achana na ule unafiki wao kwamba hawavutiwi na uzuri, huo ni Uongo tuu.
Ni sawa na wale wanaume wanaosema hawataki wanawake wazuri, wanatania na inaitwa sizitaki mbichi hizi.
Mwanamke anataka wenzake wamsifie pindi akiwa na wewe. Wamuoñee wivu, watake kumpindua, kisa yupo na mwanaume ambaye ni ndoto ya wanawake wengi.
Hapo ni aidha uwe na pesa (uzuri wa pesa) wanaita uzuri bandia, au uwe na uzuri wa asili ambao utazaliwa nao.
Karibuni kwa maoni.
Hapa bhana pesa ndio kila kitu...
Pesa ndio mpango mzima.
Ukizikosa hata ndugu wanakuchukulia poa bado marafiki esp wanafiki.
YesUkiwa na Pesa ndio kuna marafiki wanafiki