Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #161
Usikilizwe,una point
🙏🏾🙏🏾
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikilizwe,una point
Hiii imeeenda...Mkuu katika Lecture zako uliwahi kutuambia tusiwape hela Hawa viumbe na tutafute hela kwa ajili yetu isipokuwa mke halali
Mimi huwa naandikaga katika diary baadhi ya Lecture zako so naendelea kuzingatia maokoto yangu hayamuhusu Mwanamke labda nikioa tu
😆😆😆😆😆Utapata kihoro chief wape tuHiii imeeenda...
Hahaa..[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Utapata kihoro chief wape tu
Uwabata😂😂😂mwanzilishi apewe maua
Hii imeenda...Wanaume wote walioishi maisha yao kuwafurahisha na kuwaridhisha wanawake wote wameangamia na wengine wapo kwenye majuto makuu.......
Mwanaume jifunze sana kuuzuia moyo wako kwenye Yale mambo yaliyo nje ya uwezo wako.......
Kwenye maisha usiishi kushindana au kubishana na mwanamke abakie kwenye maisha yako.....mpe machaguo ili abakie kwa khiyari yake na aondoke kwa khiyari yake.......
Usijidanganye mkuu kuwa una uwezo wa kuhudumia Ke. Ndio mnakuja kufyatua risasi vijana waliowazidi kete.. Simps wana njia nyingi za kujustify upumbavu wao..kweli kabisa ukichunguza asilimia kubwa ya wanaonunua ngono kwa Ma sex workers ni watu ambao vipato vyao ni duni hawawezi ku afford kumhudumia mwanamke parmanent