Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #121
Asee nina dharau kwa hao ngedere dadeki no one like me, so egoist towards ladies that are meant for pussies consumption.
Ukiwapuuza utakuwa na Amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee nina dharau kwa hao ngedere dadeki no one like me, so egoist towards ladies that are meant for pussies consumption.
Ukilala nae kitandani unakua kama umelala na dume mwenzio dadeq maisha haya,, u get what u can afford, not what you want!!Kama sina pesa na sina mvuto nitatafuta wa kufanana nae mbona wapo wengi tuu wanawake wasio na mvuto
Kama sina pesa na sina mvuto nitatafuta wa kufanana nae mbona wapo wengi tuu wanawake wasio na mvuto
Safi kabisa principal.... nzuri sana hiyo hukuna kumpa mwanamke pesa.Binafsi siwezi kumpa Mwanamke kitu kinachoitwa PESA hii ni kanuni yangu ambayo nilianza kuishi kabla sijabalehe mpaka leo 26yrs
Sisi wengine starehe zetu nikuzipata hizo pesa na sio wanawake so personal namshukuru Mungu kwa Hilo.
1993 😳😳 shkamoo unclemi tangu demu niliye mtongozaga mwaka 1993 badala ya kunijibu kwa barua,alisubili nimeenda kwa rafiki yangu kumbe rafiki yangu ndo alikuwa ana mla.kilichofatia nilimuona anamushika shika jamaa kifuani na jamaa alikuwa mtoto wa mkuu wa wilaya akanigeukia akaniambia flani sikupenda iwe hivyo ila ninaye nimpendaye kwa dhati kwakweli nilijiona aibu mbele za watu wale nilijiona sina thamani tena,kuanzia hapo hisia kwa wanawake zikapotea msije mkaa sema ni shogaa mirijali kabisa ila nawachukia wanawake nikawaona hawana akiri nikawadharau wanawake wote duniani mpaka sasa nawaona wanawake ni wapumbafu tu .chakushangaza yule mtoto wa mkuu wa wilaya hakulioa likaolewa na msukuma mshamba uzuri alokuwa nao ushayeyuka ,asaiv amebaki kujipendekeza tu kwangu mi namchora tu.
Muongo mbona kuna marasta kibao wala ngada ,,macontawar na wana madem kibao tena ya kizungu wanakula nao maishaKwema Wakuu!
Weka akilini, mwanaume hujaumbwa kuchekacheka, ku-relax. Wanasema wanaume tumeumbwa Mateso na kuhangaika(mwimbaji Fulani aliimba).
Wanawake hawatakuchekea wala kukuonea huruma ukikosa hayo mambo mawili au kimojawapo. Watakudharau, watakudhihaki, watakutumikisha na kukufanya msukule wao, watahakikisha unateseka haswa.
Jambo moja ambalo wanawake wengi wanalo ni kuwa; hawana busara na hekima imewapita mbali ndio maana wanakosa huruma na watakuchana makavu pasipo kupepesa macho.
Utasikia, nikupeleke wapi na umaskini wako? Unanuka umaskini pyuu! Huna muonekano, wala hauvutii, unataka nichekwe. Unataka nizae Watoto wanilaumu. Bora hata ingekuwa unapesa kidogo kingekufikiria. Unaniletea mikosi yako tuu.
Ukishajijua huna mvuto, jitahidi utafute Pesa. Sio uwe nazo nyingi hapana, angalau zinazokutosha wewe na watu wengine kama watano hivi.
Kama vile wanaume tulivyo, ndivyo Wanawake walivyo. Nao wanapenda wanaume Wazuri, wanasisimkwa wakiona mwanaume mzuri. Wanababaika na unaweza kuwababaisha ikiwa tuu unamvuto au Una Mawe, lumbelele, shekeli au Pesa.
Kwa mwanamke utachagua option mbili ili uishi naye kwenye ndoa. Akupende sana au akuogope sana.
Mwanamke ili akupende lazima uwe dream husband wake, na moja ya vigezo vya dream husband Kwa wengi ni uzuri na mvuto. Achana na ule unafiki wao kwamba hawavutiwi na uzuri, huo ni Uongo tuu.
Ni sawa na wale wanaume wanaosema hawataki wanawake wazuri, wanatania na inaitwa sizitaki mbichi hizi.
Mwanamke anataka wenzake wamsifie pindi akiwa na wewe. Wamuoñee wivu, watake kumpindua, kisa yupo na mwanaume ambaye ni ndoto ya wanawake wengi.
Hapo ni aidha uwe na pesa (uzuri wa pesa) wanaita uzuri bandia, au uwe na uzuri wa asili ambao utazaliwa nao.
Karibuni kwa maoni.
Muongo mbona kuna marasta kibao wala ngada ,,macontawar na wana madem kibao tena ya kizungu wanakula nao maisha
At least mwanaume uwe na cash... kidogo heshima inakuepo...
Mwanaume bila pesa,, wanawake watakusumbua sana..
Most of them ni wazur na iyo ni ndoto ya wanaume weng kudet na watoto wa kizungu acha ubishiKwa hiyo Mwanamke akiwa Mzungu ndio anakuwa mzuri?
Most of them ni wazur na iyo ni ndoto ya wanaume weng kudet na watoto wa kizungu acha ubishi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23] ila dah!![emoji26][emoji23]View attachment 2749365
Wewee ni tatizo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
SIO KWELIIMost of them ni wazur na iyo ni ndoto ya wanaume weng kudet na watoto wa kizungu acha ubishi