Ni aidha uwe na mvuto au uwezo wa kuwahudumia. Vinginevyo wanawake hawana simile na wewe

Ni aidha uwe na mvuto au uwezo wa kuwahudumia. Vinginevyo wanawake hawana simile na wewe

Kwema Wakuu!

Weka akilini, mwanaume hujaumbwa kuchekacheka, ku-relax. Wanasema wanaume tumeumbwa Mateso na kuhangaika(mwimbaji Fulani aliimba).

Wanawake hawatakuchekea wala kukuonea huruma ukikosa hayo mambo mawili au kimojawapo. Watakudharau, watakudhihaki, watakutumikisha na kukufanya msukule wao, watahakikisha unateseka haswa.

Jambo moja ambalo wanawake wengi wanalo ni kuwa; hawana busara na hekima imewapita mbali ndio maana wanakosa huruma na watakuchana makavu pasipo kupepesa macho.

Utasikia, nikupeleke wapi na umaskini wako? Unanuka umaskini pyuu! Huna muonekano, wala hauvutii, unataka nichekwe. Unataka nizae Watoto wanilaumu. Bora hata ingekuwa unapesa kidogo kingekufikiria. Unaniletea mikosi yako tuu.

Ukishajijua huna mvuto, jitahidi utafute Pesa. Sio uwe nazo nyingi hapana, angalau zinazokutosha wewe na watu wengine kama watano hivi.

Kama vile wanaume tulivyo, ndivyo Wanawake walivyo. Nao wanapenda wanaume Wazuri, wanasisimkwa wakiona mwanaume mzuri. Wanababaika na unaweza kuwababaisha ikiwa tuu unamvuto au Una Mawe, lumbelele, shekeli au Pesa.

Kwa mwanamke utachagua option mbili ili uishi naye kwenye ndoa. Akupende sana au akuogope sana.

Mwanamke ili akupende lazima uwe dream husband wake, na moja ya vigezo vya dream husband Kwa wengi ni uzuri na mvuto. Achana na ule unafiki wao kwamba hawavutiwi na uzuri, huo ni Uongo tuu.

Ni sawa na wale wanaume wanaosema hawataki wanawake wazuri, wanatania na inaitwa sizitaki mbichi hizi.

Mwanamke anataka wenzake wamsifie pindi akiwa na wewe. Wamuoñee wivu, watake kumpindua, kisa yupo na mwanaume ambaye ni ndoto ya wanawake wengi.

Hapo ni aidha uwe na pesa (uzuri wa pesa) wanaita uzuri bandia, au uwe na uzuri wa asili ambao utazaliwa nao.

Karibuni kwa maoni.
Cha msingi pia kumwomba MUNGU maana wengine zikitokea shida tu huwaoni ..... unafanya KILA kitu ila holaa
 
Ukipenda kuish kiforumula kwenye maisha haya ya sasa utajikuta unakosa vingi na kuingia kwenye kujinyanya paa, mwisho utajiua we ukitaka kuish kwa amani we jipende wewe mwenyewe jikubal wewe mwenyew ila usivuke mipaka ya kiutu,pesa mvuto havina tija kivile vuta picha uko na pesa na mvuto alafu sehemu uliyopo haibebi mazingira uhalisia wa kile unachofikiria pesa mvuto mara nyng vina apply kwa watu wa mjini sisi wa vijijin ambako hata dem ukimuuliza mvuto ni nn hy mada haituhusu huku kwetu ukiwa na laki utakaa nayo mwez mzima utajikuta umetumia buku ten kununua sabun mafuta na kusagi, huku kwetu kuna watu hawajui hata bus/gari linafananaje
 
Kwan tunakula sura?😂😂
Kwanza sisi tunajua wanawake ndo tunatakiwa kuwa wazuri 😅

Kuna uzuri WA Mwanamke na uzuri WA mwanaume.
Kuhusu uhalali wa uzuri hiyo Sheria ya kusema Mwanamke ndio anatakiwa kuwa mzuri umeitolea wapi?
Ukiangalia nature, viumbe madume ndio Wazuri na wanamvuto kuliko majike.
 
Mvuto wa mwanaume ni upi, Mwanamke hawezi kuishi na wewe eti kwasababu una sura nzuri tu. Hayo yatakuwa mapenzi ya muda tu, kikubwa ni pesa au uwezo wa kumtunza mwanamke. Mengine stori za mitandao uzuri hauliwi

Ndivyo wanaume wengi wanavyojidanganya,

Sex inauhusiano wa moja Kwa moja na mvuto WA maumbile.
Na sex ni moja ya kipengele muhimu kwenye Ndoa.

Elewa kuwa kazi na Pesa hata Wanawake wanaweza kuzifanya na kuzipata, pia Wanawake wanauwezo wa kujitunza lakini kitu pekee ambacho wanakitafuta Kwa mwanaume ni mvuto na uzuri WA mwanaume utakaotimiza hisia zao za ndani.
 
Aisee umenikumbusha kitu' sku moja nalikuwa kwenye city bus za bongo/Dalala bus kutoka na siti za dala dala kujaa Basi nikawa nimekaa karbu na kwa dereva pale kuangalia Nyumba Upande wa abiria , wakapanda vidosho wa kiarbu pale magomeni...may be walikuwa wanachuo maana mmoja alinipa counterbook nilishike ...Basi wakati Gari inatembea akaingiza goti lake Katika Kati ya paja zangu maana alikuwa amesimama ..Gari ikitembe anasukuma goti kuelekea sehemu nyeti ' Gari ikisimama anasimama wima ' ilikuwa usiku ..ikianza mwendo anasukuma Tena ukizingatia alikuwa beautiful kweli, Nywele ndefu na alikuwa na mdogo wake' ishort alinipa shida ya kisaikologia ' Nathani alipenda urefu wangu na mm niliogopa kushuka nae maana alianza kushuka yeye na mdogo wake':
Ukweli wanawake wanapenda mwonekano Ila mm skuwa na pesa ya kutosha siku hiyo ' hiyo nikaaingia uwoga:
Nilimpa counter book lake nikaangalia anavyo shuka kwenye Gari akiwa na mdogo wake' wa kike....sikuwa hata na peni mfukoni.
Kama ataona hii post ajue alinipa shida siku ile' akikumbuka lazima anipe code alishukia wapi.
Sometimes unawaza kuwa na mwonekano Ila ujasiri ukawa mchache.
 
Back
Top Bottom